Nimeona clip ya Mtanzania mwenzetu Joshua Mollel anauawa na Hamas. Inatia hasira kuona tulipiga kura kuwaunga mkono
Vipi hawa wanaoua watoto, Mungu wa kweli ameruhusu?
Ukitaka kujua ni watoto au magaidi jichanganye kwenye anga zao uone wanakuchinja huku wanaimba Allahu Akbaru Allahu akbaru...takbirrr.
 
Serikali yetu imeshindwa kuchukua hatua za uhakika juu ya watu wetu.pia nathubutu kusema hata kama tungekua na mateka wengi huko israeli naamini wangekufa tusingeweza kuwakomboa . Tumekua ni serikali ya kupokea kila tunachoambiwa badala ya ku demand.
Kama kuhoji ndio huku hakuna maana. Uache kumwita balozi wa Pakestina ambao ndio wahusika wa mauaji ukamhoji aliyeshambuliwa?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Habari wazalendo wa kitanzania. Video hii nimeipata IG kiukweli nina mixed emotions. Nina hasira na masikitiko makubwa kupita kiasi. Ewe mtanzania mzalendo wa nchi tuweke mbali udini etc ni kitu kilichoniumzia roho mno. Hii video inamuonyesha Joshua Mollel akitekwa na Hamas. All the deniers sijui nawasaidia vipi. Huyu alikuwa ndugu yetu. RIP Joshua. My heart bleeds kwa hii familia

View attachment 2845298
Jama pana kitu lazima alikifanya akakamatwa ndio wakaamua kutoa hukumu hiyo,

Kwanini kwenye hiyo video yeye yuko peke yake eneo hilo,

Kwanini hao jamaa wote kila mmoja anataka kumua attack yeye?
 
Unahitaji kuwa binadamu tu kuweza kupigania haki za wapalestina na kuzuia Genocide.
Acha kelele nenda kawapiganie hawapo huku jf wala hawakujui kama unawasapoti wakikuona na hio ngozi yako nyeusi watakuua kama walivoua wengine
 
Wewe ni gaidi mpum.bavu, unatetea uovu kisa dini ya kijinga!!???
Usiniletee ushoga kuhoji ni kutetea? Mimi siyo punguani kama wewe kumeza tu eti kanali
Labda kanali wa mashoga.
 
Sasa ww kama unaumizwa na mtz mwenzako mmoja aliye uawa vipi kuhusu wapalestina ambao kwa miaka 75 wamekuwa wakiuawa maelfu kwa maelfu bila sababu?

Kila binadamu anastahili kuhurumiwa na kutetewa pale anapo onewa maana mbele ya mungu thamani yako haitambuliki kama mtz bali unatambulika kama mwanadamu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Watu wameanza kusikia habari za palestina mwaka huu 2023

Hawajui mateso waliyoyapitia muda mrefu

Wanakuja JF kunyakunya tu
 
Kilichompeleka ni elimu. Kwani wakati anakamatwa alikuwa na silaha? Si alikuwa tu na kibaiskeli chake? Alipokamatwa alileta upinzani? Magaidi mbwa mwitu yamemuua bila hatia. Takbirrr siyo salama duniani
Alijificha kwenye shelter. Sources nimezipost hapa
 
Balozi alisema nini kwenye mahojiano?

Nini kinaunganisha story ya video na mahojiano?
Watanzania wengi hawajui kuwa Israeli haikuwepo kabla ya 1948 na kwamba wale waliopo pale ni wazungu kutoka ulaya walioletwa na Umoja wa mataifa. Hii ni habari ambayo Israeli hataki watu wajuwe hasa mataifa ya huku ushenzini ili waendelee kupata uungwaji mkono kwa kupitia Bibilia wakati asilimia zaidi ya 67 ya raia wa Israeli hawaamini Mungu akiwemo waziri wao mkuu wa sasa Benjamin Netanyahu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom