Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Hawa Wapiga Kura Wa Mzilankende Barabarani Ni Tatizo SanaYule siku zake zilikuwa bado mkuu kama ningeiacha aivae hasiongeomba ata maji ya kunywa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa Wapiga Kura Wa Mzilankende Barabarani Ni Tatizo SanaYule siku zake zilikuwa bado mkuu kama ningeiacha aivae hasiongeomba ata maji ya kunywa
Sasa hicho kikokoteni ulichokibutua ndio unaona dili kuulizia matengenezo humu?Sawa dereva wa bodaboda mpumbavu naona ndio unaamka😀😀
Hawa wapuuzi nimewahama. Walichukua almost a year kunilipa kitu ambacho kiko straightforward.Hamia @britam insurance wapo vizur hawa
Nunua gari lingine huku ukisubiri bima wakulipe.Nnayo mkuu nimewapigia simu na kuwatumia picha ila walichonieleza itanipasa nisubiri kwa mwezi mmoja mimi mipango yangu mingi inategemea niwe na gari nasafiri mara kwa mara.
Nunua gari lingine huku ukisubiri bima wakulipe.Nnayo mkuu nimewapigia simu na kuwatumia picha ila walichonieleza itanipasa nisubiri kwa mwezi mmoja mimi mipango yangu mingi inategemea niwe na gari nasafiri mara kwa mara.
Bima Wao Shida Mwaka Mmoja Hujapata Ajali Wao Cash Ni FaidaBima zinazingua sana hazipo kumsaidia mteja hasa kwa hz crash ndogondogo bado hujaenda police kupata ile PF90 utaskia mtandao sijui hakuna lngo uwape rushwa bado afisa wa bima hajukupiga hela ili aprocess haraka.
Alikuwa na gari nyingine. Bima ya premier ndio ipi?Kwani kabla ya kununua gari hilo ulikuwa unasafirije katika hiyo mipango yako. Sema una bima ya Premier badala ya Comprehensive!
Tunaomba muongozo gari gani zinastahili kuuliziwa humu?Sasa hicho kikokoteni ulichokibutua ndio unaona dili kuulizia matengenezo humu?
Nunua gari lingine huku ukisubiri bima wakulipe.
Hawa wapuuzi nimewahama. Walichukua almost a year kunilipa kitu ambacho kiko straightforwa
Nina experience tofaut Mimi ilichukuwa wiki mbili kulipwa 100% ya loss
Ni kifupi cha PremiumAlikuwa na gari nyingine. Bima ya premier ndio ipi?
At least Toyota krugerTunaomba muongozo gari gani zinastahili kuuliziwa humu?
Unajua maana ya premium kwenye Bima?Ni kifupi cha Premium
Kluger sio? Sawa mkuu.At least Toyota kruger
Kluger sio? Sawa mkuu.
Ana nyodo za kishamba. Kama anataka kutengeneza gari atengeneze sio kuleta nyodo.Wewe utakua una shida sehem..
Naona unamjibu mtoa mada majibu yasiyo na maana tena zaidi ya mara moja..
Mipango imeanza sambamba na gari. "Bima ya premier" hivi unajua unachokiandika wewe😀Kwani kabla ya kununua gari hilo ulikuwa unasafirije katika hiyo mipango yako. Sema una bima ya Premier badala ya Comprehensive!
Hao jamaa wa bima ni kuwakazia tu, wala husitoe rushwa. Mimi nilishalipwa gari tena mara mbili bila kutoa rushwa hata sent moja, sema niliwakazia sana na nilikuwa na third party sema jamaa waligonga gari yangu.Mwezi wa 5 inaisha ntawahama lakin ata sijui niende wapi mana karibia wote wanafanana. Ntaitaji uzoefu wako mkuu wapi niamie