Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Tuzidi kuombeana [emoji120]View attachment 2237736
Tuko pamoja sana man......, mimi hii App nimeipakua usiku wa saa tisa leo hii ingawa nimejiunga team NoFap toka juzi ila kwa mujibu wa app inaonekana nimeanza leo lakini sio mbaya maana lengo ni moja tu na kazi iendeleeee. team NoFap.
 

Attachments

  • Screenshot_2022-05-25-09-03-14-305_com.emeraldislestudio.fapcounter.jpg
    44.8 KB · Views: 61
Utaandamana ukidai haki yako au sio
Sasa asinit...mbe tunakuwa tunafanya nn yani?
Waimba kwaya?
mxxxxie.
Hiyo miezi 6 sijui mwaka kabla hujaanza kuhesabu unipe talaka tu yaishe mana utakuwa tu unanitafutia kesi.
HUUMWI, ila umeamua tu sijui challenge sijui nn?
We unataka ufe ukiwa na maini sijui figo nzima ili ukazitumie wapi?
Hebu wat..mbeni wake zenu bana.
Challenge kafanyeni za kukimbiza magari huko mrudi nyumbani na makovu makovu mpakwe Iodine yaishe.
 
Hii kitu imekaa poa sana kwa kweli hasa kwa sisi mabachelor na hata walio ndoani ila kwa mlengo mwengine tofauti aidha kuacha ulaibu fulani, mazoea n.k. Of course ukiamua kwa nia ya dhati u can do it possibly.

Nakumbuka mwaka 2019 kipindi hiko mazoezi kwa sana niliwahi kaa miezi tisa mfululizo yaani ni mwendo wa mazoezi daily kupumzika ilikuwa ni J pili tu hakuna kusex wala kumasturbate. Utofauti au faida nilizoziona ni pamoja na>

•Confidence kuongezeka maradufu
•Stamina ya hali juu
•Utulivu wa akili (Focus)
•Strong penis(Ni kama ndio kwanza unabaleghe)
•Afya nzuri ya moyo na mapafu kutokana na mazoezi ya mara kwa mara.
•Wepesi wa mwili na akili.
•Ngozi yenye afya
•Saving ya uhakika kutokana na kutofanya starehe za hovyo mfano Ngono, kuhonga, pombe n.k.
•Uhakika wa kutimiza malengo yako muhimu ya kimaisha kutokana na kujitenga na starehe zisizokuwa na msingi.

√Ni vizuri zaidi unapoianza hii challenge uwe na lengo mahususi mathalani kuacha addiction fulani kwa wale wenye addiction au kutimiza lengo fulani aidha kuwa na consistency nzuri kwenye mazoezi, ibada au shughuli zako zozote zile za kila siku.
 
Nyie mnataka maisha yawe magumu, wanaume wenyewe mpo wachache, challenge kama hizi hebu ziacheni.

Sisi hatujakubaliana na challenge yenu ni batili kwa kweli.
Tunafanya sisi mwaumia nyie. Dawa ishaanza Kuingia. Dooh.
 
Kwa wanandoa:

Hii kitu ni nzuri kukifanya pale mkeo akiwa maternity. Miezi sita sio mbaya unamuacha mkeo free huku mkizuia kumbemenda junior
 
Wengine nyeto ndo kipengele[emoji23]

Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
 
Hii kitu ni nzuri sana binafsi niliwahi kukaaa miaka 2 bila mwanamke na hii ilinisaidia sana, kuna raha sana ukiweza kuvumilia unakuwa huwazi chochote habari za ooh mpenzi umekula au unaendeleaje hizo mambo unasahau kabisa, zaidi ni kufocus na maisha yako tu. Saiv nimeanza tena hapa tangu mwezi wa 12 sijakutana na mwanamke ijapokuwa vishawishi ni vingi lakini na pambana navyo Mungu anisaidie. Huu uzi umeniongezea kitu kikubwa sana nimejua kumbe vita vingi nilivyo vishinda ni kwasababu nilijiepusha na ngono.
 
Safi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…