Mimi ninachoamini kabisa kwa moyo đź’“ wa dhati ni kwamba muda wa ccm kutawala nchi hii uliishapita kitambo na sasa wako kwa muda wa kukopa.
Kwa mantiki hiyo basi, hakuna mtu atakayeletwa na hicho chama atakayekubalika kwa wananchi, hata wamlete nani itakuwa ni kazi bure.
Ccm has outlived its usefulness and it's no longer a party to beat. Even if they bring an angel as their candidate for presidency to contest the 2025 elections still they ought to forget winning without "a massive vote rigging" something that has become a party's trademark.
Kwa mantiki hiyo basi, hakuna mtu atakayeletwa na hicho chama atakayekubalika kwa wananchi, hata wamlete nani itakuwa ni kazi bure.
Ccm has outlived its usefulness and it's no longer a party to beat. Even if they bring an angel as their candidate for presidency to contest the 2025 elections still they ought to forget winning without "a massive vote rigging" something that has become a party's trademark.