Ms Billionaire
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 2,452
- 4,955
Kuna siku uliwapa kodi yako, wakaitumia vibaya kama wanavyoitumia ccm kununulia mashangingi ya viongoz.CHADEMA wenyewe wameshindwa kutoa umaskini sembuse umaskini wa nchi? We nenda kapunguze stress kwa kudanganywa.
Huna nafasi hiyo wewe ndani ya cdm labda umeenda kuvua dagaa tu.Naelekea Mwanza kwenda kukiwasha.
CCM ni janga la taifa. Limezidi kuwakandamiza watanzania kwa kuendeleza umasikini. Tozo haramu, ufisadi na ubwanyenye.
Nitakiwasha jukwaani uwanja wa furahisha mpaka kieleweke.
Katubu wewe na ukoo wenu wa panyaTubuni kwanza dhambi ya kushangilia kifo cha Magufuli
Pumbaf sanaBaadhi ya makamanda walifanya makosa.
Tena ndio WaTz watakufa kwa sonana hadi waseme hiki niniKwahiyo we unaamini ikiingia chadema madarakani itakonga nyoyo yako? Yani kwamba ndo bei ya mafuta na mchele itashuka? Kwamba mafisadi ndo hawatokuwepo. Huyo aliekuja na kutanguliza agenda ya kutaka kulipwa milioni mia zake na madeni yake ya kujitibia𤣠kwahiyo watu wazima na sharubu zenu mnaamini kaja kwaajili yenuš¤£š¤£š¤£š¤£
Huu mnyororo wa wizi ni mgumu kukatika pasipo kusimamia katibaCCM ni ukoo wa panyaābabu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na viningāina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.
CCM wameanza kuitafuna nchi tangu mwaka 1961 lakini ukomo wao wa kutafuna rasilimali za nchi zitafika tamati hivi punde kwani hakuna mtanzania mwenye hamu ya kuongozwa na chama cha kifisadi kama CCM ambacho kimeshindwa kuboresha maisha na ustawi wa watanzania. Wananchi wamechoka kubebeshwa āmagunia ya misumariā ya bei ya juu ya chakula, mfumuko wa bei wa kutisha, elimu duni, maisha duni, ufisadi wa kutisha na matatizo lukuki yanayosababishwa na panya (CCM) hawa wasiokuwa na haya! Kizazi kizima cha CCM kinakaribia kuzama na kusahaulika kabisa katika ardhi ya Tanzania.
Itās a matter of time before CCM dynasty comes to an end, and thatās when these unscrupulous rats will apprehend the significance and power of the people. Desolately, CCM have been ignoring and looking down their noses at common Tanzanians for many years. Time has now come when citizens can no longer endure CCMās tyranny and corrupt rule. Everybody is tired of living like a slave on a land endowed with an assortment of natural wealth which only benefits minority fisadis and a few elites in power while majority Tanzanians lead very miserable lives.
What comes around goes around. Let CCM go to hell for good because they have absolutely failed to uplift the living standards of millions of Tanzanians at the expense of a few fisadis whose gargantuan stomachs never fill up! And no one should be blamed for the hatred and grudge that majority people hold against CCM and their crooked government except fisadis themselves who, horrifically, decided to gnaw the cassava boat by which they were sailing!
Nawashangaa wapo kama mazuzu. Wangepewa highlights tu za miaka hata miwili ya chadema ikiwa madarakani wangeonaTena ndio WaTz watakufa kwa sonana hadi waseme hiki nini
Wewe kidampa.wa lumumbaWewe ni mpumbavu.
Wamepanga watu wa kuja kufanya vurugu kwenye mikutano yetu ili ionekane kuwa mikutano hiyo ni chanzo cha uvunjifu wa amani ili waifungie tena na mleta uzi huu ni mmoja wa uvccm ambao wana Kadi na nguo bandia za Chadema.Wakiona moto umezidi wataifungia tena hii mikutano.
Kwa watu wasio na akili kama wewe lazima uamini hivyo maaana bila watu kama nyinyi ccm ingeshakufaNa supreme leader akiwa ndio kinara ,al in all CCM itaendelea kutawala nendeni tuu furahisha mkaujaze uwanja.
Upo sahihi maana huyo mtu alishafukuzwa cdm kipindi kirefu sanaWamepanga watu wa kuja kufanya vurugu kwenye mikutano yetu ili ionekane kuwa mikutano hiyo ni chanzo cha uvunjifu wa amani ili waifungie tena na mleta uzi huu ni mmoja wa uvccm ambao wana Kadi na nguo bandia za Chadema.
Nilifukuzwa na baba yakoUpo sahihi maana huyo mtu alishafukuzwa cdm kipindi kirefu sana