Nelson nely
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 4,251
- 2,869
- Thread starter
-
- #161
Kwa nilivyomsoma sidhani kama ataelewa somo mkuumkuu mwambie aibu aliyonayo kwenye kukubali kutongozwa aitumie hiyo hiyo aibu kwenye kuomba omba fedha, kuanzia sasa asione aibu kuitikia ombi LA kutongozwa na awekeze nguvu kwenye kuijenga aibu ya kuomba omba ela, maana ilivyongu ni bora awekeze nguvu hizo za kuomba kwenye kutafuta
kwa nini?asili ya mwanamke kuhongwa wewewee!!Ndo msiombe ombe pesa sasa!
Mgegedo badaeDah bila kugegeda mkuu?
Atakuwa wa dar huyuBadhi wanawake wa kitanzania wana tatizo la kuwa ukitongozwa uanze kuomba hela siku hyo hyo wanajiuza kimya kimya
Unasemaaa?kumbeekwa nini?asili ya mwanamke kuhongwa wewewee!!
asili ya mwanamke kuhongwaa!!Unasemaaa?kumbee
Na wewe ukiwemo?kazi anayo!!asili ya mwanamke kuhongwaa!!
ndiyo!!mwanamke kuhongwaa!ntakupa vyotee vya bars na pwani!mda wote!!Ila we nihonge tu baasss!!Na wewe ukiwemo?kazi anayo!!
unakaambia kaache ungeseSasa kanatumia namba nyingine kunipigia!
akuu wee mama kuna kuhongwa na kuomba ni vitu viwili tofauti, wanawake hebu tuonyeshe mahaba kwa wenzi wetu alafu oune kama tutadharirishana hapa kila siku, mwanamke anayejielewa siku ya kwanza tu hawez omba pesa kwa kweli Duhkwa nini?asili ya mwanamke kuhongwa wewewee!!
kataka mwenyewe kudhalilishwa huyo Dada.akuu wee mama kuna kuhongwa na kuomba ni vitu viwili tofauti, wanawake hebu tuonyeshe mahaba kwa wenzi wetu alafu oune kama tutadharirishana hapa kila siku, mwanamke anayejielewa siku ya kwanza tu hawez omba pesa kwa kweli Duh
Hadi vya pwani vinalipiwa?si vya bure hivyo?ndiyo!!mwanamke kuhongwaa!ntakupa vyotee vya bars na pwani!mda wote!!Ila we nihonge tu baasss!!
Hahahaaaunakaambia kaache ungese
hahaaaaa!sina maana hyoo!!Hadi vya pwani vinalipiwa?si vya bure hivyo?
Sasa umenena!!!akuu wee mama kuna kuhongwa na kuomba ni vitu viwili tofauti, wanawake hebu tuonyeshe mahaba kwa wenzi wetu alafu oune kama tutadharirishana hapa kila siku, mwanamke anayejielewa siku ya kwanza tu hawez omba pesa kwa kweli Duh
Sasa si ndo hivohivo,kataka mwenyewe kudhalilishwa huyo Dada.
asili ya mwanamke kuhongwa!
hahahaaaa!hapana!Sasa si ndo hivohivo,