Sasa huyu na mwingine wamekamatwa kweny ardhi gani ? Unaweza kufuatulia alikuwa anaulizwa na yeye kajibu nn?

Aliulizwe yeye ni muarabu akibu ndio ni muarabu!

Kwa wapalestina waarabu wamuue mwarabu mwenzao😳

Mimi sijajua kaulizwa maswali gani hapo au kaelezwa mambo gani hapo, isipokuwa tulichoona ni huyo dogo kutokuwa na cha kuzungumza wala kujitetea kwa maneno...

Ninachoamini, kama angelikuwa ni muislamu pengine angeweza okoka kwa kurecite baadhi ya dua za quran kwa kiarabu...(pengine)
 
adriz incharge Malaria 2 Bwana Utam FaizaFoxy mtaficha wapi nyuso zenu. Hamuoni hata aibu kuwatetea hawa watu. Ndo maana mimi sihuzuniki mitoto yao na wanawake wakiuwawa. brazaj kaka yangu angalia tu huu unyama. Ritz kaka yangu angalia ndugu yetu alivyouwawa kikakarili. green rajab Accumen Mo

Chaliifrancisco angalia ndugu yetu alivyokatishwa maisha kikatili.
 
Waulize hilo swali eti halafu ni oktoba 7 ambapo vita imepamba moto ,hata ukisema alikuwa israel mashambani jiulize hao Hamas wana ubavu wa kuwafuata israel kweny ardhi yao🤣🤣.
Vyovyote iwavyo unaona ni sawa walichomfanyia mwananchi mwenzako wa taifa moja? Haki nyinyi watanzania ni wapumbavu. Najivunia baba yangu ni mtutsi. Aisee mimi scenario hiyo siwezi kuwa na mahaba ya dini.
Nimeamini dini ni opium.
https://jamii.app/JFUserGuide you all mnaona ni sawa alichofanyiwa huyu mtanzania mwenzetu.
 
Watu weusi wanauwa na polisi karibia kila siku nchini Marekani vipi mlisha sitisha mahusiano?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sisi tunazungumzia huyu kijana alikosa nini mpaka akafanyiwa mauwaji ya kikatili hivyo? Mmejawa na ushetani tu mkiongozwa ALLAH yule SHETANI MWENYEWE
 
Wewe umeongea ukweli.
 
Nimeumia sana baada ya kuona hii video na niwe mkweli nilikuwa sina upande ila kwa video hii naunga mkono ISRAEL.
 
Inaumiza sana...
Natamani Palestine ya Gaza ifutwe yote kwenye ramani ya dunia ... yaani kizazi chote kiwe ni Israel by force... maana kupitia wao wakibakishwa... yata zaliwa magaidi mengine.. Palestina ibaki ile ya West bank..

GOD BLESS ISRAEL
Kuna raia wengine wameuliwa kwa mtindo huo na Waisrael...
Pande zote zina shida..
 
Ndio muelewe Israel anapigana na majini ya namna gani, mwanzoni watu walizua kuwa huyu aliuawa na majeshi ya Israel

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Inaumiza sana...
Natamani Palestine ya Gaza ifutwe yote kwenye ramani ya dunia ... yaani kizazi chote kiwe ni Israel by force... maana kupitia wao wakibakishwa... yata zaliwa magaidi mengine.. Palestina ibaki ile ya West bank..

GOD BLESS ISRAEL
Wanafutwa mkuu,leo labda siku yao ya mwisho either mwaka hauishi huu watu wapo kazini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…