Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

we duniani hakuna starehe kama kut...b.na.
Shida za ulimwegu zote hizi bado niongeze na shida ya kuzuia mwili kufanya kazi yake.
Yani watu wanajifanya kama wa wana akili kuliko Mungu.
Asingeweka basi hivi viungo ili huo mwili ujitegenezee hizo stamina sijui confidence.
Yani kila kitu has sababu ya kuwepo mwilini.
Tendo la ndoa ni for creation and recreation.
Sasa huo mwaka sijui wa kutafyta cheo cha 'IMMORTAL' hizi sehemu zinakuwa na kazi gani?
And come to think of it, hata the highest rank unapata cheo cha ''SIO KIUMBE''
Meaning huo mchakato sio wa kibinadamu, why shud we then engage kwenye vitu vivyo vya kibinadamu?
We mi nakwambia mtu atalala makao makuu ya Jamii Forum.
Haki vile.
Kwa kweli kuto..mbana ndio starehe namba moja hapa duniani....utalewa utavuta bangi uenda vacation lakini mwishowe lazima mgegeduane tuu.
Wee jiachie bwana kula raha ya de libolo
 
Wee endelea tu na challenge, mimi kwa kweli kati yangu na mbususu hakuna wakuingilia.

Yaani nisiwaguse wake zangu kwa sababu za kijinga namna hii. Alafu nikifa minjemba ndo itasimamia ukucha?

Mimi mbususu napiga!
Kama umeoa we kula mzigo mzee baba, tena isugue kweli kweli....
 
Malcom X aliikuwa mdau mkubwa wa hii kitu aliweza kukaa miaka kama 5 plus bila kushiriki ngono na kufocous kwenye mambo ya msingi ,akawa anatoa madini ya uhakika akili imetulia haina parapara.
Tena namkubali sana huyo mwamba... kumbe nae alikuwa memba.... safi sannaa
 
Mimi kitu ambacho nilijisemea siwezi kuacha ni porno nilikuwa general wa hayo mambo mpk majina ya wakali wangu walikuwa kichwani lkn sasa ni sasa karibia mwaka wa nne sijaingia site wala kuwatch na connection zote zilizo vuma nilipuuza.

Hii kitu kina faida kubwa na inaongeza kujiamini , concentration nk kea kiwango kikubwa . Njia muhimu nilizotumia

1.Kumshikisha Mungu
2.Mazoezi
3.Usomaji wa Vitabu
4.Kujiepusha na vishawishi/Mazingira hatarishi
Safi sana mdau.... ni vitabu vya aina gani vinakuwa mwake zaidi. na pia hapo kwenye vishawishi hapo ulikuwa unajiepusha na vushawishi vya aina gani..... tuweke sawa sisi ambao ndiyo tunaanza kujiunga team NoFap...
 
Mkuu nimefanga research mimi mwenyewe zaidi ya miaka 10, nisipo fanya sex mara kwa mara zaidi ya wiki tu hamu ya sex inapungua sana na parfomance inashuka sana.
Aiseee kwa feedback tuliyopewa na wadau waliokaa zaidi ya miezi sita hivyo vitu ulivyoeleza hapo ni kinyume chake, au labda utakuwa na shida nyingine mzee!!!!
 
Mi labda niwe naumwa.
Mwaka bila mb.. jamani!
Kwanza sijawahi, toka siku nimeanza hii burudani mi sijawahi kukaa mfululizo miezi 6 eti sijafanya.
Wengine sisi hatujawahi kuwa single.
Namaliza kujifungua siku 40 haziishi tunaendelea na kujenga nchi.
Yani sasa ndo nijikute tu naanz tu sa hizi kukaa miezi yote hiyo bila bila?
Nataka kugundua nn?

