Ilitarakimura
JF-Expert Member
- Feb 7, 2016
- 2,505
- 1,645
Kwa hiyo wewe ukiombwa unatoa tu mkuu, hakuna hata kuhoji!! , ni kutoa tu, basi wewe ni hatariHasa nyie mnataka wanawake wanini na kugharamia huwezi,yani 30 tu una mblck je ungeombwa vikubwa zaidi ya hiyo?mjini hamna cha bure,huu mchezo hauwitaji hasira
We Preta wewe!nani kakudanganya?usawa huu?Hela makaratasi........umaskini roho......
Ndio hao hao mkuu hawana tofauti.Ana aibu ya kukubalia tu, kukuomba hela hana aibu?
Halafu hawahawa ndio wanakuja kutaka usawa kati ya wanawake na wanaume? Au tofauti hao?
Sasa huko kutafutiana vifo...Lazima ughalamie
Na hapo ndipo nitapomkamatia,ver simpo!Ukimtumia akupe risit......
Maana ANAUZA
??
Nshaona huna ela futa na namba yangu kabisa yaani efu selasini unaniblockBasi nakutumia sasa hivi mweh......
HANAA!!!Jaman asante nlkosea Si unajua tena simu za kuazima hizi fanya laki nne alafu naenda vikoba kesho nadaiwa elfu tisini sijui utakuwa nayo?
Wanakosa logical consistency.Ndio hao hao mkuu hawana tofauti.
Sawasawa mkuu30000/= kimaanda maandazi tu... Atoe nyapi kwanza. Kaza kama ngozi ya nguruwe
EewaaaaaKutoa si tatizo Mkuu, tatizo ni kuingizwa mjini, bora ingekuwa ushaanza kumla, ukizingatia hata kwao penyewe jamaa hapajui, kama anahitaji pesa ya kusukia, ampange ili atoe mzigo ndiyo apewe pesa ya kusukia
Hapana laaziz ngoja nidaidai madeni yangu kwanza,vumilia tuNshaona huna ela futa na namba yangu kabisa yaani efu selasini unaniblock
Wanaume wa mikoani wanatoa sana????Akipiga mwambie hapa ni kituo cha polisi cha kati unaongea na afande marwa hahaha acheni ubahili basi wanaume wetu wa dar
Halafu ukiwaambia ni wabishi balaaaWanakosa logical consistency.
Si ndio hapo chachaSASA NA WEWE SI ULITAKA UKUBALIWE HARAKA NA YEYE KAPIGA MZINGA WA HARAKA
Haaa haaa ndo nyepesi kuandikikaMwambie aje achukue, halafu hiki kiwango sijui kiliwekwa kisheria yaani wote ni buku 30.
Huyu ananunua ugomvi sio muda mrefu!Wanaume wa mikoani wanatoa sana????
Sasa si angekataa tu?Si ndio hapo chacha