Hao akina Ben na Azory wamelifanyia nini taifa kiasi cha kuwafanya kama Miungu yenu kila mnapomuongelea hayati Magufuli?Wanamkumbuka kwa maovu aliyo fanya.
Mpaka leo hatujui Ben, azori wako wapi..
Bila kusahau alivyo mtuma sabaya kufanya maovu nk nk.
Hiyo Magufuli ,mimi sijui kama nitakuja kumsahau , labda nipate matatizo ya akiliInavyoonekana katika siku za hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa sana la watu mbalimbali katika mitandao ya kijamii, wakipost picha za hayati Magufuli na kuambatanisha na jumbe za kumkumbuka na wakati mwingine emoji za majonzi au moyo kuchanika.
Hii ikanifanya nijiulize, mbona viongozi wengine hufa na akisha kufa mnaishia kuomboleza na kusahau!?
Ndipo likanifanyi nihisi kwamba zipo sababu mseto za watu kumkumbuka huyu kiongozi ambazo ni kuondolewa machinga, bei za bidhaa kupanda hovyo, kutomkubali mrithi wake, kutoridhishwa na uendelezaji wa miradi aliyoisimamia na kurudishwa madarakani watu aliowatumbua.
Inavyoonekana katika siku za hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa sana la watu mbalimbali katika mitandao ya kijamii, wakipost picha za hayati Magufuli na kuambatanisha na jumbe za kumkumbuka na wakati mwingine emoji za majonzi au moyo kuchanika.
Hii ikanifanya nijiulize, mbona viongozi wengine hufa na akisha kufa mnaishia kuomboleza na kusahau!?
Ndipo likanifanyi nihisi kwamba zipo sababu mseto za watu kumkumbuka huyu kiongozi ambazo ni kuondolewa machinga, bei za bidhaa kupanda hovyo, kutomkubali mrithi wake, kutoridhishwa na uendelezaji wa miradi aliyoisimamia na kurudishwa madarakani watu aliowatumbua.
Nani kakuambia kuingia mitaaniJeshi gani? La Sukuma Gang? Sahau UJINGA huo Tanzania. Utaandika kwenye mtandao na utaishia hapo, hakuna mjinga anakubali kuingia mtaani. Kwanza watanzania hawana shida kihivyo
WAPUMBAVU waliamini kweli Magufuli anatatua matatizo barabarani bila kujua kuwa wale ni wana usalama waliopangwa!!usiwapangie watu mtu wakupenda bwana kama wewe hukumpenda basi , na kumuelewa kwako Magufuli siyo walivyomuelewa wengine au unatakusema wewe ndiye mwenye akili kuubwa na nyiiingi kuzidi wale watu waliookuwa wanajaa mabarabarani kutatuliwa shida zao au unadhani wewe ndiye unayejua zaidi ya wale watu walijaa mabarabarani wakilia na kutandika nguo na mashati siku wakimuaaga.
mkuu acha ujinga
kama wewe humpendi basi waache wanaompenda.
Atakuwa basha wakeNikajua ULIZIKWA NAYE! Sina shaka uliumia zaidi ya mamaJaneth!
Kwa hiyo na wale wanaoandika za kummisi nao wanamkejeli?Post nyingi ni za kumtukana na kumdharau, alikuwa Raisi wa hovyo sana
Inahusikaje hapa mkuu au ndiye kasababisha?Na kagera sugar kuifunga thimba.
Hapana mimi nimeona kwenye post mbalimbali au unakusudia hizo zote ni zangu na mume wangu?Utakuwa una mkumbuka wewe na mumeo
Kwa hiyo na wale tunaojuana nao huku mitaani waliofanyiwa vitu vipo Hadi leo ni wanausalama?WAPUMBAVU waliamini kweli Magufuli anatatua matatizo barabarani bila kujua kuwa wale ni wana usalama waliopangwa!!
Hivi wewe pimbi msabillah kwa akili yako unaweza kumuuzia Rais mhindi wa kuchoma au jogoo?
Au unaamini kuwa yule Rasta wa kijiweni Chato ni hohehahe kama wewe?
SijuiKwa hiyo na wale tunaojuana nao huku mitaani waliofanyiwa vitu vipo Hadi leo ni wanausalama?
YapHapana mimi nimeona kwenye post mbalimbali au unakusudia hizo zote ni zangu na mume wangu?
Hiyo cha mtoto mbona.
2025 uchaguzi na Magufuli na wapinga magufuli.
Atakae cheza karata za Magufuli anaingia ikulu asubuhi tu.
Yeye alivyo dhulumu maisha ya watu lukuki, malipo ya matendo take bado hayajatoshaMungu ampe pumziko jema
Kila waliodhulumu uhai wa huyu mzee tutaishudia karma hapa hapa muda kitambo tu
Kumbe mimi na mume wangu ni watu hatari san a tuna uwezo wa kusambaza post kila sehemu?
Na hapo ndipo penye subira ya watanzania hao wayaoyo mema ya JPM na kuwa na imani ya uzalendo ndani yao..Unacho kisema ni kweli kabisa hata mimi nimeona hilo kabisa
Sema watu watakupinga tu kwasababu ya chuki zao ila uo ndo ukweli