Hivi alienda kufanya nini Palestina?
Hakwenda Palestina.

ila alienda Israel masomoni, wakati Hamas walipovamia miji ya Israel 7/10/2023 ndio akakumbwa na hayo maafa kama raia wengine waliokuwa maeneo hayo.
 
Huyo bibi ana Udini pro max. Halafu ana uwezo mdogo sana wa kufikiri. Nahisi ana changamoto kubwa kwenye ubongo.
 
Sitaki kwenda kwenye njia ya quotation.Twende na ulilosema
 
Pole sana na tunasononeshwa sana na hili tukio,Pole nyingi kwa familia ya Joshua na watanzania wote Kwa ujumla. Wakati huohuo tukumbuke mateso wanayoyapata hawa Wapelstina toka mwaka 1948.

Wanakimbizwakimbizwa,kuuwawa na kuteswa katika nchi yao wenyewe. Hawa wanadhulumiwa makusudi tena bila hata kujali kama ni binaadam. Hawa wanajitetea kwa dhuluma wanazofanyiwa miaka nenda miaka rudi.

Palestina hakuna waislam tu hata wakristo wapo nao wanaangukia katika dhuluma hii.Wakati tunaungana na familia ya Joshua kuombolleza basi na tufikirie na madhila makubwa wanayoyapata watoto na wanawake wa kipalestina.
 
Mjinga Mmoja weee, UISLAM uchwara umekujaa kichwan mamaae .


Unajua Kutawanyika Kwa Israel katika mataifa mbali mbali , hakukuanzia Kwa Adof Hitler ???. Ns kutawanyika huku ndiko kuliwanya wakakimbilia ULAYA , MAREKAN, URUSI , NA AMERIKA YA KUSINI.

Israel walianza kutawanyika Baada ya Utawala wa Rumi miaka mingi ilopita .

Ndipo Waarabu wakaikalia Ardhi hiyo kwakua ilikua yenye Neema.


Uingereza na ukolon wake mwaka ambao ulianza Rasimi miaka ya 1800, uliwakuta tayari warabu wameikalia Ardhi ya Israel.


Baada ya vita kuu ya pili ambayo Hitler alikua mamilion ya wayahudi walikua Ulaya ya Mashariki. ( Wengi wenu msivyojua HISTORIA, mnadhan Hitler alikua anafata wayahudi hapo Isarel ilipo Sasa na kuwapeleka Ujeruman na kuwaua. ).



Ndipo Uiengereza Kwa Msukumo wa Marekan, wanaamua kuwarudisha Waisrael kwenye Ardhi ya kwao kwakua mtesi wao kaangushwa !!.


Ndipo Taifa la Israel Kwa mara ya pili, linasimamishwa Upya.


Yaan wee Hamasi mpuuzi, utoke kwenu, uende sehem, familia imekimbiaa sehem hiyo kutokana na sababu zilizo nje ya Uwezo, wewe ujimilikishe.

Baada ya miaka kupita, hali ni shwari, wanafamilia waamue kurudi kwenye Ardhi Yao, Uanze kuwambia hapa sio kwenu ?? Tumezaliwa hapahapa??.
 
Waislamu sio magaidi
Ila magaidi wote ni waislamu
Kwa hiyo kuna uhusiano kati ya dini hiyo na ugaidi!! Dini inaanza kwanza halafu ugaidi unafuata!! Maana yake pasipo dini hiyo ugaidi usingekuwepo!! Mchakato kuelekea kwenye ugaidi unapitia kwenye dini hiyo!! Ni kweli kuwa si wote wa dini hioyo ni magaidi lakini hata wasio magaidi, kwa mbaaaaaali wanaungana na kukubaliana na matendo ya ugaidi!! Ushahidi ni comments tunazoona hapa!! Hawa siyo magaidi ila ni waislamu wanaounga mkono magaidi!! Ngoja ajuza wa jf atinge hapa!!
 
Unadhani ni inawezekana kuwafuta Hamas hapo Gaza ?....

Operesheni chakaza HAMAS itafanikiwa kwa kuwa jumuiya ya kimataifa ikiwemo nchi za kiarabu na pia wapalestina wenyewe wanasubiri imalizike ili suluhisho la kudumu la nchi mbili katika taifa moja kupatikana na amani ya kudumu endelevu kupatikana Mashariki ya Kati .
 
Na nyie kina FaizaFoxy mje kuelimika huku

huwa mnadanganywa kirahisi sana na hawa magaidi wanaotumia dini iwe mwamvuli wa kutenda maovu, mtanzania mwenzetu kapigwa risasi lakini wakaona haitoshi wakaongezea tisa za ziada.
Kibibi kinashabikia vita halafu kiko hapo CA nchi ya kinaowaita makafikiri .

Vita yake anapigania kwenye kochi akicheza na wajukuu.

Kibibi hata mshale tu hakiwezi kurusha kinashangilia mauaji .

Kiukweli hizi dini ni utapeli mtupu Kiranga anasemwa sana ila ajabu hao atheist unakuta ndio watu wenye utu ila sio huu utapeli wa kuchagua upande kiushabiki.

Sipendi vita na inaumiza kuona mauaji ya nchi zote mbili.
 
Allahu akbar uislam dini ya haki na amani ivoooh, Islam maana yake amani.
Jihadist!
Salaam ni amani. Islam is the complete submission to the will of Allah and believing that Prophet Muhammad (pbuh) is the last Prophet. Usianze kuredefine Islam
 
Kuna watu wapumbavu kweli...
Yaani unatetea kuuliwa kinyama kwa ndugu yako...
 
Duuuh afu Kuna vibwengo humu wanasema ........
Hivi kweli mungu yupi hurusu mauaji hivi ?
 
Hapana
Huyu bwana mdogo ni dhahiri kilichochangia kuuwawa ni ngozi yake tu na sio kingine.......
Hapana tuseme ukweli, na hiking ndiyo tumekuwa tukisema kila siku kuwa Hamas wametangulizwa MBELE tu lakini Agenda kubwa ni Maagizo ya Quran. Quran inasema kwa Muislam yeyote maadui wao ni Mayahudi na Wakiristo. Hivyo kilicho Fanya wamuue ni Jina lake la Kikiristo. Someni Jamani Hamas Charter ya 1988.
1. Utangulizi
2. Article 7
3. Articles 11&13
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…