Soma vizuri hapo nimeandika hizo dini za kitapelu na unafiki ndio zinafundisha kushabikia mauaji?Kwa hiyo kuishabikia mauaji ya hamas sio sawa ila kushabikia mauaji ya Israel ni sawa?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sio Palestine au Israel wote binadamu ni sawa ndio maana sipendezwi na mtu wa upande wowote kuuwawa au upande unaoshabikia mauaji.
Huyo Faiza angekuwa na watoto huko Palestine asingekuwa anashabikia hivyo.