Nimeona clip ya Mtanzania mwenzetu Joshua Mollel anauawa na Hamas. Inatia hasira kuona tulipiga kura kuwaunga mkono
Duh !!!

Inafikirisha.....

Watuletee tu Mwili wa NDungu yetu Mwenzetu Tuzike kwa HESHIMA


Rip Mollel
 
Sasa unakata Mawasiliano na nani wakati Hamas hawana Serikali inayotambulika?

Hiki hiki unachoona wanafanya Hamas ndicho wanafanya Israel Kwa Wapalestina wasio na hatia ,laiti wangekuwa wanafanya Kwa Hawa Hamas hakuna mtu angekuwa na shida.
Hivi mkuu kama kweli mnapewa bikira 72, kwanini Hamas wanajificha hospitalini, kwenye mahandaki. Wakae tu watandikwe wawahi kuzichapa bikira zao
 
Mjinga Mmoja wee, Mzozo wa Palestina ulianza pale tu Wana Israel, Walipokua wametawanyika kuamua kurudi kwenye Ardhi ya Baba zao kama ambavyo Mungu alikua kawaahidi katika Isaya 14 !!


Kurudi kwao kunakuta Hawa wapuuzi warabu wameikalia Ile Israel , lkn kwakua Ardhi ni Yao, ndio Sababu hata Umoja wa mataifa uliamua kuwapa Ardhi yao



Chuki za Waarabu zikaanzia hapo.


Safari hii Gaza, hamtokuwepo, Isarel unaenda kuikalia Gaza kijeshi.


Kisha itahamia West Bank, mkileta Ujinga zaidi, Israel atalipua na Msikiti wa Al-aqsa kama alivyolipua misikiti ,mashulez Mahospital na takataka nyingine.


Kwa Kifo Cha Muisrael 1 - Ni lazima Wauawe wapalestina kuanzia 100
Ndio maana nimesema huna unacho kijua bali nenda kwenye mada zakukujoza wanawake maana ndo unazo ziweza huku hapaufai.
Dunia inaongozwa na sheria za kimataifa na sio hadhithi za biblia,unajitia kuijua biblia hali yakuwa unashinda humu unahubiri uzinzi na uchafu?

Hapo unapo ishi akija mtu akakwambia kuwa hapa ni sehemu ya mababu zangu kwa miaka zaidi ya miaka 500 iliyo pita utakubali?
Alafu kila mtu tukisema arudi kwenye eneo la asili yake hii dunia itatawalika kweli?

Kwanza ww mwenyewe una uhakika gani kama hapo unapo ishi na ukoo wako ndo chimbuko la asili yenu?

Punguza usenge haya wanayo yapitia wapalestina siku moja na ww unaweza kuja kuyapitia ww na familia yako maana siasa hazijawahi kutabilika.



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nina maswali mengi sana..
Why him!?
Kwanini wachukua video!?
Ujumbe gani wanautuma Africa!?
Why why!? So many whys!

Alafu walienda kumchinjia mbali huko!? Why was he pointed!?
Kuna kitu..
Kuna kitu. Sth is not right!
Kumbe walimpiga risasi wakaenda kumchinja tena!!!!!!?
 
Nimesikiliza mpka mwisho na kinachoonekana ameuwawa kwa sababu ya Lugha Gongana na walimistake kwamba yeye katoka somalia

wengine wanasema hapo na wengine wanasema As-hab" yaanu (أصحاب) Maana yake wanasema ni Mole kutoka Kwa waisrael na anaammbiwa ajitete kama ni kweli kipindi bado hajajibu kuhusu Tuhuma ya kuwa Alshaba kutka somalia Kuna mwengine alidakia kusema Kuwa... Mash" (مش), yaani hapana huyu ni As -hab yaani..
Huyu ni mshirika wa Israel ..

So mabishano yalikuwa ni lugha gongana kama angekuwa anajua lugha nahisi asingefariki maana walijua israel wametuma Watu kupelelza

SO SAD ...KWAKWEL
 
Still makosa ni ya Israel kulazimisha kukaa kwenye ardhi ya watu mpaka wanawaponza wasio na hatia.

Hisia zingine zinaniambia huyu dogo alikuwa anaandaliwa kuwa jasusi maana hata hiyo boxer aliyovaa inaonesha alishaingia kwenye system ya ujasusi.

Pumzika kwa amani kijana, umeponzwa na watu wala sio kosa lako,tangu lini kilimo kikapatikana jangwani badala ya Africa.
Kwa taarifa yako tu, hapo Gaza hapakuwahi kuwa ardhi ya Wapalestina. Ile ilitekwa na Israel kutoka Misri halafu Israel ikawapa Palestine wakae pale
 
Dah imeniuma sana..hiv hakuna wapalestina hapa bongo tukalipe
 
Hiyo wakati Wana mhoji walimpa salam..... "Assalam alaykum " hakuwa anajibu ila alikuwa anajitetea Tu daah hiyo box ina asilimia 20 za kuuwawa na watu hao
Yeah walikuwa wanajaribu kuangalia kama Ni mwarabu au Maana wamemuuliza pia wewe ni mwarabu au unajua kiarabu maskini hajui anachoulizwa mpaka wakaconclude mwishoni kwamba huyo ni mtu kutoka israel As-hab ul Kufur
 
Niliwahi kusema haoa kwamba Rais alipiga kura kuwaunga mkono Hamas kwa msukumo wa dini wengi mlitoka povu. Kuna video inasambaa ktk mtandao wa X inatisha sana. Moyo wangu unavuja damu mtanazania mwenzetu alitokea shambani na kibaiskeli chake maskini ya Mungu. Anakamatwa najitetea lkn haeleweki kisha anapigwa risasi alaf wanashangilia huku wakisema Alakh akbar.

Kijana mdogo anazimishwa ndoto zake na wajinga wachache alaf et leo Rais anapiga kura kuwatetea wauwaji. Rais Samia damu hii utaijibia... Ulishindwa kuzuia wasimuue lkn hata kulaani mauwaji ya watanzania wenzako umeshindwa? Badala yake umewaunga mkono wauwaji.

Video hyo inaogofya sidhani kama inafaa kuwa shared hapa. Kama unataka unaweza kuingia mtandao X imesambaa sana. Inatia huruma.

R.I.P mdogo wetu

Niliwahi kusema haoa kwamba Rais alipiga kura kuwaunga mkono Hamas kwa msukumo wa dini wengi mlitoka povu. Kuna video inasambaa ktk mtandao wa X inatisha sana. Moyo wangu unavuja damu mtanazania mwenzetu alitokea shambani na kibaiskeli chake maskini ya Mungu. Anakamatwa najitetea lkn haeleweki kisha anapigwa risasi alaf wanashangilia huku wakisema Alakh akbar.

Kijana mdogo anazimishwa ndoto zake na wajinga wachache alaf et leo Rais anapiga kura kuwatetea wauwaji. Rais Samia damu hii utaijibia... Ulishindwa kuzuia wasimuue lkn hata kulaani mauwaji ya watanzania wenzako umeshindwa? Badala yake umewaunga mkono wauwaji.

Video hyo inaogofya sidhani kama inafaa kuwa shared hapa. Kama unataka unaweza kuingia mtandao X imesambaa sana. Inatia huruma.

R.I.P mdogo wetu
Kwani Raisi wa Joshua anasemaje katika hili?
 
Back
Top Bottom