Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Kabisa mzee baba ndiyo maana katika historia ya mike tyson kipindi kile wamoto hapigiki pamoja na ufupi wake lakini alipiga majitu makubwa alikuwa na nguvu ajabu kumbe bwana kocha wake alimwambia asimame mambo ya kutiana tiana na atunze zile mbegu atakuwa mtu bora sana na tyson akatii agizo la mwalimu ebwanaeeeeee watu walipigwa mpaka wakamwita iron mike tyson kumbe sababu iliyomfanya kuwa bora ni moja tu.......... jamaa kipindi kile alikuwa ni memba wa rank za juu sana za team NoFap.
NoFap ina nguvu kubwa na faida katika mambo mengi mkuu, watu wengi kwenye historia ni kweli walitumia mbinu hii ku-channel energy kwenye mambo mengine na iliwasaidia sana kuleta raw ideas kwenye maisha halisi.

Unapomwaga shahawa umemwaga energy kubwa sana, unakuwa dhaifu kiroho, kimwili, sometimes kiakili hata kimtazamo.

Kwa hiyo Nofap pia itakupa benefits nyingi sana, unakuwa more resilient, hata kwenye changamoto za kimaisha unakuwa unajiamini zaidi.

Nakumbuka kuna padri mmoja aliwahi kuniambia, "ukiweza kuishi bila kukutana na mwanamke kimwili, nguvu ya kiroho utaipata kubwa sana." Na kweli kuna kipindi nilikaa muda mrefu kuna faida niliziona kweli.
 
NoFap ina nguvu kubwa na faida katika mambo mengi mkuu, watu wengi kwenye historia ni kweli walitumia mbinu hii ku-channel energy kwenye mambo mengine na iliwasaidia sana kuleta raw ideas kwenye maisha halisi.

Unapomwaga shahawa umemwaga energy kubwa sana, unakuwa dhaifu kiroho, kimwili, sometimes kiakili hata kimtazamo.

Kwa hiyo Nofap pia itakupa benefits nyingi sana, unakuwa more resilient, hata kwenye changamoto za kimaisha unakuwa unajiamini zaidi.

Nakumbuka kuna padri mmoja aliwahi kuniambia, "ukiweza kuishi bila kukutana na mwanamke kimwili, nguvu ya kiroho utaipata kubwa sana." Na kweli kuna kipindi nilikaa muda mrefu kuna faida niliziona kweli.
Alikwambia kweli tupu.
Hata watumishi wa Mungu ambao hujitenga kwa maombi ya muda mrefu...wana nguvu kubwa kiroho na wengi wao hufanya miujiza...sio manabii fake lkn
 
Tuko pomoja mdau mpaka kieleweke
Hongera kwa uzi Mkuu, wanaume wengi wakijua hii kitu watastawi sana.
Sema Nofap ni kitu tofauti na unachofanya.
NoFap ni jumuiya ya watu mitandaoni wanaopambana kukabili addictions za Porno & puchu. Kwenye NoFap, me anatomba kawaida isipokuwa ni mwiko kuangalia porno au kupiga puchu.
Unacho practice wewe ni SEMEN RETAINTION.
Kwenye semen retaintion ni kujiepusha na material yote yenye viashiria vya pornography, kuepuka kumwaga shahawa kwa njia ya sex kawaida au puchu.
Wanaume tunapoteza vitu vingi mno tunapomwaga shahawa, kuchakaa mwili mgongo, magoti, kiuno n.k, kuharibika akili gradually hasa kupoteza kumbukumbu, kufa mapema n.k. Ukisikia kuangamia kwa kukosa maarifa ni pale Me anapotoa pesa ili afanikishe kupiz. Ni vizuri me apiz wakati wa kutungisha mimba tena baada ya kuwa approached na Ke.
Hilo zoezi nimekuwa nikifanya mara kwa mara na kwa miezi kadhaa. Siku ya 6&7 kunakuwa na ongezeko la testosterone, unaweza kuwa aggressive na hasira kiasi. Lakini baada ya hapo faida ni nyingi mno, hasa baada ya wiki mbili na kuendelea.
Mengine tutasimuliana kwenye huu uzi, nitakuwa naupitia pitia. Kudos.
 
