Leo nimeamua nianze tena challenge nmedownload app ya iron will inisaidie kuhesabu ni siku ngap nitakaa bila kula demu/nyeto nikifanikiwa kufika miez 3 najua hata akili itakua mpya
Ila inatakiwa u unfollow kila kinacho shawish ngono hasa madem wenye tako na usiangalie sana mademu
View attachment 2235728
[emoji23][emoji23][emoji23],Hivi wanaume wote tukisema tufanye hivyo,haki ya nani wanawake mnatafuta poo.Acheni hizooo, sasa mnataka wanawake wale nini....!!
Wakale wapi...!!!
Halafu utamu wa Ke aukulenani....??!
Ngoja nikawasemee...
Kweli kabisa.Tatizo ile raha haiko fair hata kidogo, raha tupate wote ila imuangamize wakiume peke yake. hapa ni NoFap tu.
Safi [emoji106][emoji106]Hi nzuri ina faida zifuatazo.
-inakuepusha na magonjwa ya kuambukiza kwa njia ya ngono.
-inakuepusha na nuksi.
-inakuepusha na majanga mbali mbali mfano,mimba zisizo tarajiwa,kufumaniw nk.
-inakuepusha na vizinga mwambatano.
-unapata utulivu wa nafsi.
-akili inajikita kwenye ukuaji wa uchumi wako.
-Unarejesha nguvu upya za sexx
Wanataka kutubebesha mizigo zaidi maana wanataka sijui hawa warembo watom.bwe na kina mzabzab pekeEeeeeeeeeh challenge imefika Tanzania!
Bryon Long [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mimi nimeanza juzi ila kuna jamaa humu amekoment kwamba yeye yuko mwezi wa nne sasa na faida alizopata ameziorodhesha, ukipitia koment vizuri utakutana nae.
Safi mwanamke unatakiwa pelekewa moto sio ujipelekee motoNitumie matango kwani wanaume wameisha? Sijawah huo ujinga.
Wapo wanaotumia ila mm hapana.
Kama kawaida yao mwanawane....Hahahha wanayajua ila hawatakubali hapa