Nimeombwa hela na mwanafunzi

Nimeombwa hela na mwanafunzi

sharing is caring... Mkuu umeokoa roho nyingi zitakazokuja kukutana na maswahibu kama yako...

Siku nyingine akikuomba hela mpe. Ungemnyima angepaza sauti kuu na kusema 'ananibaka'. Saivi ungebaki na huu uzi kichwani mwako huku umeuvalia nguo za rangi ya machungwa.

Btw, hakurudisha change?...

Kama karudisha usiwaze, kama hakurudisha endelea kuwaza jela.
 
sharing is caring... Mkuu umeokoa roho nyingi zitakazokuja kukutana na maswahibu kama yako...

Siku nyingine akikuomba hela mpe. Ungemnyima angepaza sauti kuu na kusema 'ananibaka'. Saivi ungebaki na huu uzi kichwani mwako huku umeuvalia nguo za rangi ya machungwa.

Btw, hakurudisha change?...

Kama karudisha usiwaze, kama hakurudisha endelea kuwaza jela.
ahsante sn mkuu

hajarudisha change na hata siwazi kwa sababu nilimwambia achukue yote kwa maana nilihisi pengine ana shida zingine ila aliogopa tu kuutua mzigo wote!
 
6 × 5 =
Habarini!
Kuna jambo limenitokea, linanipa maswali na mshangao kiasi.

Ninakaa jirani na shule, jirani sana tu. Ni mtu mzima mimi.......35 yrs. Kwa sasa shule nyingi zipo ktk makambi kwa vidato vya 2 na 4, hii ni mojawapo pia.

Jioni ya leo, nikiwa sina hili wala lile nimepumzika tu nasikia hodi ikigongwa. Nilipomruhusu aingie bs alikuwa n mwanafunzi flan wa kidato cha pili aliamkia na kisha akaniomba tshs 500/=. Nilipigwa na bumbuazi kupita maelezo lkn nikajifanya sina nilichokishangaa. Nikamuuliza unataka kununua nn akajibu anataka kununua samaki alie ugali (akilini nilitegemea nisikie peni au daftari). Nikampa tshs. 2000/=. Aliipokea haraka, akashukuru kisha huyo haraka akaondoka.

Bandugu, tangu muda huo nimetafakari mara kutafakari ujasiri wa huyo binti bado sijapata majibu mpaka nimemua nifanye sharing nanyi kisa hiki.
 
anaitisha press conference kabisa Al Jazeera [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Huo ni uzinzi wako tu tatizo liko wapi
Hizooo ni nyege mawenge[emoji23][emoji23][emoji23]
Habarini!
Kuna jambo limenitokea, linanipa maswali na mshangao kiasi.

Ninakaa jirani na shule, jirani sana tu. Ni mtu mzima mimi.......35 yrs. Kwa sasa shule nyingi zipo ktk makambi kwa vidato vya 2 na 4, hii ni mojawapo pia.

Jioni ya leo, nikiwa sina hili wala lile nimepumzika tu nasikia hodi ikigongwa. Nilipomruhusu aingie bs alikuwa n mwanafunzi flan wa kidato cha pili aliamkia na kisha akaniomba tshs 500/=. Nilipigwa na bumbuazi kupita maelezo lkn nikajifanya sina nilichokishangaa. Nikamuuliza unataka kununua nn akajibu anataka kununua samaki alie ugali (akilini nilitegemea nisikie peni au daftari). Nikampa tshs. 2000/=. Aliipokea haraka, akashukuru kisha huyo haraka akaondoka.

Bandugu, tangu muda huo nimetafakari mara kutafakari ujasiri wa huyo binti bado sijapata majibu mpaka nimemua nifanye sharing nanyi kisa hiki.
 
walezi (baba ni marehemu, mama yupo mbali) wapo kama km 4 hivi. umbali wa shule na mimi ni kama m200 tu. police post km 4, mkoa wa lindi
Usiwe na khofu, then jenga imani tu kama umemsaidia nduguyo usiwe na mawazo machafu juu yake na wala usije ukaingiwa na tamaa za kijinga.
 
Wazee dunia imekwisha hela yenyewe 2000 unavoiwaza sasa utazani umepoteza M ukawaza mpaka na mgegedo .......
 
Habarini!
Kuna jambo limenitokea, linanipa maswali na mshangao kiasi.

Ninakaa jirani na shule, jirani sana tu. Ni mtu mzima mimi.......35 yrs. Kwa sasa shule nyingi zipo ktk makambi kwa vidato vya 2 na 4, hii ni mojawapo pia.

Jioni ya leo, nikiwa sina hili wala lile nimepumzika tu nasikia hodi ikigongwa. Nilipomruhusu aingie bs alikuwa n mwanafunzi flan wa kidato cha pili aliamkia na kisha akaniomba tshs 500/=. Nilipigwa na bumbuazi kupita maelezo lkn nikajifanya sina nilichokishangaa. Nikamuuliza unataka kununua nn akajibu anataka kununua samaki alie ugali (akilini nilitegemea nisikie peni au daftari). Nikampa tshs. 2000/=. Aliipokea haraka, akashukuru kisha huyo haraka akaondoka.

Bandugu, tangu muda huo nimetafakari mara kutafakari ujasiri wa huyo binti bado sijapata majibu mpaka nimemua nifanye sharing nanyi kisa hiki.
JELA JELA JELA JELA JELA,huwa najiuliza tu hivi jela hazijai?
 
Mkuu hiyo ni changamoto kubwa,kaa mbali sana na hao viumbe,wapuuzie wakikusogelea ikiwezekana jenga fence kubwa hapo kwako
 
Back
Top Bottom