Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Halafu eti unakuta gujidemu gunatoa mimba yako!! Wkt tunapigika jamani kua uyaone
......watapata tabu sana me wengi tukigundua haya.endelea kuelimisha.
 
Acheni hizooo, sasa mnataka wanawake wale nini....!!

Wakale wapi...!!!

Halafu utamu wa Ke aukulenani....??!

Ngoja nikawasemee...
jamani ma toy...yooote hayo?? Basi chongeni vimiti halafu unakivalisha condom.hii ni nzuri unachonga size inayo kufaa kwa unene na ufupi....km kazi saaana kamatia matango.ndizi.muhogo mbona nyie raha tuu. Ok! Km vipi mnaweza fuga mbwa dume km wazungu....wale mbwa ndo kazi yao.
Yaani nyie ni rahisi sana mnachomeka tu baasi.
 
Hi nzuri ina faida zifuatazo.
-inakuepusha na magonjwa ya kuambukiza kwa njia ya ngono.

-inakuepusha na nuksi.
-inakuepusha na majanga mbali mbali mfano,mimba zisizo tarajiwa,kufumaniw nk.
-inakuepusha na vizinga mwambatano.

-unapata utulivu wa nafsi.
-akili inajikita kwenye ukuaji wa uchumi wako.
-Unarejesha nguvu upya za sexx
la nuksi nakukubali mtu wangu demu wangu jacky wa zamani nimekaa nae jata sikujua utajiri ni ni lkn nilipo muacha maweee!! Ma..bus mengi yakawa maradufu yanaingia na kutoka..Hotel 15 nilijenga mwaka tu..10 nje ya nchi ziko zinakula mzigo.
 
Wasalaaaaaaaam wadau.... Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati.

Kwa wale wasioelewa maana ya neno NoFap.......

NoFap.... ni kitendo cha mwanaume kukaa kwa muda wa kipindi fulani eidha miezi miwili, mitatu mpaka miezi sita pasipo kutoa mbegu zake za kiume yaani hiyo challenge msingi wake ni No Sex, No Masturbationn, No Watch Porn.

Hii ina faida nyingi sana yaani ni sawa na kujirestart mfumo wako mzima wa mwili ukitoka hapo unakuwa mpya kabisa, hasa ukikaa miezi kuanzia mitatu mpaka sita.

Niombeeni wadau katika hiu challenge ambayo nimeianza leo hii mara baada ya kushusha thread hii, sio rahisi hasa kama ulizoea kula mbasusu kwa mwezi zaidi ya mara kumi kama mimi, lakuni naamini nitashida hii challenge.

Mambo ya kumwaga mwaga mbegu bila sababu za msingi eti kisa utamu mwisho leo. Na nimeifalia sana hii ishu ya NoFap baada ya kuiona kwa mara ya kwanza mitandaoni huko na ziliiridheshwa faida nyingi sana za hii kitu na kuna baadhu ya wanasayansi wakubwa mambi yao yalifanikiwa zaidi baada ya kujiunga na hii kitu, mmoja wa wanasayansi mashuhuri ninaowakubali waliowahi kutumia huu mfumo wa NoFap ni Nikola Tesla jamaa mpaka anakufa alikuwa hamwaga mbegu zake kwa zaidi ya miaka mitatu,

Mimi nataka nianze na miezi mitatu kwanza.

If you want to reborn you are kindly welcome to the challenge.

View attachment 2234241
Sawa uko sahihi kabisa lakini ukumbusho ni kwamba Nofap
Itakua sensitive kama pia ukiaachaa ya fuatayo

unywaji pombe.. kupitiliza.. hapa kwa wale wanaotumia pombe unaweza kunywa chupa mbili au tatu tu za pombe zenye wastani wa alcohol 5.5
Uvutaji sigara zenye wastani wa nicotine 1.1 iwe moja kwa siku
Punguza kulala sanaa wastani wa masaa 7.mpaka 6.
Punguza kula wastani wa meals 2 mpaka 3.kwa siku.
Punguza msongo wa mawazo wastani wa proyteg fox pre2 uwe under 0.pre1
Punguza kuwa na watu karibu.. at least 30 minutes ..
Faya ibada au salaaa ..
 
