Huu unafiki mnaounesha hapa mngekuwa mnaumia kwa wale watoto wanaupigwa mabomu na israeli kule Gaza ningewaelewa sana.
Na wewe acha unafiki, kwani Hamas walivoanzisha mashambulizi kwa kurusha mabomu hakuna watoto wa Israel waliokufa?? Kwaio watoto wa palestina ndo Wana Haki tu ya kuishi..acha chuki kisa dini mzee
 
Israel ni war zone , unapoenda pale jua umeenda uwanja wa vita ,na vita haina macho
Nawashangaa wanaopiga kelele humu
Fools
Hivyo vifo ni collateral damage na sio watz tu ndio wamekufa ,mataifa mengine pia wamekufa na wapalestina wanaendelea kufa
 
Na wewe acha unafiki, kwani Hamas walivoanzisha mashambulizi kwa kurusha mabomu hakuna watoto wa Israel waliokufa?? Kwaio watoto wa palestina ndo Wana Haki tu ya kuishi..acha chuki kisa dini mzee
Kwani wazayuni wanaoua wapalestina kila siku wapo sawa si ndio ? pumbavu wewe
Au huu mgogoro umeanza kufuatilia October 7
Kenge we
 
nenda kawasaidie basi,unalalamika hapa JF ILI IWEJE
 
Huyo mjinga fulani hivi asiye na majukumu yoyote, wengi humu ni watoto wa sekondari bado akili zao haziwasaidii.
 
Huu mgogoro ukiangalia kwa angle ya uhafidhina na unazi wa kidini kama wakristo wengi wanavyofanya, utakuwa unajipa ukichaa na uwendawazimu na utaishia kupotoka na kupotosha watu.

Yaani hao raia wawili ni tone ndani ya bahari kwa dhahama ambayo imekuwa involved miaka 75 hii ya vita isiyoisha kati ya wazayuni na palestinians .

Mtalalama na mtanena kwa lugha sana lakini hamna litakalobadilika
Issue ni kwamba ukae ukijua unapoenda Israel ile ni uwanja wa mapambano ,maisha yako ni jukumu lako .

Wajibika ,ni sawa na leo hii itoke hapa uende ka zuzu kule kivu -Congo wakati ile ni sehemu ambayo vita ni endelevu na massacres ni sehemu ya maisha ya kila siku pale, halafu ukifumuliwa ubongo ulaumu .

Hamna wa kulaumiwa hapo , unapoingia uwanja wa mapambano unawajibika ,kiufupi umeamua kuyatimba ,its your business
 
Wsamehe waliotoka povu , lakini mpaka sasa wanatoka povu wanataka proff, mara wanauliza ooh Mgaiadi ya kislamu ya Hamas yaliuweka mwili kwenye friji au ilikuwaje, in short Supportes wa Magaidi ya kislamu ya Hamas hayana tofauti na Hamas.
 
Wewe ni mpumbavu sana ,unajua Lords resistance army ya Joseph Kony pale Uganda walifanya mambo gani wakati wanapambana na Museveni ? ,Ile si ilikuwa taasisi ya kikristo ?

Unaijua IRA (Irish republican Army) ya Ireland wakati wanaendesha mapambano ya kiharakati na mlengo wa kidini dhidi ya serikali ya Uingereza mpaka leo hii ?
Unajua ni tactics gani walizokuwa wanatumia ?
Tactics za IRA na Hamas zina tofauti gani ?
Unawajua Neonazis na klux klax clan (Right wing Chrisian groups ) pale Marekani ambao wana indoctrinate watu kufanya mass shooting na kuua watu kila siku pale Marekani na matukio kama Thimothy Mcgveigh aliyefanya bombing ya kule Oklahoma -USA ?

Mpuuzi sana wewe ,jaribu kuwa unafuatilia mambo ulimwenguni humu na uache kuendeshwa na mihemko na udumavu wa kifikra iliyopandikizwa na viongozi wako wa dini
 
Na wewe acha unafiki, kwani Hamas walivoanzisha mashambulizi kwa kurusha mabomu hakuna watoto wa Israel waliokufa?? Kwaio watoto wa palestina ndo Wana Haki tu ya kuishi..acha chuki kisa dini mzee
Kwa hiyo Watoto wa Israel wakiuliwa na Hamas inahalalisha na Israel kuua watoto wa Palestine? Yaani wakristo mnawachukia Waislam kwa kias hicho kwamba yoyote anayepigana na Muislam mna-side nae regardless anafanya makosa au lah?
 
Waislam wana ugomvi na wayahudi
Waislam wana ugomvi na wakristo
Waislam wana ugomvi na wahindu
Sunni Vs Shia
Zaidi ya asilimia 90 ya migogoro ya kidini inayohusisha silaha inahisisha waislam,shida ni nini hasa?
Kila siku kwenye midahalo swali kubwa ni is Islam a religion of peace? Jibu ni no it's not a religion of peace.

Hatusikii ukatili wa dini zingine au vita vyenye misingi ya kidini isipokua waislam.

Sijawahi kuwasapoti Israel kwenye huu mgogoro lakini najiuliza kwa hawa watu ,unauaje kwa jina la Mungu wenu kisha utegemee huruma kutoka kwa jamii? Allahu Akbar 🐔
 
Ntazidi kusema nalaani kabisa aliyewaua na kifo hichi kinadhibitisha kuwa mtu mweusi yupo huru tu afrika pekee.
Tulikuwa colonized na all other races ,iwe mwarabu,mhindi , mzungu n.k .
In history sijapata kuona wafrika tumevuka border kuchukua mateka any other race ,never.
Yule kijana hana makosa yyte kando na kuwa sio mwarabu , tupendane waafrika jamani, afrika ndipo pekee tupo huru aisee
 

Bado huna Busara hata ukiamisha hamisha madai. Kama watu wameuwawa Zanzibar huwezi kusema wamakufa "kifo cha kawaida "
 
Wapigwe tu, wawe watoto, si ndiyo hao wakikuwa wanavamia kule Israel? Wapigwe hao wanawake wanaojifunga mabomu kujilipua, na hao wazee wasio na adabu, wapigwe wote. Safari hii watakoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…