Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi akubali "nipe nikupe" yani papo kwa papo huku anamguu pande na mimi nazama mfukoni kimachalemachaleHahaa nikuulize hivi asingekuomba hela wee si ungeanza kuomba ishu[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Na yeye kaaona akuwahi kabla wewe hujamuwahi!!!
Ama kweli mkuu,halafu nimemwambia jmosi twende nae dar anadai eti dar amekuchoka!ana maana gani huyu??wacha nimpelelezeWajinga ndio waliwao!!!
Hilo garasa ndg yangu.
Sasa kumbe?hahaaaaa!sina maana hyoo!!
Weka jina na namba yake hadharani mkuumkuu mwambie aibu aliyonayo kwenye kukubali kutongozwa aitumie hiyo hiyo aibu kwenye kuomba omba fedha, kuanzia sasa asione aibu kuitikia ombi LA kutongozwa na awekeze nguvu kwenye kuijenga aibu ya kuomba omba ela, maana ilivyongu ni bora awekeze nguvu hizo za kuomba kwenye kutafuta,maana mimi hapa kuna MTU nilimpa Nazi hakuifanya namdai ananizungusha hapokei simu kwa uchungu na hasira nikajikuta nimetukana na sasa kasema amenishtaki kwa cyber crime uchungu juu ya uchungu yote sababu ya pesa so nikisikia mtu anaomba ela ananiongeza hasira tu
hahahhaaa!!Sasa kumbe?
Huo uonevu sasa!Mgegedo badae
mkuu mwambie aibu aliyonayo kwenye kukubali kutongozwa aitumie hiyo hiyo aibu kwenye kuomba omba fedha, kuanzia sasa asione aibu kuitikia ombi LA kutongozwa na awekeze nguvu kwenye kuijenga aibu ya kuomba omba ela, maana ilivyongu ni bora awekeze nguvu hizo za kuomba kwenye kutafuta,maana mimi hapa kuna MTU nilimpa Nazi hakuifanya namdai ananizungusha hapokei simu kwa uchungu na hasira nikajikuta nimetukana na sasa kasema amenishtaki kwa cyber crime uchungu juu ya uchungu yote sababu ya pesa so nikisikia mtu anaomba ela ananiongeza hasira tu
Fafanuahahahhaaa!!
Mh...Mjini cha bure Ni salamu tu
Hakuna cha uonevu apo. Ndo uanaume huoHuo uonevu sasa!
atapewa kila Ktu kilichohalalishiwaa!Fafanua
mmh jmn ata siku mkikutana faraga utasema sitasex nae kisa bado cijamuoa¿¿¿¿¿Mkuu hata kwao sipafahamu halafu nimpe kirahisi rahisi tu?
Mgegedo tu jamani???hebu chukulia nimemtumia hiyo peda halafu tusionane tena!si ntaenda jela mimi?Hakuna cha uonevu apo. Ndo uanaume huo
Kutokana na hiyo pesa atayotoa?asipotoa?atapewa kila Ktu kilichohalalishiwaa!
Weeeeeeeeeeee..........mmh jmn ata siku mkikutana faraga utasema sitasex nae kisa bado cijamuoa¿¿¿¿¿
asa weeeeeee nn sema ...apa hutasex nae kisa bado hujaoa????????Weeeeeeeeeeee..........
Sasa anang'ang'ania nimtumie kwanza pesa mkuu!!!Oya uyo mwite gheto akija maliza kila kitu
Kisa cha kwenda jela?Mgegedo tu jamani???hebu chukulia nimemtumia hiyo peda halafu tusionane tena!si ntaenda jela mimi?