Sawa uko sahihi kabisa lakini ukumbusho ni kwamba Nofap
Itakua sensitive kama pia ukiaachaa ya fuatayo

unywaji pombe.. kupitiliza.. hapa kwa wale wanaotumia pombe unaweza kunywa chupa mbili au tatu tu za pombe zenye wastani wa alcohol 5.5
Uvutaji sigara zenye wastani wa nicotine 1.1 iwe moja kwa siku
Punguza kulala sanaa wastani wa masaa 7.mpaka 6.
Punguza kula wastani wa meals 2 mpaka 3.kwa siku.
Punguza msongo wa mawazo wastani wa proyteg fox pre2 uwe under 0.pre1
Punguza kuwa na watu karibu.. at least 30 minutes ..
Faya ibada au salaaa ..
Kumbe duniani **** challenge nyingi!!!!!![emoji16][emoji16] vigezo na masharti kuzingatiwa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ikiwezekana tutafte kabisa njia ya uzaz wa mpango wa wanaume. Njia tofauti na condom& withdrawal.

#NoFap#
BBC News, Swahili
Ruka hadi maelezo
Yaliyomo

Je wanaume wako tayari kutumia dawa za uzazi wa mpango Kenya ?​

20 Aprili 2018
Mipira ya kondomu haiaminiki kuzuiwa uja uzito ikilinganishwa na mbinu nyingine za kupanga uzazi

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Maelezo ya picha,
Mipira ya kondomu haiaminiki kuzuiwa uja uzito ikilinganishwa na mbinu nyingine za kupanga uzazi
Kenya imechaguliwa kuwa sehemu ya utafiti wa vidonge vya uzazi wa mpango kwa wanaume.
Nchi nyingine zinazoungana na Kenya ni Uingereza, Italia na Chile ambapo wanaume watatakiwa kunywa kidonge kimoja kila mwezi.
Taasisi ya taifa ya maendeleo ya afya ya mtoto ilitengeneza kidonge kwa ajili ya kuwahimiza wanaume kutumia njia za uzazi wa mpango.

Maelezo ya sauti,
Kijiji ambacho wanawake 'huwabeba wanaume' Rwanda
Inaelezwa kuwa mwanaume anayetumia kidonge anatarajiwa kupunguza idadi ya mbegu za kiume ndani ya saa 72 na kupunguza uwezekano wa kutungisha mimba.

Jaribio hili linatarajiwa kufanyika kwa miaka minne, wataalamu wakisema kuwa mpango huu unahitaji jitihada za pamoja za jinsia zote ili kufikisha lengo la asilimia 70.
ingawa kumekuwa na msukumo kwa wakenya kukubali kidonge hicho, mpango huo umekosolewa swala la maadili na madhara yake baada ya dawa hizo kuwafikia vijana hali ambayo inadaiwa kuwa vitendo vya ngono vitaongezeka miongoni mwao.
Kisiwa ambacho wanaume wanatafuta wake wa kuoa
Utafiti: Wanaume hulemewa na mafua zaidi ya wanawake

CHANZO CHA PICHA,AFP
Njia za uzazi wa mpango zilianzishwa kwa mara ya kwanza nchini Kenya mwaka 1967,vidonge hivyo vilianza kutumika kwa wingi mwaka 2004 .
Wataalam wa afya wanasema vidonge hivyo ni salama na hazina madhara yeyote kwa mwanaume wakati wa kujamiiana
Utafiti uliochukua mwezi mmoja katika chuo kikuu cha kitabibu cha Washington kiliwahusisha wanaume 83 waliomaliza majaribio mbali na 100 waliochaguliwa.
Wanaume walikuwa na umri wa kati ya miaka 18 na 50.
Je vidonge hivi vina madhara gani?
Watu tisa pekee walioshiriki kwenye utafiti huo walieleza kuwa wamepunguza hamu ya kujamiiana, wanane walipata miwasho kwenye ngozi
Pia kuna walioripoti kuongezeka uzito wanasayansi wakisema hali hiyo si hatarishi.
Kidonge hicho kimeripotiwa kutokuwa na madhara kwenye figo au kuathiri ufanyaji kazi wake, tofauti na iliporipotiwa wakati wa majaribio ya dawa ya uzazi wa mpango ya wanawake ambayo mpaka leo kuna changamoto hizo
 
