ngakotecture
JF-Expert Member
- Dec 30, 2014
- 2,569
- 2,847
Bei gani mkuu nambieHahah umedanganywa big time.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei gani mkuu nambieHahah umedanganywa big time.
January mosi 2021 mkuuWewe unaenda lini?
Na wewe hahahBeach kidimbwi"ahaaa ni fire"
😂😂😂🤣🤣Umeguna kirembo sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna jamaa hapa anasema nikuambie usiende na mkeo,utajilaumu. Utashindwa kuzungusha antena huku Na huku.
Weee... unashangaa hostel mtu anakuja asubuhi anatandaza madola hapo kitandani mpk unaogopa. Anakwambia katoka kwa mzungu. Ile ilikua inawamotivate mpk na wengine washiriki. Inaogopesha sana aisee. Ile kuwekaga sheria za hostel ilisaidia sana maana unakuta chumba watu wanalala mpk 12 wakat ni cha watu wanne tu. Nashindwaga kuelewa shida ni nini. Either ni kutaka waonekane wako vzr financially, tamaa ama dhiki za kwao. Lkn wale walikua wajanja kbs. Sitaki kuwake kwenye kundi la watu wenye shida
Lazima nifike this new yearNapenda Ile idea yao ya Furniture na Lights tu
And the music is awesome!
[emoji23][emoji23][emoji23] hutaki vitishoJibu maswali yake ya msingi sio kuleta vitisho, jikite zaidi kwenye location kwa faida ya wengi... hayo tutajionea wenyewe mbele kwa mbele.
Mjini kuna machimbo mengi mkuu acha kabisa. Kuna chimbo liko bunju live show ke anacheza na chupi kugusa kipochi kwa mkono 3000
Tutakutana huko huko naskia kuna pisi matata sana shepu za wahaya nasura za kitusi ngoja nikamsifu Mungu kwa uumbaji wakeJanuary mosi 2021 mkuu
Hahaahhah poa mkuu ila mm mgeni pia but ntaenda ata kwa google map.Tutakutana huko huko naskia kuna pisi matata sana shepu za wahaya nasura za kitusi ngoja nikamsifu Mungu kwa uumbaji wake
Hilo jina beach kidimbwi ndo linawabeba..Ila pa kawaida..
Mimi naona Bora jangwani sea breeze kumekaa vizuri.
Eneo kubwa,swimming pool sehemu za KUCHEZA n.k
Hapana mkuu. Miye mkulima yakhee. Mambo ya kidimbwi nayawezea wapiWewe ni mdau pale nikija nikucheki?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]matumizi sahihi ya smatifon mkuuHahaahhah poa mkuu ila mm mgeni pia but ntaenda ata kwa google map.
Si uliogopa ukajua gharama kuubwaaa. Kumbe 25k tu. Ila inategemea na ujazo na ingredients nadhani jumlisha upikwaji. Ziko tofauti tofauti.Na nini mrembo!
Wewe sasa ndiyo umetoa desa la UE kabisa.mkuu kidimbwi iko mbezi beach ya chini kule kawe round about alafu mbele ukitumia google map utafika nikupe tip za kungoa pini nunua Hennessy basi utazungukwa na watoto wazuri tupu ushindwe wewe tu pia usiende na demu utajilaumu milele manake kuna pini za hatari hujapata kuziona
Anhaaa ile ambayo class bei gani?Si uliogopa ukajua gharama kuubwaaa. Kumbe 25k tu. Ila inategemea na ujazo na ingredients nadhani jumlisha upikwaji. Ziko tofauti tofauti.
200,000 had 650,000 inategemea Ni Hennessy ipi unataka ila bei ndio hizo hapoBei gani mkuu nambie