Serikali inaunga mkono uhuru wa palestina huu ndio msimamo wa serikali.
 
Wewe acha bangi, ISRAEL ILIKUAPO HATA KABLA BIBLIA HAIJAANDIKWA .


BIBLIA IMEKUJA KUANDIKWA KUTHIBITISHA TU HISTORIA ,ILOPITA, ILIOPO NA IJAYO.


AU nawee ni wale wajinga waloamua kumsikiliza Tundu Lissu kwamba , Imeanza kuwepo mwaka 1947??. Sijui 1916 Uingereza ilikua na makoloni Nye Nye nyee nyee?.

Israel ilikuepo na itaendelea kuwepo kama kielelezo Cha UWEPO WA MUNGU MUUMBA MBINGU NA ARDHI.
 
View attachment 2845323
Kuzaliwa kwa huyu mwamba kumeiharibu sana dunia. Bora asingezaliwa huyu jamaa. Tungekuwa sehemu nzuri na salama ya kuishi.
Dah utawaita jamani. The believers wako so sensitive. Wako willing kukutoa uhai wako for blasphemy. Everyone needs to understand that people don't blaspheme out of respect. Ni Sawa na kulock mageti ya nyumba ili kuzuia wezi. Insane people lack logic and reasoning
 
These idiots wanajaribu kufuta Jewish history in the Levant region. Please don't argue with them
 
Kama mauaji ni mabaya kwann ww unashabikia mauaji ya wapalestina?

Mm nikategemea utafurahi kama unavyo furahia mauaji wa watu wengine.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwan Huu mzozo ,Si Hawa magaidi waliamua kushtukiza na kumshambulia Muisrael??.


Sasa kwanini Leo Israel inawaua, mnalalama kua wanawaonea??.
 
Kama mauaji ni mabaya kwann ww unashabikia mauaji ya wapalestina?

Mm nikategemea utafurahi kama unavyo furahia mauaji wa watu wengine.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Taifa lipo kwenye majonzi mtanzania mwenzetu kauwawa kikatili wewe unaendeleza mabishano yasiyo na tija, unajua kabisa hio ni siku ambayo magaidi yalivamia Israel na kuua watu kinyama ila unajizima data.
 
Alafu kuna mijitu humu inashangiliwa Hamas! Gaidi ni gaidi tu .
 
Riep Joshua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tu Tutajua hadi ajuza za gaza
 
Aisee nimetokea kuwachukia sana hawa watu.

Na bad enough hawa hawa kina faiza na mbuzi wenzake wanastand with those killers against mwenzao aliyeonewa kwa kuondolewa uhai.

Dah,inasikitisha sana hii
Jamani kuanzia sasa hivi let's not engage na terrorists na comment zao. Ignore them. They love attention just ignore
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…