Wewe hauons video hiyo, acheni ujinga wa kutetea uovu. Hawa HAMAS ni wanyama wacha Israel wawamalize. I have zero sympathy for these mofos.
Video ipo wapi Hamasi anamuuwa, Israel hajauwa hata askari watano wa Hamasi yeye kisha vyekwa zaidi ya 7000 siri zitajulikana tu ndio sababu Netanyahu hataki kusimamisha vita na uwezo wa kuwashinda Hamasi hana, anaogopa kutupwa Jela 😄
 
Kweli kabisa mkuu serikali yetu imeonesha udhaifu mkubwa sana kwenye suala la vifo vya watanzania huko Israeli. Wenzetu walisimamia raia wao wakaondolewa salama katika eneo la vita sisi tumekaa kimya kusubiri watakachoamua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kichwani siyo mzima.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Watu weusi wanauwa na polisi karibia kila siku nchini Marekani vipi mlisha sitisha mahusiano?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sio kweli ndugu, hakuna kitu kama hicho marekani kwa sasa! kama yanatokea ni mauaji ya kawaida tu kama yanayotokea nchini kwako!
 
Huijui vizuri Marekani we kafiri
 
Nasikia Malawi na Kenya wana mpango wa kuwa sacrifice vijana wao waende huko. Kwasasa Israel anafuta watu wa kupigana upande wao. Sasa wacha waende waje kutuletea thread hapa JF.
Washaona nchi haina amani halafu wanakimbilia kisa njaa😂😂
 
allah siyo Mungu, allah ni shetani linaloabudiwa na waislam. Mungu wa kweli hawezi kuruhusu haya yafanywe na viumbe wake.
Yesu alieruhusu hawa watoto wauawe ndio Mungu?
 

Attachments

  • F8zLPWBXwAAegOP.jpeg
    103.6 KB · Views: 2
Hamas kuvamia na kuua watu waliokua kwenye tamasha mliona ni sawa? Mkiua nyinyi mnafurahi na kuchekelea. Mkiuwawa mnaanza kulialia.
Shenzi kabisa. Piga hao mbwa wakawahi bikra 72.
Acha mihemko mkuu. Vita ya kupigania uhuru wa palestina ilianza mwaka 1948 baada ya kuundwa kwa taifa Fake la Israeli na haijawahi kusimama . Tarehe 7 October ni mwendelezo tuu .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unadhani mzozo wa Israel na palestina umeanza 2023??


Shida wengi mnaleta comments huku mmeanza kuusikia huu mzozo 2023.


Hivi unadhani hamas ni wehu sana mpaka wavamie Israel bila sababu?
Alahu akbaru Alahu Akbaru...Takbirrr haya lala kesho uwahi madrassa
 
Jarida la THE TIMES OF ISRAEL liliandika hovi..
Joshua Mollel, 21, an agricultural intern from Tanzania, was kidnapped by Hamas terrorists on October 7 from Kibbutz Nahal Oz. On December 13, his death was confirmed, and authorities said his body is being held hostage in Gaza.

Tusiwe mapunguani kujifanya tuna uchungu kumbe tunaingizwa chaka hii video imetoka leo karibia miezi 3 hiyo
Maiti ilikuwa Gaza?

Hapo alipopigwa risasi Joshua ni wapi?

Nani alikuwa anachukua hiyo video?

Hii video wangepost Hamas maswali yasingekuwa mengi lakini wamepost Israel wakati walituambia ameishakufa Gaza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…