Nadhani ulitaka kusema Adamu Mwangosi badala ya Azory Gwanda.
 

Mtu wa hovyo sana wewe, if u imagine status ya mtoto wa watu in a foreign land, inasikitisha sana, that waa a very brutal death.
 
Umekosea sana katika kujenga mada yako. Kuna fundisho kuwa huwezi kwenda juu kwa kumrudisha chini aliye juu, inabidi wewe upande juu zaidi yake. Kudharau kuuawawa kwa huyo kijana wa kitanzania huku akidhalilishwa kwa kupigwa video na hao maharamia ambao wamesababisha amani ivurugike siyo jambo la kawaida ni kukosa busara sana. Ni nani mwingine aliyeuwawa hivyo na watu wa namna hiyo. Ungetafuta lugha nzuri ya kuhoji Ben Saanane bila kuhusisha na unyama aliofanyiwa kijano huyo. Yaani unataka ku-downgrade ubaya aliofanyiwa mbele ya dunia ili kukuza unaoona wewe kuwa ndio ubaya zaidi ambao hakuna video ya kulinganisha bali speculations tu.
 
Mtu wa hovyo sana wewe, if u imagine status ya mtoto wa watu in a foreign land, inasikitisha sana, that waa a very brutal death.
Google picha za ALPHONCE MAWAZO aliyouwawa kwenye nchi yake au yeye hakuwa mtoto wa mtu?

Your level of stupid is very good and surprising
 
Nikusaidie kuleta picha za ALPHONCE MAWAZO?
 
Huyu aliuliwa na WATANZANIA wenzake
 
Una akili nyingi sana mpk nyingine zinamwagika mkuu....Hawa majamaa ni waongowaongo sana....ukishadanganya kwny baadhi ya mambo hata mengine utakayoyasema huko mbeleni yatakuwa yanatiliwa shaka maana ushajiwekea alama ya kwmba ww ni muongomuongo tu
 
Acha unanzi wa kijinga mkuu,kwa shambulio lilofanyika October 7,watu wameuliwa zaidi ya 1300,wengine wamechukuliwa mateka na tension ya kujilinda ni kubwa,huo muda wa kufanya utambuzi haraka haraka ungewezekanaje?

Ilihitaji muda kujua nani na nani amekufa,na nani nani ametekwa.
 
Lengo lao watu wawachukie hamas wawaone kama wauaji
Ila watashindwa nampaka sasa washashindwa tayari
Pole kwa familia ya mollel pole zao sana sana sanaaa
Ila ukweli tutaendelea kusimama na hamas wapigania uhuru
Kwa hiyoo kumuua mtanzania yule kumewapa uhuruuu??? Yani ile hamas israel itusaidie pabaki patupuuuu bila gaidi yeyote...
 
Alivyouwawa mawazo ni speculations? Alivyouwawa Mwangosi ni speculations? Au kwakuwa mauji ya huko hayawahusishi watawala wa hapa basi mnataka kuonyesha mnachukia mauaji?
 
Kukua kwa kasi haimaanishi ndo dini ya kweli!
 
Una uhakika gani km ameuwawa na hamas kama israel tu raia wake wamewauwa ile siku
Ninyi mtusaidie tuu hayo maneno wanayotamka kwenye hiyo video kwa hilo lugha mnayotumia ninyi na majini mnayosema ni ya mnyaaaaanzi anayependa damu za watu kwa kuamrisha wafuasi wake wachinje wanyama na watu ili ile damu ainywe yeye. Hayo mengine tutamlilia Jehova shami atashugulika na huyu mpenda kafara za ddmu za watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…