Nimepasikia sana Beach Kidimbwi. Kunani huko?

Nimepasikia sana Beach Kidimbwi. Kunani huko?

Weee... unashangaa hostel mtu anakuja asubuhi anatandaza madola hapo kitandani mpk unaogopa. Anakwambia katoka kwa mzungu. Ile ilikua inawamotivate mpk na wengine washiriki. Inaogopesha sana aisee. Ile kuwekaga sheria za hostel ilisaidia sana maana unakuta chumba watu wanalala mpk 12 wakat ni cha watu wanne tu. Nashindwaga kuelewa shida ni nini. Either ni kutaka waonekane wako vzr financially, tamaa ama dhiki za kwao. Lkn wale walikua wajanja kbs. Sitaki kuwake kwenye kundi la watu wenye shida

Interesting
Cc Dr. Wansegamila
 
mkuu kidimbwi iko mbezi beach ya chini kule kawe round about alafu mbele ukitumia google map utafika nikupe tip za kungoa pini nunua Hennessy basi utazungukwa na watoto wazuri tupu ushindwe wewe tu pia usiende na demu utajilaumu milele manake kuna pini za hatari hujapata kuziona
Wewe sasa ndiyo umetoa desa la UE kabisa.
 
Back
Top Bottom