Mleta thread umechelewa kuileta hii kitu sababu Kuna faida nyingi sana kuliko unavyoweza kudhani. Ushuhuda wangu mimi ninakaribia mwaka Sababu nilianza huu utaratibu siku ile aliyokamatwa Mbowe kwa kesi ya ugaidi akiwa mwanza, nafikiri ulikua mwezi wa saba hivi ila tarehe siikumbuki, Nilibidi nifanye hivyo maana nilikua napoteza energy nyingi sana kumshawishi manzi aje gheto, akifika gheto hawezi kuondoka bila kumtoa, Ukimtoa haishii kunungunika kwamba haimtoshi, hapo raha zote zinakatika, nikasema haya maisha yasinifanye mimi utopolo, Nikaweka nia ya kutofanya ..nyeto pamoja na sex nione inakuaje, wiki ya kwanza ikakatika ya pili mara mwezi mpaka hivi sasa.

Faida zake sasa.
Nyele zinaota zikiwa nene.

Macho yenye afya..ule wekundu ndani ya macho unapotea.

Ngozi yenye afya Maana yale maji Maji yasipotolewa kwa muda mwili unazivunja vunja hivyo ngozi inakua safi.

Ndoto nyevu zinapungua jinsi unavyoongeza siku.

Kuongezeka kwa umakini katika jambo yaani ukitaka kufanya jambo utahakikisha unalifanya kwa Sababu ya ule msukumo wa energy.

Wanawake watakuona unavutia zaidi hivyo utawapanga jinsi unavyotaka.
Sasa unawapanga wanawake na wakati upo kwa hiyo challenge?

Huyu mtu ni mmoja wenu kweli? Swali kwa na NoFapaa sijui
 
Mleta thread umechelewa kuileta hii kitu sababu Kuna faida nyingi sana kuliko unavyoweza kudhani. Ushuhuda wangu mimi ninakaribia mwaka Sababu nilianza huu utaratibu siku ile aliyokamatwa Mbowe kwa kesi ya ugaidi akiwa mwanza, nafikiri ulikua mwezi wa saba hivi ila tarehe siikumbuki, Nilibidi nifanye hivyo maana nilikua napoteza energy nyingi sana kumshawishi manzi aje gheto, akifika gheto hawezi kuondoka bila kumtoa, Ukimtoa haishii kunungunika kwamba haimtoshi, hapo raha zote zinakatika, nikasema haya maisha yasinifanye mimi utopolo, Nikaweka nia ya kutofanya ..nyeto pamoja na sex nione inakuaje, wiki ya kwanza ikakatika ya pili mara mwezi mpaka hivi sasa.

Faida zake sasa.
Nyele zinaota zikiwa nene.

Macho yenye afya..ule wekundu ndani ya macho unapotea.

Ngozi yenye afya Maana yale maji Maji yasipotolewa kwa muda mwili unazivunja vunja hivyo ngozi inakua safi.

Ndoto nyevu zinapungua jinsi unavyoongeza siku.

Kuongezeka kwa umakini katika jambo yaani ukitaka kufanya jambo utahakikisha unalifanya kwa Sababu ya ule msukumo wa energy.

Wanawake watakuona unavutia zaidi hivyo utawapanga jinsi unavyotaka.
Big up sana mwamba kwa kuongezea nyama hapo..... Ni faida konki kabisa hizi ambazo ni lazima kidume yeyote anazihitaji ili kutimiza malengo man. Team NoFap.
 
Back
Top Bottom