NILIKUWA UPANDE WA HAMASA KWA KUSEMA KUWA WANATETEA ARDHI YAO ILA KWA UNYAMA HUU HAPANA KWA KWELI HAUKUBALIKI NA BADO SERIKALI YETU IPO KIMYA..

Endelea kupumzika Joshua
Hujawahi kua upande wa hamas toka uumbwe
Ila tufanye ulikua upande wao unadhani kutoka kwako kutawazuia kuendeleza mapambano yao
Pole kwa familia ya mollel na taifa kwa ujumla
Hamas endeleeni kutetea haki zenu ipasavyo
 
Huna unalojua
Hamas ilikaa pale kwauchaguzi halali kabisa mnaoita wenyewe wakidemokrasia
Suala la hamas kufutwa endeleeni tu kuliota maana halitakaa litokee
 
Hamas ilikaa pale kwauchaguzi

10 August 2023
Last Thursday, Abbas ordered the removal of 12 of the 16 regional governors in the West Bank and Gaza. The four governors fired in the Gaza Strip only had a symbolic role, since the PA was violently booted from the coastal enclave in 2007 by Hamas.

Baada ya ushindi huo kwa ahadi kibao, HAMAS imeteka nyara mfumo wa uchaguzi na kuutupilia mbali zoezi la uchagazi hivyo sasa wakaazi wa ukanda wa Gaza hawana tena nafasi ya kupiga kura kwakuwa HAMAS haiamini ktk demokrasia.
 
Sijajua kama umetafsiri sawa sawa ama laah
Ila mwanzo ulivyokuja na kukurupuka hapa???
 
inaumiza sana kwa wanachotendewa wapalestina mtu anafanyiwa uovu na unyama wa hali ya juu akijaribu kujitetea anaonekana gaidi.hakika inaumiza sana kwa anachofanyiwa mpalestina
Wanafanyiwa nn..wakat kila kitu wanapewa free na Israel kuanzia umeme maji chakula..lakin tamaa ndoinawasumbua na roho mbaya za kigaid
 
Hujawahi kua upande wa hamas toka uumbwe
Ila tufanye ulikua upande wao unadhani kutoka kwako kutawazuia kuendeleza mapambano yao
Pole kwa familia ya mollel na taifa kwa ujumla
Hamas endeleeni kutetea haki zenu ipasavyo
Sawa mkuu, Yote unayosema ni mawazo yako na yanalindwa na katiba kwahyo nayaheshimu sana..
Shukrani
 
Mbona walioko madarakani wanauwa kila siku? Au Kifo cha mbali kinauma zaidi? Mawazo yuko wapi? Azory yuko wapi? Bint mdogo aliuwawa kinondoni akiwa ndani ya daladala hana hatia yoyote ila wako wapi waliomtoa uhai wake? Tunapaswa kusikia uchungu kwa mauaji ya binadamu yoyote si lazima awe mweusi kama wewe, mjerumani aliuwa wahenga wa nchi hii lakini hata kujali hakuna, huenda tukabadili namna ya kufikiri mambo yetu
 
Nilikuwa naona kama wanaonewa ila baada ya kuona hii clip ni bora Israel waendelee kugeuza Gaza yote kuwa vifusi tuu..
Naam kwa sisi Wakristo wanachokifanya Wazayuni tunakielewa hasa ukizingatia waliasisi hilo kwa manabii, hata dhambi alizotubebea Yesu ilikuwa ni mauaji waliyoyatekeleza wao, kiufupi wanachokifanya ni faraja sana
 
Dah! Mimi ni muislamu safi ila kwa hili napata mashaka sana na hii dunia yetu. Utu umepotea, sasa huyu dogo maskini ya Mungu anamakosa gani jamani.
Mtume Muhammad alipigana jihad nyingi hakuwahi kuruhusu wasio wapiganaji kuuwawa sasa hawa wanatanguliza jina la Allah kivipi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…