Kuna la kujifunza hapa!!shida vita hii inajadidiliwa kidini badala ya uhalisia wa vita yenyewe
 
mapumbav tu haya ma hamasi ya buguruni .. wameambiwa alikuwa chuo... haya elewi.. Hao hamas wanaua watu wasio wa dini yao..
Hamas waliua arab Bedouin na alikiri yeye ni muislamu bado Wakamuua. Kuna videos nyingi watz hamjaona bado. Ntatoa link muangalie unyama uliotokea. Unaambiwa ile Familia ikiwaona Hamasi itawamaliza kabisa.
 
Mbona haionekani!??
 
Inasikitisha sana! Lakini hata hivyo sidhani kama Hamas walimwua kana kwamba wanachuki na Watanzania.
Huenda walijua ni adui yao!

Ni kama vile IDF walivyoua juzi Mateka wao, waliamini ni maadui!
Kwenye Vita huwezi kumwamini mtu akiwa upande wa adui!
Hata hivyo inahuzunisha kwa kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…