Nimeombwa hela ya kusukia

Nimeombwa hela ya kusukia

Orodhesha mapungufu yote nione namna ya kufanya honey
Simu sina siyo mbaya ukininunulia hata ya laki tano ....nywele naona zimefumuka nipe sabini siyo mbaya ntamwambia msusi anipunguzie... Kuna kisherehe wiki ijayo ungenpa hata lak na nusu nikanunue kinguo chochote na themanini ya viatu nlivyonavyo naona vinanibana ni hayo tu... Duuu alafu nilitaka kusahau shost kajifungua nataka nikamuone ungenipa hata elfu arobain sio mbaya nimnunulie chochote [emoji8]
 
Simu sina siyo mbaya ukininunulia hata ya laki tano ....nywele naona zimefumuka nipe sabini siyo mbaya ntamwambia msusi anipunguzie... Kuna kisherehe wiki ijayo ungenpa hata lak na nusu nikanunue kinguo chochote na themanini ya viatu nlivyonavyo naona vinanibana ni hayo tu... Duuu alafu nilitaka kusahau shost kajifungua nataka nikamuone ungenipa hata elfu arobain sio mbaya nimnunulie chochote [emoji8]
Hadi hapo cjaona tatizo;
Uje dukani uchague simu uitakayo, upotie salon kwangu uchague style uitakayo wakurembe, nina duka la nguo na viatu udisahau kuchukua chochote kilichovuta macho.
Nashangaa umeomba 40,000 au umekosea ulitaka 4ml?
 
Simu sina siyo mbaya ukininunulia hata ya laki tano ....nywele naona zimefumuka nipe sabini siyo mbaya ntamwambia msusi anipunguzie... Kuna kisherehe wiki ijayo ungenpa hata lak na nusu nikanunue kinguo chochote na themanini ya viatu nlivyonavyo naona vinanibana ni hayo tu... Duuu alafu nilitaka kusahau shost kajifungua nataka nikamuone ungenipa hata elfu arobain sio mbaya nimnunulie chochote [emoji8]
Hivi unamuomba binadamu???
 
Ana aibu ya kukubalia tu, kukuomba hela hana aibu?

Halafu hawahawa ndio wanakuja kutaka usawa kati ya wanawake na wanaume? Au tofauti hao?
 
Ukimtumia akupe risit......
Maana ANAUZA
 
Hadi hapo cjaona tatizo;
Uje dukani uchague simu uitakayo, upotie salon kwangu uchague style uitakayo wakurembe, nina duka la nguo na viatu udisahau kuchukua chochote kilichovuta macho.
Nashangaa umeomba 40,000 au umekosea ulitaka 4ml?
Jaman asante nlkosea Si unajua tena simu za kuazima hizi fanya laki nne alafu naenda vikoba kesho nadaiwa elfu tisini sijui utakuwa nayo?
 
Unatongoza wa nini wakati unajuwa mfuko wako ni wa wasiwasi;
Kutoa si tatizo Mkuu, tatizo ni kuingizwa mjini, bora ingekuwa ushaanza kumla, ukizingatia hata kwao penyewe jamaa hapajui, kama anahitaji pesa ya kusukia, ampange ili atoe mzigo ndiyo apewe pesa ya kusukia
 
Back
Top Bottom