Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhuru hauchokwi kupiganiwa dogo.Harakati zimeshindwa toka 1948 mpk leo
Walishaonesha ni aina gani ya watu ndio maana hawakupewa uhuru wao,United Nations sio wajinga,vitu havitokei tu
Huwezi wapa watu kama hao wawe Taifa
Utapata bias history try doing your own researchHivi foundation ya HAMAS ilitokana na nini mwenye kufahamu historia ya hawa mandezi
Mi imeniuma kchzSam100 njoo Huku uone uone watoto wetu walivyo uwawa kinyama
Mkuu umeenda mbali sana...Balozi Hamdi Mansour Abuali Hakulaani ugaidi wa Hamas, wala kuonesha masikitiko raia wa Tanzania wametekwa, ila kutumia mateka kama "zana" ya propaganda chafu.
Tanzania ni lazima kuwachukulia wa Palestina kwa tahadhari kubwa kama tunavyoona mataifa mengine ya kiArabu siyo wajinga kutowakumbatia hawa waPalestina kwa mikono miwili.
Haisadii kuniita mjinga. Palestina lazima ipate uhuru wake.Mjinga Mmoja wee !!
diniya amani faizaHabari wazalendo wa kitanzania. Video hii nimeipata IG kiukweli nina mixed emotions. Nina hasira na masikitiko makubwa kupita kiasi. Ewe mtanzania mzalendo wa nchi tuweke mbali udini etc ni kitu kilichoniumzia roho mno. Hii video inamuonyesha Joshua Mollel akitekwa na Hamas. All the deniers sijui nawasaidia vipi. Huyu alikuwa ndugu yetu. RIP Joshua. My heart bleeds kwa hii familia
View attachment 2845298
Ignore him pleaseMjinga Mmoja wee !!
Huwa unaumia hivi hivi hata wanapouliwa wale watoto kule Gaza?Mi imeniuma kchz
Hadi wamemkanyaga. Mmoja katumia kisuNilikuwa napata hii feeling Joshua na mwenzake waliteswa sana kabla vifo vyao..because they are black..
I had this feeling..
Brutally murdered
Wewe hauna upande wapi tunakujua. Toa uongo wako hapaAisee aiseee aiseee sikua na upande hii vita na kuwaonea huruma Palestine. Aah leo kuanzia leo hawa mbwa wapelekewe moto. Aisee Israel ua hao washenzi futa kizazi chao chote.
😬😭Aisee aiseee aiseee sikua na upande hii vita na kuwaonea huruma Palestine. Aah leo kuanzia leo hawa mbwa wapelekewe moto. Aisee Israel ua hao washenzi futa kizazi chao chote.
Sasa ww kama unaumizwa na mtz mwenzako mmoja aliye uawa vipi kuhusu wapalestina ambao kwa miaka 75 wamekuwa wakiuawa maelfu kwa maelfu bila sababu?Hapa mambo ya dini yanaingiaje ? Taifa lipo kwenye majonzi wewe unaanza kuhusisha ugaidi na udini, una uwezo mdogo sana wa kufikiri.
siwezi kuendelea kukujibu, inaonyesha wazi kabisa hata hujaumizwa na kifo cha mtanzania mwenzetu alieuwawa bila sababu
Kwa hali hii iliyotokea, naona kuna haja kwa Serikali yetu kupeleka kwa siri kikosi maalumu cha kijeshi ili kwenda kuungana na Majeshi ya Israel (IDF) ktk kuwaangamiza hawa magaidi wa Hamas.ni shasema tanzania na balozi zake zisikie ukipata matatizo hakuna watakalo kusaidia ukilinganisha na nchi zengine wakifanyiwa watu wao wanaweza kupeleka makomando au kukata diplomasia kabisa.
Mkuu umeenda mbali sana...
Huyu balozi anawakilisha mamlaka ya Palestine (PA) na sio Hamas, halafu hakuna sehemu mamlaka ya Palestine imeunga mkono mauaji yaliyofanywa na Hamas kule Israel
Iko hapa tayari.Ningetag video nyingine nmeona X formerly known as Twitter unaina jinsi wanavyompiga bastola na AK47 kalashnikov
bibi yetu FaizaFoxy anapotazama hii moyo wake swafiiii yani raha anamalizia kwa kusema alaakbaruI seeee! Anayeshabikia ugaidi hajitambui
Mjinga Mmoja wee, Mzozo wa Palestina ulianza pale tu Wana Israel, Walipokua wametawanyika kuamua kurudi kwenye Ardhi ya Baba zao kama ambavyo Mungu alikua kawaahidi katika Isaya 14 !!Una uhakika kuwa mzozo wa wapalestina na Israel umeanza baada ya Hamas kufanya shambulizi?
Mm nadhani ungerudi kwenye mada zako za namna ya kukojoza wanawake hizi mada zinazo hitaji akili hazikufai.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app