Nelson nely
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 4,251
- 2,869
- Thread starter
-
- #441
baelezee...mkuunani ataoa demu anayepiga simu mara 67kuomba hela ya saloon wakati mmekutana jana ,nyie ndio mnamsumbua Mungu kuwa mnatafuta wacgumba kumbe hamjui mnawakimbiza wenyewe huo ni umalaya
subiri sasandiyo!!
nisubiri nn?subiri sasa
tatizo sio kuomba hela,tatizo ni kuomba ndani ya muda mfupi kiasi kile....si ndo umalaya wenyewe?na ndoman kuna makundi mengi,km unaona umalaya katafute malaika,umalaya,umalaya kwan kipi cha ajabu kuombwa ela au,na je huyo angetak sex je asingo kuwa malaya au una hamu ya kusema,
hilo nenoMara nyingi tunakuwa hatujui kama itakuja kuwa hivi!!!!!, mfuko tunaoutegemea kushirikiana unakuwaga siyo huu
swadaktaatatizo sio kuombwa hela tatizo aprroach,umekutana nae lini?kwa nini umpigie simu 67 kulazimisha hela huo ni umalaya tu
sasa huyu ni mwenza wangu??Elfu30 ni nini! Elfu30 ni hela nayo!? Wanaume wanaisha wanabaki wavulana tu Kazi kulalamika siku nzima. Uanaume ni majukumu na kumtunza mwenza wako ni moja ya majukumu ya mwanaume kamili au unataka utunzwe wewe angalia usije chumbiwa.
basi tufanye ukahaba...sasa alichofanya kosa ni kumuhaidi km atampa,lkn km angemwambia sina sidhan km angemsumbua,alafu na ww umekazan umalaya,huna neno lingine..usiku mwem
amwambie nani sasa!?Hahahaha waambie hao
hata uwe na mkono wa sweta,elfu 30 ndani ya masaa mawili??Bwana wewe km mkono wako ni wa birika itabid utafute saizi yako,maan hapa tutakesha,ndio njaa unategemea hiyo nguvu ataipata wapi bila kushiba?
baambienguvu ya nini hata mzigo sijala unaataka nini,subiri nile mzigokata viuno huna haajaa ya kuniomba nitakupa mwenyewe au hata ukiomba sawa kalakini hata sura sijaikariri eti naomba elfu 30 njaa mbaya dadazetu mtakufa cha mtu mavi
sasa unakoelekea unanitafutia ban humu..Kama hata elfu30 bado inakupiga chenga ni bora ukawekeza nguvu na muda zaidi kwenye kujenga maisha yako badala ya kusumbua watoto wa watu. Itakuwa hata nauli ya bus ulilipiwa wewe, chunga tu usije chumbiwa wewe
hewalaamkuu mwambie ulipo aje kuchukua ila mazingira yaruhusu kufinya usiwe popo
zishafika123!Hapo kwenye 67 ndipo nipogundua ni hekaya.
ndio...hhhaaaahh!eti na njaa zenu!
hayaa!!ndio...
daaah....wanawake wa dar!!!kwani umeumia au?alafu wew mtoto wa kiume jikaze,maan unaonekan uswahili.mwingi unao,alafu.mimi mtoto wa kike nisije kukuweka kati,we km umeumia potezea acha wenye pesa wajilie mwenye kisu kikali ndo mla nyama,km una ela tafut sahiv yak atakayekupa bure,
aisee.....hatimaye!we kaka huyo Mtu msingi pesa tuu!!
no luv no anything!
changanya mbariga!!
huyo kwenye avatar ni wewe?hahaaaaaa kweli wanaume wameisha
naiona kazi ya makonda kwa jicho la tatu ilivyongumu