Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Halafu eti unakuta gujidemu gunatoa mimba yako!! Wkt tunapigika jamani kua uyaone
......watapata tabu sana me wengi tukigundua haya.endelea kuelimisha.
 
Acheni hizooo, sasa mnataka wanawake wale nini....!!

Wakale wapi...!!!

Halafu utamu wa Ke aukulenani....??!

Ngoja nikawasemee...
jamani ma toy...yooote hayo?? Basi chongeni vimiti halafu unakivalisha condom.hii ni nzuri unachonga size inayo kufaa kwa unene na ufupi....km kazi saaana kamatia matango.ndizi.muhogo mbona nyie raha tuu. Ok! Km vipi mnaweza fuga mbwa dume km wazungu....wale mbwa ndo kazi yao.
Yaani nyie ni rahisi sana mnachomeka tu baasi.
 
la nuksi nakukubali mtu wangu demu wangu jacky wa zamani nimekaa nae jata sikujua utajiri ni ni lkn nilipo muacha maweee!! Ma..bus mengi yakawa maradufu yanaingia na kutoka..Hotel 15 nilijenga mwaka tu..10 nje ya nchi ziko zinakula mzigo.
 
Sawa uko sahihi kabisa lakini ukumbusho ni kwamba Nofap
Itakua sensitive kama pia ukiaachaa ya fuatayo

unywaji pombe.. kupitiliza.. hapa kwa wale wanaotumia pombe unaweza kunywa chupa mbili au tatu tu za pombe zenye wastani wa alcohol 5.5
Uvutaji sigara zenye wastani wa nicotine 1.1 iwe moja kwa siku
Punguza kulala sanaa wastani wa masaa 7.mpaka 6.
Punguza kula wastani wa meals 2 mpaka 3.kwa siku.
Punguza msongo wa mawazo wastani wa proyteg fox pre2 uwe under 0.pre1
Punguza kuwa na watu karibu.. at least 30 minutes ..
Faya ibada au salaaa ..
 
Kumbe duniani **** challenge nyingi!!!!!![emoji16][emoji16] vigezo na masharti kuzingatiwa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ikiwezekana tutafte kabisa njia ya uzaz wa mpango wa wanaume. Njia tofauti na condom& withdrawal.

#NoFap#
BBC News, Swahili
Ruka hadi maelezo
Yaliyomo

Je wanaume wako tayari kutumia dawa za uzazi wa mpango Kenya ?​

20 Aprili 2018

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Maelezo ya picha,
Mipira ya kondomu haiaminiki kuzuiwa uja uzito ikilinganishwa na mbinu nyingine za kupanga uzazi
Kenya imechaguliwa kuwa sehemu ya utafiti wa vidonge vya uzazi wa mpango kwa wanaume.
Nchi nyingine zinazoungana na Kenya ni Uingereza, Italia na Chile ambapo wanaume watatakiwa kunywa kidonge kimoja kila mwezi.
Taasisi ya taifa ya maendeleo ya afya ya mtoto ilitengeneza kidonge kwa ajili ya kuwahimiza wanaume kutumia njia za uzazi wa mpango.

Maelezo ya sauti,
Kijiji ambacho wanawake 'huwabeba wanaume' Rwanda
Inaelezwa kuwa mwanaume anayetumia kidonge anatarajiwa kupunguza idadi ya mbegu za kiume ndani ya saa 72 na kupunguza uwezekano wa kutungisha mimba.

Jaribio hili linatarajiwa kufanyika kwa miaka minne, wataalamu wakisema kuwa mpango huu unahitaji jitihada za pamoja za jinsia zote ili kufikisha lengo la asilimia 70.
ingawa kumekuwa na msukumo kwa wakenya kukubali kidonge hicho, mpango huo umekosolewa swala la maadili na madhara yake baada ya dawa hizo kuwafikia vijana hali ambayo inadaiwa kuwa vitendo vya ngono vitaongezeka miongoni mwao.
Kisiwa ambacho wanaume wanatafuta wake wa kuoa
Utafiti: Wanaume hulemewa na mafua zaidi ya wanawake

CHANZO CHA PICHA,AFP
Njia za uzazi wa mpango zilianzishwa kwa mara ya kwanza nchini Kenya mwaka 1967,vidonge hivyo vilianza kutumika kwa wingi mwaka 2004 .
Wataalam wa afya wanasema vidonge hivyo ni salama na hazina madhara yeyote kwa mwanaume wakati wa kujamiiana
Utafiti uliochukua mwezi mmoja katika chuo kikuu cha kitabibu cha Washington kiliwahusisha wanaume 83 waliomaliza majaribio mbali na 100 waliochaguliwa.
Wanaume walikuwa na umri wa kati ya miaka 18 na 50.
Je vidonge hivi vina madhara gani?
Watu tisa pekee walioshiriki kwenye utafiti huo walieleza kuwa wamepunguza hamu ya kujamiiana, wanane walipata miwasho kwenye ngozi
Pia kuna walioripoti kuongezeka uzito wanasayansi wakisema hali hiyo si hatarishi.
Kidonge hicho kimeripotiwa kutokuwa na madhara kwenye figo au kuathiri ufanyaji kazi wake, tofauti na iliporipotiwa wakati wa majaribio ya dawa ya uzazi wa mpango ya wanawake ambayo mpaka leo kuna changamoto hizo
 
Sasa unawapanga wanawake na wakati upo kwa hiyo challenge?

Huyu mtu ni mmoja wenu kweli? Swali kwa na NoFapaa sijui
 
Big up sana mwamba kwa kuongezea nyama hapo..... Ni faida konki kabisa hizi ambazo ni lazima kidume yeyote anazihitaji ili kutimiza malengo man. Team NoFap.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…