Kipondo Cha ugoko
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 878
- 1,511
Hawa jamaa nilianza kuwa na huruma nao lkn sasa wapigwe sana! Huo ni ugaidi Wala sio kupigania uhuru
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hizo zimejaa kariakoo?!Kilichomponza ni vazi la chupi ya kijeshi
Wote wale wale tu. Israel and hamas hawana tofauti.Ndio muelewe Israel anapigana na majini ya namna gani, mwanzoni watu walizua kuwa huyu aliuawa na majeshi ya Israel
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Am always stand for humanity mkuu. Popote pale natambua vita haina macho ndio maana hata wasiohusika wanapoteza uhai. Tuombe Haki kwa wapalestina wapate uhuru wao ili tusishuhudie mauaji ya watu wasiyo na hatia.Hapa unasema vita haina macho kwa Mtanzania aliyeuawa, ila unataka iwe na macho Israeli anaposhambulia gaza.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Wale watoto wanaokufa kule Gaza ule siyo ugaidi?Hawa jamaa nilianza kuwa na huruma nao lkn sasa wapigwe sana! Huo ni ugaidi Wala sio kupigania uhuru
Am always standing for humanity and the freedom of Palestine.Mkuu wee mnafiki. I HATE YOU
Hamas waliteka watu wakiwa wapi? Mbona inasemekana kweny Tamasha !Alienda maosomoni kujifunza kilimo, hiyo siku alitekwa ndio siku Hamas walivamia kwa kushitukiza na kuua raia wengi na kuteka wengine, hakukuwa na vita kabla.
Kumbe wewe ni mpumbavu! Naona unawashwawashwa tu na kuchukulia poa huu uharifu!Waisraeli ni mabingwa wa kutengeneza sinema. Huyu ndugu yetu ametumika kuishtua dunia kuhusu kitu fulani.
Na haitapata hata Yesu arudiHaisadii kuniita mjinga. Palestina lazima ipate uhuru wake.
Ndio mchezo wako 🤣🤣hta Mungu wako pale vatican anajua.Kwa akili zako kama zile walizokutifulia kule mahabusu zenji nasema hivi rudi shule tena hivi peponi na nyie mashoga mnapewa wanaume 72 na allah?
Uislamu ni janga la duniaNizaidi ya unyama .... In human na ukatili ulio pitiliza (mwarabu ni kumbe katili sana na hajawai kumpenda mtu mweusi) pia Radical islam ni Tatizo hapa ulimwenguni
Unapata maswali yasiyo na majibu kuhusu hayo magaidi ya HAMAS
Ndio kwani hujui?Kwani kumewahi kuwa na Taifa la Palestina?
I hate youAm always standing for humanity and the freedom of Palestine.
Huwajui israeli wewe tulia.Kumbe wewe ni mpumbavu! Naona unawashwawashwa tu na kuchukulia poa huu uharifu!
I don't Hate you eitherI hate you
Kwa kuwa waliokufa watanzania ni wachaga masai na wakristoHamas waliteka watu wakiwa wapi? Mbona inasemekana kweny Tamasha !