NoFap ina nguvu kubwa na faida katika mambo mengi mkuu, watu wengi kwenye historia ni kweli walitumia mbinu hii ku-channel energy kwenye mambo mengine na iliwasaidia sana kuleta raw ideas kwenye maisha halisi.

Unapomwaga shahawa umemwaga energy kubwa sana, unakuwa dhaifu kiroho, kimwili, sometimes kiakili hata kimtazamo.

Kwa hiyo Nofap pia itakupa benefits nyingi sana, unakuwa more resilient, hata kwenye changamoto za kimaisha unakuwa unajiamini zaidi.

Nakumbuka kuna padri mmoja aliwahi kuniambia, "ukiweza kuishi bila kukutana na mwanamke kimwili, nguvu ya kiroho utaipata kubwa sana." Na kweli kuna kipindi nilikaa muda mrefu kuna faida niliziona kweli.
Ronaldo el phenominal alikuwa akigonga shoo ya sita kwa sita akija kwenye 100 by 70 utamtaka....so hii kitu bwana ni mtu na mtu.

Wengine bila kugegeda stress tupu ata akili haifanyi kazi
 
Mleta thread umechelewa kuileta hii kitu sababu Kuna faida nyingi sana kuliko unavyoweza kudhani. Ushuhuda wangu mimi ninakaribia mwaka Sababu nilianza huu utaratibu siku ile aliyokamatwa Mbowe kwa kesi ya ugaidi akiwa mwanza, nafikiri ulikua mwezi wa saba hivi ila tarehe siikumbuki, Nilibidi nifanye hivyo maana nilikua napoteza energy nyingi sana kumshawishi manzi aje gheto, akifika gheto hawezi kuondoka bila kumtoa, Ukimtoa haishii kunungunika kwamba haimtoshi, hapo raha zote zinakatika, nikasema haya maisha yasinifanye mimi utopolo, Nikaweka nia ya kutofanya ..nyeto pamoja na sex nione inakuaje, wiki ya kwanza ikakatika ya pili mara mwezi mpaka hivi sasa.

Faida zake sasa.
Nyele zinaota zikiwa nene.

Macho yenye afya..ule wekundu ndani ya macho unapotea.

Ngozi yenye afya Maana yale maji Maji yasipotolewa kwa muda mwili unazivunja vunja hivyo ngozi inakua safi.

Ndoto nyevu zinapungua jinsi unavyoongeza siku.

Kuongezeka kwa umakini katika jambo yaani ukitaka kufanya jambo utahakikisha unalifanya kwa Sababu ya ule msukumo wa energy.

Wanawake watakuona unavutia zaidi hivyo utawapanga jinsi unavyotaka.
Baada ya kuona hili bandiko nikajaribu ku google faida na hasara za hii kitu,moja wapo ni ED (erectile dysfunction),kinga ya mwili kupungua,kuwa na wasi wasi pamoja na hasira muda mwingi,n.k.
Kwa uzoefu wako wa mwaka mmoja hebu tutoe wasi wasi siku unakutana na mwanamke kama uume unakuwa shupavu zaidi au kinyume chake kama tafiti zinavyodai.
 
Wasalaaaaaaaam wadau.... Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati.

Kwa wale wasioelewa maana ya neno NoFap.......

NoFap.... ni kitendo cha mwanaume kukaa kwa muda wa kipindi fulani eidha miezi miwili, mitatu mpaka miezi sita pasipo kutoa mbegu zake za kiume yaani hiyo challenge msingi wake ni No Sex, No Masturbationn, No Watch Porn.

Hii ina faida nyingi sana yaani ni sawa na kujirestart mfumo wako mzima wa mwili ukitoka hapo unakuwa mpya kabisa, hasa ukikaa miezi kuanzia mitatu mpaka sita.