Mi mtu asiniletee challenge kwenye starehe yangu pendwa, kuna namna tutakuwa tunatafutana la rohoni.
Inaelekea unapenda sana zile high frictions zinazotokana na kitendo cha pull or push ambacho kinasababishwa na force ya msukumo wa damu toka kwenye moyo wa kidume mpaka kwenye Kombeo kisha kombeo linaanza kunesa nesa huku likikakamaa na kutoa viudenda udenda fulani hivi.... Hapo hapo jamaa anakukamata anapandisha kigauni chako juu juu.... anakushukisha ukuta anaongezea kohozi zito kidogo kwenye kombeo kisha bila kutarajia mara dude chwaaaaaaaa tayari liko ndani.... sasa inaelekea ikifikia tu hatua hiyo wewe unachanganyikiwa kabiiisaaaaaa..........

Lakini kwa usalama wa jamaa na kama kweli unamuhitani kwa muda mrefu mwenye maisha yako basi mwambie haraka sana ajoin team Nofap.
 
Iseee, wanawake kazi wanayo mwaka huu,
Huku inatoka orodha ya mapunga
Huku inatoka orodha ya waliojiunga Nofap

Kwa kweli kwenye hiyo noFap na mimi niandikeni.
Tuone sasa
Karibu sana mtaalam....... na tupo wengi kundini walete na wengine chama lisonge....
NoFap.
 
Nimeikagua sana hiyo app naona bado haaifikii IRON WILL hata kidogo......... Maana iron will ina hadi rank zake mzee na zina majina ya tittle kali sana za vyeo vya juu kijeshi na kivita za kukutia morali ajabu...... yaani ukikaa siku 30 katika malengo ya kuacha jambo fulani zina rank na tittle yake nzuri sana ya kutia moyo inakupa morali moja kali sana..., siku 60 rank yake ina tittle yake moja hiyo pia kali sana ya kibabe, hivyo hivyo siku 90 na kuendekea. ila stage yao ya mwisho ni mtu akikaa siku 500 na kuendelea kwenye malengo aliyojiwekea eidha ni NoFap au kitu kingine huyo anatambulika kama THE IMMORTAL.
Ebu ngoja nipite nikaichek
 
Safi sana mdau.... ni vitabu vya aina gani vinakuwa mwake zaidi. na pia hapo kwenye vishawishi hapo ulikuwa unajiepusha na vushawishi vya aina gani..... tuweke sawa sisi ambao ndiyo tunaanza kujiunga team NoFap...
Hapo inategemeana na hobby ya mtu , mimi tokea mdogo uniwekea vitabu vya hadithi , historia , maisha nk ninaweza kukaa kutwa nzima nisitoke nje kucheza na wenzangu hivyo nilivyoianza rasmi hiyo kampeini nikachunguza vitu ninavyopenda ambavyo vinaweza kula mda wangu wa free ninaotumia kuingia site na kufikiria ngono hapo nikaona vitabu na movies na games nikaweka vya kutosha nikichoka vitabu au nikiwa sina moods navyo nahamia movies (Kikorea mapanga shaa) nk
 
Tusije kusikia kesi za kubaka mbuzi humu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tena namkubali sana huyo mwamba... kumbe nae alikuwa memba.... safi sannaa
Mwamba tena alikuwa na nafasi ya kuchakata mbususu kibao kimasihara kama angetaka maana yeye alikuwa minister ,maarufu na mwenye ushawishi zaidi Ktk organization ya kupiga ubaguzi wa rangi na harakati za kidini(NOI)pamoja na kuwa teacher wa class section ya wanawake .

Pisi kali kibao zilikuwa zina muadmire lkn mwamba alikuwa hana habari kwa miaka kibao mpk alipoamua kumuoa mmoja kundini Moja kwa Moja wadau wenzake(members)wakamuona bro amesaliti chama wkt yeye alikuwa muhamasishaji mkubwa wa #NoFap.

Jamaa uwezo wake wa kiakili ulikuwa maradufu kuliko kipindi chake cha uhuni mpk kupelekea kukaa jela.
 
Wasalaaaaaaaam wadau.... Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati.

Kwa wale wasioelewa maana ya neno NoFap.......

NoFap.... ni kitendo cha mwanaume kukaa kwa muda wa kipindi fulani eidha miezi miwili, mitatu mpaka miezi sita pasipo kutoa mbegu zake za kiume yaani hiyo challenge msingi wake ni No Sex, No Masturbationn, No Watch Porn.

