Nelson nely
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 4,251
- 2,869
- Thread starter
- #101
Sasa yeye alisema kashibaHalafu akisema anaskia njaa unakuja mbio kulalamika? Unatania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa yeye alisema kashibaHalafu akisema anaskia njaa unakuja mbio kulalamika? Unatania.
Ninayo...Atakuwa hana
Aisee...ila yeye ni binadamu mkuuUmeyataka, mtatongoza mpk mashetani, Shenzi type, type ya Shenzi!
Simu sina siyo mbaya ukininunulia hata ya laki tano ....nywele naona zimefumuka nipe sabini siyo mbaya ntamwambia msusi anipunguzie... Kuna kisherehe wiki ijayo ungenpa hata lak na nusu nikanunue kinguo chochote na themanini ya viatu nlivyonavyo naona vinanibana ni hayo tu... Duuu alafu nilitaka kusahau shost kajifungua nataka nikamuone ungenipa hata elfu arobain sio mbaya nimnunulie chochote [emoji8]Orodhesha mapungufu yote nione namna ya kufanya honey
Nnayo,kwahiyo zinatolewaga kirahisi rahisi tuu?Shida ni nini........?......
Ni elfu 30 huna.......au unasikia uchungu kutoa...........?......
Alikuwa anaona aibu, ukitongoza uwe tayari kutoa chapaa. Anataka ajipendezeshe ili ukimuona roho yako ifurahiSasa yeye alisema kashiba
Kanakazania nika mpesa mkuu!!!!Mkuu mwambie aje magheton aichukue
Umeonaeee??.....damu tena???!!Sasa akikuomba umchangie Damu itakuwaje hapo...! kama tirty imekushinda... Ila Usawa wa Magufuli unajifikiria mara mbili mbili
Hadi hapo cjaona tatizo;Simu sina siyo mbaya ukininunulia hata ya laki tano ....nywele naona zimefumuka nipe sabini siyo mbaya ntamwambia msusi anipunguzie... Kuna kisherehe wiki ijayo ungenpa hata lak na nusu nikanunue kinguo chochote na themanini ya viatu nlivyonavyo naona vinanibana ni hayo tu... Duuu alafu nilitaka kusahau shost kajifungua nataka nikamuone ungenipa hata elfu arobain sio mbaya nimnunulie chochote [emoji8]
Mwambie unapokaa mpesa zipo umbali mrefuKanakazania nika mpesa mkuu!!!!
Hivi unamuomba binadamu???Simu sina siyo mbaya ukininunulia hata ya laki tano ....nywele naona zimefumuka nipe sabini siyo mbaya ntamwambia msusi anipunguzie... Kuna kisherehe wiki ijayo ungenpa hata lak na nusu nikanunue kinguo chochote na themanini ya viatu nlivyonavyo naona vinanibana ni hayo tu... Duuu alafu nilitaka kusahau shost kajifungua nataka nikamuone ungenipa hata elfu arobain sio mbaya nimnunulie chochote [emoji8]
Aaaah nilishampenda vilevile mkuu na mabutu yake!Alikuwa anaona aibu, ukitongoza uwe tayari kutoa chapaa. Anataka ajipendezeshe ili ukimuona roho yako ifurahi
Nnayo,kwahiyo zinatolewaga kirahisi rahisi tuu?
Lazima ughalamieHivi unamuomba binadamu???
Jaman asante nlkosea Si unajua tena simu za kuazima hizi fanya laki nne alafu naenda vikoba kesho nadaiwa elfu tisini sijui utakuwa nayo?Hadi hapo cjaona tatizo;
Uje dukani uchague simu uitakayo, upotie salon kwangu uchague style uitakayo wakurembe, nina duka la nguo na viatu udisahau kuchukua chochote kilichovuta macho.
Nashangaa umeomba 40,000 au umekosea ulitaka 4ml?
Kutoa si tatizo Mkuu, tatizo ni kuingizwa mjini, bora ingekuwa ushaanza kumla, ukizingatia hata kwao penyewe jamaa hapajui, kama anahitaji pesa ya kusukia, ampange ili atoe mzigo ndiyo apewe pesa ya kusukiaUnatongoza wa nini wakati unajuwa mfuko wako ni wa wasiwasi;