Nimeona post za kumkumbuka Magufuli zimeongezeka sana mitandaoni. Je, sababu ndiyo hii ninayohisi mimi?

Nimeona post za kumkumbuka Magufuli zimeongezeka sana mitandaoni. Je, sababu ndiyo hii ninayohisi mimi?

WAPINZANI wa Rais SSH hamna hoja kwa kuwa Mama anaupiga mwingi , mumeishia kuchukua NON ISSUES na kuzifanya kuwa ndiyo UKOSIAJI. Kimsingi Uchifu wenye AUTHORITY ulifutwa wakati wa Nyerere. Ila bado makabila yanawaheshimu Machifu katika mambo ya kimila. Na hakuna kabila lisilo na Mila. Pili Rais Samia siyo wa kwanza kusimikwa Uchifu wa makabila mbalimbali. Angalia hapa Mbowe, Mnyika na Lissu View attachment 2093093View attachment 2093094

View attachment 2093095
Kiongozi yeyote yule awe ni CCM au CHADEMA kukubali kusimikwa kuwa kiongozi wa Kikabila ni makosa makubwa sana. Hasa ktk Karne hii na wakati kama wa leo.
Maana mambo kama haya tusipoangalia vizuri yataligawa taifa letu.!
 
Unacho kisema ni kweli kabisa hata mimi nimeona hilo kabisa

Sema watu watakupinga tu kwasababu ya chuki zao ila uo ndo ukweli
Kwa kweli umeona mbali sana maana kila siku zikisonga wale wapinga Magufuli wanaongezeka ingawa kwa kadri wanavyoongezeka wanazalisha wapinzani wao.

Ila nashauri jambo dogo ukitaka kumpinga Magufuli jibu changamoto zinazo fanya watu wamkubuke lkn ukiwa unajibu kwa maneno wa kukashfu utawala wake utaonekana una wivu tu
 
Back
Top Bottom