Niombeeni wadau katika hiu challenge ambayo nimeianza leo hii mara baada ya kushusha thread hii, sio rahisi hasa kama ulizoea kula mbasusu kwa mwezi zaidi ya mara kumi kama mimi, lakuni naamini nitashida hii challenge.

Mambo ya kumwaga mwaga mbegu bila sababu za msingi eti kisa utamu mwisho leo. Na nimeifalia sana hii ishu ya NoFap baada ya kuiona kwa mara ya kwanza mitandaoni huko na ziliiridheshwa faida nyingi sana za hii kitu na kuna baadhu ya wanasayansi wakubwa mambi yao yalifanikiwa zaidi baada ya kujiunga na hii kitu, mmoja wa wanasayansi mashuhuri ninaowakubali waliowahi kutumia huu mfumo wa NoFap ni Nikola Tesla jamaa mpaka anakufa alikuwa hamwaga mbegu zake kwa zaidi ya miaka mitatu,

Mimi nataka nianze na miezi mitatu kwanza.

If you want to reborn you are kindly welcome to the challenge.

View attachment 2234241
Day 1 nimekata
Screenshot_20220525-002114.jpg
 
NoFap ina nguvu kubwa na faida katika mambo mengi mkuu, watu wengi kwenye historia ni kweli walitumia mbinu hii ku-channel energy kwenye mambo mengine na iliwasaidia sana kuleta raw ideas kwenye maisha halisi.

Unapomwaga shahawa umemwaga energy kubwa sana, unakuwa dhaifu kiroho, kimwili, sometimes kiakili hata kimtazamo.

Kwa hiyo Nofap pia itakupa benefits nyingi sana, unakuwa more resilient, hata kwenye changamoto za kimaisha unakuwa unajiamini zaidi.

Nakumbuka kuna padri mmoja aliwahi kuniambia, "ukiweza kuishi bila kukutana na mwanamke kimwili, nguvu ya kiroho utaipata kubwa sana." Na kweli kuna kipindi nilikaa muda mrefu kuna faida niliziona kweli.
Shukrani sana mdau kwa kutuongezea ufahamu juu ya hili na kiukweli ina faida nyingi sana katika masha ya binadamu. Tunalisongesha mtaalam..
 
Wasalaaaaaaaam wadau.... Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati.

Kwa wale wasioelewa maana ya neno NoFap.......

NoFap.... ni kitendo cha mwanaume kukaa kwa muda wa kipindi fulani eidha miezi miwili, mitatu mpaka miezi sita pasipo kutoa mbegu zake za kiume yaani hiyo challenge msingi wake ni No Sex, No Masturbationn, No Watch Porn.

Hii ina faida nyingi sana yaani ni sawa na kujirestart mfumo wako mzima wa mwili ukitoka hapo unakuwa mpya kabisa, hasa ukikaa miezi kuanzia mitatu mpaka sita.

Niombeeni wadau katika hiu challenge ambayo nimeianza leo hii mara baada ya kushusha thread hii, sio rahisi hasa kama ulizoea kula mbasusu kwa mwezi zaidi ya mara kumi kama mimi, lakuni naamini nitashida hii challenge.

Mambo ya kumwaga mwaga mbegu bila sababu za msingi eti kisa utamu mwisho leo. Na nimeifalia sana hii ishu ya NoFap baada ya kuiona kwa mara ya kwanza mitandaoni huko na ziliiridheshwa faida nyingi sana za hii kitu na kuna baadhu ya wanasayansi wakubwa mambi yao yalifanikiwa zaidi baada ya kujiunga na hii kitu, mmoja wa wanasayansi mashuhuri ninaowakubali waliowahi kutumia huu mfumo wa NoFap ni Nikola Tesla jamaa mpaka anakufa alikuwa hamwaga mbegu zake kwa zaidi ya miaka mitatu,

Mimi nataka nianze na miezi mitatu kwanza.

If you want to reborn you are kindly welcome to the challenge.

View attachment 2234241
Haya ndo madhara ya kuishiwa pesa za kuhonga!
Mama anabania fursa!
 
Back
Top Bottom