Hii ina faida nyingi sana yaani ni sawa na kujirestart mfumo wako mzima wa mwili ukitoka hapo unakuwa mpya kabisa, hasa ukikaa miezi kuanzia mitatu mpaka sita.

Niombeeni wadau katika hiu challenge ambayo nimeianza leo hii mara baada ya kushusha thread hii, sio rahisi hasa kama ulizoea kula mbasusu kwa mwezi zaidi ya mara kumi kama mimi, lakuni naamini nitashida hii challenge.

Mambo ya kumwaga mwaga mbegu bila sababu za msingi eti kisa utamu mwisho leo. Na nimeifalia sana hii ishu ya NoFap baada ya kuiona kwa mara ya kwanza mitandaoni huko na ziliiridheshwa faida nyingi sana za hii kitu na kuna baadhu ya wanasayansi wakubwa mambi yao yalifanikiwa zaidi baada ya kujiunga na hii kitu, mmoja wa wanasayansi mashuhuri ninaowakubali waliowahi kutumia huu mfumo wa NoFap ni Nikola Tesla jamaa mpaka anakufa alikuwa hamwaga mbegu zake kwa zaidi ya miaka mitatu,

Mimi nataka nianze na miezi mitatu kwanza.

If you want to reborn you are kindly welcome to the challenge.

View attachment 2234241
Nawaza... ndoto nyevu utazizuiaje..!?
 
Mwamba tena alikuwa na nafasi ya kuchakata mbususu kibao kimasihara kama angetaka maana yeye alikuwa minister ,maarufu na mwenye ushawishi zaidi Ktk organization pamoja na kuwa teacher wa class section ya wanawake .

Pisi kali kibao zilikuwa zina muadmire lkn mwamba alikuwa hana habari kwa miaka kibao mpk alipoamua kumuoa mmoja kundini Moja kwa Moja wadau wenzake(members)wakamuona bro amesaliti chama wkt yeye alikuwa muhamasishaji mkubwa wa #NoFap.

Jamaa uwezo wake wa kiakili ulikuwa maradufu kuliko kipindi chake cha uhuni mpk kupelekea kukaa jela.

Ila kipindi hicho ilikuwa haiitwi No Fap, Jina No Fap lilianzia Reddit kama movement ya kupinga PMO (Porn, Masturbation & Orgasm) baadae wakaanzisha Organization kabisa nofap.com ambayo watu wana-journal No Fap journey, challenges na success stories.
 
Ila kipindi hicho ilikuwa haiitwi No Fap, Jina No Fap lilianzia Reddit kama movement ya kupinga PMO (Porn, Masturbation & Orgasm) baadae wakaanzisha Organization kabisa nofap.com ambayo watu wana-journal No Fap journey, challenges na success stories.
Yes, nimeedit kikundi hakikuwa na harakati hizo ila members (baadhi)walikuwa na misimamo inayofanana na ideas za #Nofap
 
Inaelekea unapenda sana zile high frictions zinazotokana na kitendo cha pull or push ambacho kinasababishwa na force ya msukumo wa damu toka kwenye moyo wa kidume mpaka kwenye Kombeo kisha kombeo linaanza kunesa nesa huku likikakamaa na kutoa viudenda udenda fulani hivi.... Hapo hapo jamaa anakukamata anapandisha kigauni chako juu juu.... anakushukisha ukuta anaongezea kohozi zito kidogo kwenye kombeo kisha bila kutarajia mara dude chwaaaaaaaa tayari liko ndani.... sasa inaelekea ikifikia tu hatua hiyo wewe unachanganyikiwa kabiiisaaaaaa..........

Lakini kwa usalama wa jamaa na kama kweli unamuhitani kwa muda mrefu mwenye maisha yako basi mwambie haraka sana ajoin team Nofap.
wewe mimi hayo mambo usimwambie mume wangu afanye.
OH!
 
Back
Top Bottom