Hatimae nimefikia malengo yangu[emoji16]
Sasa ngoja niongeze siku kadhaa..
Road to 300 dys[emoji123]
View attachment 2571538
Mkuu Naomba tufike wote 365 days = 1 year [emoji23]
Sema saivi ni SLOPE tu, mwili umezoea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatimae nimefikia malengo yangu[emoji16]
Sasa ngoja niongeze siku kadhaa..
Road to 300 dys[emoji123]
View attachment 2571538
every intercouse was anticipated for creation,ukimsikiliza huyu pastor af ukarudi kuangalia porn plus musterbation
wew utakuwa umelogwa mtu wangu
Sawa Mkuu tuko pamojaView attachment 2579642
Mkuu Naomba tufike wote 365 days = 1 year [emoji23]
Sema saivi ni SLOPE tu, mwili umezoea.
Ukifika immortal unaanza kutamani madume wenzio,Hatimae nimefikia malengo yangu[emoji16]
Sasa ngoja niongeze siku kadhaa..
Road to 300 dys[emoji123]
View attachment 2571538
[emoji23][emoji23]Si kweli MkuuUkifika immortal unaanza kutamani madume wenzio,
Hii challenge ili uiweze ni lazima upractice utawa (monasticism) !! Ukae mbali na ulimwengu na malimwengu yake. Kupractice celibacy inahitaji nguvu ya Mungu hasa katika huu ulikwengu tulionao.
Vishawishi vimejaa kila kona aisee, ukivikosa kazini, utakutana navyo mtaani kwako ukivikosa mtaani utakutana navyo katika smartphone yako. Adui wa kwanza ni hizi smartphones . Mitandao ya ngono imejaa nje nje unaweza kujikuta umeamka saa 7 usiku ,usingizi umekata ukaanza kuperuzi peruzi na kujikuta umerelapse tena kwenye old habbits.
Ili kufaulu ni lazima kwanza kuukataa ulimwengu na malimwengu yake kama vile hizi simu janja ,TVs au majarida yeyote yanayohamasisha ngono. Ikowezekana ujitenge mbali na mji/jiji na pia udumu kwenye ibada hapo ndio angalau unaweza kufaulu. Nje ya hapo Shetani ataendelea kutuma wanajeshi wake tu kila kukosha kuja kurusha mikuki yao yenye sumu katika moyo wako mpaka wahakikishe unarejea katila himaya yao. Ila unapoikataa dunia na kuwa karibu na Mungu , unakuwa umeutengenezea ngome madhubuti moyo wako kutokana na vishawishi vya shetani.
Tumesema hii haifai kwa watu wenye wake hii ni kwa vijana ambao tunajitafutamimi nikikaa siku 3 bila mbususu ntakuwa napata wet dreams za kufa mtu, na nina desturi ya kumwaga mbegu nyingi sana kila bao kiukweli nina kende kubwa aisee[emoji23][emoji23] ndo mana bila kunjunja miwet dreams inanitesa,hilo moja
Pili sijui nitamweleza nini wife eti nisimjunje for 3 months, kitendo cha kutangaza nofap challenge ndo ntamfanya awe ananitega mara nyingi awezavyo( kiukweli kwenye eneo la mitego nampa ‘A’) Na ATAKUWA ANASUBIRI KWA HAMU ANGUKO LANGU
labda nianze kwa siku 3 , 3 wakuu[emoji23]
Hata kwa wenye wake wanaweza kukubaliana kufanya hilo zoezi hata kwa mwezi mmoja ili kujirestore ila pande mbili lazima ziridhie toka moyoni.Tumesema hii haifai kwa watu wenye wake hii ni kwa vijana ambao tunajitafuta
Hii challenge ili uiweze ni lazima upractice utawa (monasticism) !! Ukae mbali na ulimwengu na malimwengu yake. Kupractice celibacy inahitaji nguvu ya Mungu hasa katika huu ulikwengu tulionao.
Vishawishi vimejaa kila kona aisee, ukivikosa kazini, utakutana navyo mtaani kwako ukivikosa mtaani utakutana navyo katika smartphone yako. Adui wa kwanza ni hizi smartphones . Mitandao ya ngono imejaa nje nje unaweza kujikuta umeamka saa 7 usiku ,usingizi umekata ukaanza kuperuzi peruzi na kujikuta umerelapse tena kwenye old habbits.
Ili kufaulu ni lazima kwanza kuukataa ulimwengu na malimwengu yake kama vile hizi simu janja ,TVs au majarida yeyote yanayohamasisha ngono. Ikowezekana ujitenge mbali na mji/jiji na pia udumu kwenye ibada hapo ndio angalau unaweza kufaulu. Nje ya hapo Shetani ataendelea kutuma wanajeshi wake tu kila kukosha kuja kurusha mikuki yao yenye sumu katika moyo wako mpaka wahakikishe unarejea katila himaya yao. Ila unapoikataa dunia na kuwa karibu na Mungu , unakuwa umeutengenezea ngome madhubuti moyo wako kutokana na vishawishi vya shetani.
Yo guys. Your boi is on firee [emoji95][emoji95] View attachment 2581674
Wooooi, you nailed it man🙌Hata kwa wenye wake wanaweza kukubaliana kufanya hilo zoezi hata kwa mwezi mmoja ili kujirestore ila pande mbili lazima ziridhie toka moyoni.
Mimi niko hapa na hakuna changamoto kama watu wanavoelezea huko juu zaidi sana naona ni suala la maamuzi tu.
Unaposikia labda zimejaa uume unauma unajikanda tu na maji moto then unarudi normal.
Siachi kuendelea...
View attachment 2580749
vipiOyaaa weee
Naona thread imepoa sana hii 😁vipi
kweli hata akikaaa mbali kama hana nidhamu atashika private parts tuSio kweli Mkuu.
Ni akili yako tu jinsi ya ku control urges.