serias ni nini?Hamna kitu kama hcho
Mzee u can't be serias Al the time
suala sio kuwa the so "serious".
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
serias ni nini?Hamna kitu kama hcho
Mzee u can't be serias Al the time
Kuna sehemu nimeandika nimetongoza?nyie mbwa mnawaza kutongozwa tuSasa wewe uliyetongoza mbwa tukuiteje? Sawa mtoto wa mbwa.
Acha ku comment utumbopunguzeni mada za utumbo.
serias ni nini?
suala sio kuwa the so "serious".
Ilaserias ni nini?
suala sio kuwa the so "serious".
Sawa mbwa.Kuna sehemu nimeandika nimetongoza?nyie mbwa mnawaza kutongozwa tu
Mkuu, punguza hasira. Hawa wadudu waliumbwa wabinafsi tangu Mama yao Hawa. Akili yao inawaza kupata na kukusanya tu.Hakuna haja ya kuwapa hela hawa funguro; ninalo langu nimelipa hela toka nilioe 2005, ila nikaja gundua wanaligegeda, nikalifyekelea huko! Kamwe halitaona 10 cents zangu Mbwa!
Ni balaa zito 😁😁Hehehe.....kupatwa kwa wanawake
Now days wanajiuza wanashindwa Tu kuweka wazi ,Sijui wakoje... Yaani ukifahamiana tu shida zote zinamjia. Na anataka utatue wewe
😁😁Anaomba advance kabisa ila parefuu mshahara wangu mie huo!
Gentleman,Kwamba laki 3 kwako ni hela ndogo sanaa..!!!
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Laki 3 si ndogo hata kama unateketeza mil 100Gentleman,
sio kwangu tu bali kwa wanaofanya kazi kwa bidii, wenye malengo na moyo wa kujitolea kusaidia wengine, hiyo ni hela ndogo sana.
Nenda Kwetu Pazuri au pale The Great tabata barakuda, Jijini Dar es salaam. Halafu sogea pale mbele kidogo Segerea Mwisho, Left, Right and Center ni sehemu za mikesha inaita watu na watu wamejaa full. kuteketeza 1m ni kawaida tu, semblance laki3 gentleman?
Hata hivyo,
ni ngumu na haiwezekani kwa mtu mvivu na mchoyo 🐒
You have to work hard kweli kweli gentleman 🤣Laki 3 si ndogo hata kama unateketeza mil 100
Ila laki 3 si ndogo.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
SCENARIO 01You have to work hard kweli kweli gentleman 🤣
Wewe ni mshangazi !!Haikuhusu wewe sisi mabaharia tunajadili .Linatuhusu sanaSasa inatuhusu nini? Mlikojuliana tulikuwepo?
umenifurahisha sana mkurugenzi kwa maelezo yenye logic ya maana sana tena ya kuihusisha TRA.SCENARIO 01
MAUZO.
Kwenye biashara yangu ili nipate faida ya laki 3 natakiwa kuuza
1. pisi 300 za bidhaa yangu ndogo
2m pisi 25 - 30 ya bidhaa yangu kubwa
SCENARIO 02
TAX
1. Mwaka huu nilikutana na msala TRA ikabidi nimlipe Muhasibu 150k ili akapambane nitoboe na nikatoboa
2. Baada ya kutoboa TRA waliniandikia kodi ya 150k ya kulipa
Baada ya maelezo haya, 300K inakuaje ndogo man??
#YNWA
#YANGA_BINGWA
