Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
hhhhaaaahhhaaa!nimeomba poo!!aisee.....hatimaye!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hhhhaaaahhhaaa!nimeomba poo!!aisee.....hatimaye!
eti na wewe unakubali!!!!Hahaha na kweli
wanaume wa Dodoma!daaah....wanawake wa dar!!!
sasa nifanyeje?Acha kutongozatongoza ovyo
[emoji85] [emoji85] [emoji85]Acha dhambi mkuu[emoji1]
saivi ni 154Hadithi ya uongo.
Hata kama ni mtoto akichezea simu na kubonyeza button ya calling siku nzima haifiki mara 67.
sasa mnatakajeee?hela ngumu nyie..Team kulialia
elufu 30!!30,000 tzshillings au 30,000dollars zilizofanya umblock dada wa watu?
mh...REF:KIKWETE ASLISEMA;
Ukitaka kula lazima uliwe....ukizubaa wewe basi uje utaliwa kama sivyo basi yeye akizubaa utamla.
vipi mkuu?Duuuuuh.
umeonaee mkuu?Hizo 30,000 zinaokotwa au zinatafutwa kwa Jasho. Kwa siku hata 20,000 hupati halafu utoe 30,000 kiurahisi ndio maana vijana wengi TZ maskini
halafu nnachofurahi sasa hivi akina dada humu jf mnaweka avatar za picha zenu...wekeni na namba za simu basi.......mimi pesa napenda na ndomana naitafuta kwa hasira halafu anakuja mtu anazihitaji ghafla ghafla tuu?kweli?Hahahaha wewe hupendi pesa?
nikutumie hiyo 30!nisubiri nn?
kwani uongo sasa?hayaa!!
akuu mi staki kusukaa!nikutumie hiyo 30!
kuna mkuu kahoji humu kama hii amount imewekwa kisheria...pengine hatuna taarifaDaaah wanawake sijui wamekuwaje iseeeee .......siku hizi..unachokisema hata Mimi kimenikuta Jana kuamkia na amount ni hiyohiyo balaaaa iseeeee
hahahaaaaaa....ni lazimahhhhaaaahhhaaa!nimeomba poo!!
hahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaawanaume wa Dodoma!
umenyoa?...i mean kichwani?akuu mi staki kusukaa!
nasuka lakini kwa hela yangu!!umenyoa?...i mean kichwani?