Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Hujawahi kua upande wa hamas toka uumbweNILIKUWA UPANDE WA HAMASA KWA KUSEMA KUWA WANATETEA ARDHI YAO ILA KWA UNYAMA HUU HAPANA KWA KWELI HAUKUBALIKI NA BADO SERIKALI YETU IPO KIMYA..
Endelea kupumzika Joshua
Ila tufanye ulikua upande wao unadhani kutoka kwako kutawazuia kuendeleza mapambano yao
Pole kwa familia ya mollel na taifa kwa ujumla
Hamas endeleeni kutetea haki zenu ipasavyo