Buti la mkoloni
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 312
- 850
- Thread starter
- #61
🙏🙏🙏Pole Sana Kaka kwa ajili shukuru Mungu uko salama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙏🙏🙏Pole Sana Kaka kwa ajili shukuru Mungu uko salama
Kunywa maji meengi upunguze stress😂Sasa hicho kikokoteni ulichokibutua ndio unaona dili kuulizia matengenezo humu?
[emoji3][emoji3][emoji3] hapo ukute hata gari hana kaokota tu story vijiweni naye aonekane yumo.Mipango imeanza sambamba na gari. "Bima ya premier" hivi unajua unachokiandika wewe[emoji3]
Nakula nao sahani moja mkuu, taratibu za polis zote nishamaliza picha za tukio nimewatumia kwa wakatiHao jamaa wa bima ni kuwakazia tu, wala husitoe rushwa. Mimi nilishalipwa gari tena mara mbili bila kutoa rushwa hata sent moja, sema niliwakazia sana na nilikuwa na third party sema jamaa waligonga gari yangu.
Mkuu hujanielewa, nilikuwa namjibu huyo aliyeleta habar ya bima ya premier.Sina cha kukujibu. Ongera kwa kuishi maisha ya dhahania kaza mwendo mkuu utafanikiwa
Premier ni kifupi cha premium!!!😂😂Ni kifupi cha Premium
Ooh sorry mkuu, niwie radhi. Watu wengine wanashida sana kaka ata dhumuni la hili jukwaa hawajui ktk hili jukwaa kuna mafundi, madereva wazoefu wauza spare na n.k kuhusiana na vyombo vya moto lakin ukijaribu ku share changamoto yako basi wataibuka watu wachache pengine ata hvyo vyombo vya moto hawana na hawana ufahamu wowote wa vyombo vya moto na kuanza kuharibu dhima nzima ya changamoto uliyo-share au mada uliyoleta jukwaaniMkuu hujanielewa, nilikuwa namjibu huyo aliyeleta habar ya bima ya premier.
By the way pole, najua stress zake niliwahi pata ajari na mazda, bampa, rejeta na feni pamoja na ufundi zilinitoka karibia milioni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante sana kiongoziKimasihara masihara hapo kama milioni 2 hivi inaweza kufika. Pole mzee, ndio mambo ya road.
Ana nyodo za kishamba. Kama anataka kutengeneza gari atengeneze sio kuleta nyodo.
😀Hizo nyodo umeziona ww tu, asubuhi yote hii umeshakusanya chuki kwa mtu ambaye ata umfahamu😀😀 Una matatizo wewe sio bureAna nyodo za kishamba. Kama anataka kutengeneza gari atengeneze sio kuleta nyodo.
Mkuu nimegundua huna gari ama unaleta mapenzi ya gari unazosimuliwa au kuziona barabarani, unachopenda ww si kila mtu anakipenda, kwamba kluger ndio unarecomend iongelewe humu[emoji3][emoji2][emoji2]
Kiongozi bodaboda alinigonga jana usiku taa hiyo used japan bei gani na naweza kuipataje kwa huku iringaKluger sio? Sawa mkuu.
Wewe siyo dereva mwenye uzoefu inawezekana umemkwepa mchawi ukazani ni boda, Kuna mazingira yanakulazinisha kutokukwepa kitu barabaraniYule siku zake zilikuwa bado mkuu kama ningeiacha aivae hasiongeomba ata maji ya kunywa
Wewe umeweza kununua gari, unakuja huku kuuliza bei ya taa?Kiongozi bodaboda alinigonga jana usiku taa hiyo used japan bei gani na naweza kuipataje kwa huku iringaView attachment 2123634
Yule siku zake zilikuwa bado mkuu kama ningeiacha aivae hasiongeomba ata maji ya kunywa
Kwa misingi ya imani zetu kifo utokea kwa ahadi kitendo cha mimi kumkwepa na kugonga mti ata mm ahadi yangu haikuwa imefika. Tahadhari ya kunusuru uhai wake na wangu ndio imepekea mm kutoka nje ya barabara na kugonga mti, uhamuzi wa kutoka nje ya barabara pasipo kukusudia (kwa ishara) nao ulikuwa hatari kwa maisha ya watumiaji wengine wa barabaraWasikushauri ujinga
Uhai wa mtu una thamani huwezi kuua mtu kisa kulinda gari isiharibike
Naona watu wanawaongelea boda boda oama wanyama hivi na sio binadamu kama waoWasikushauri ujinga
Uhai wa mtu una thamani huwezi kuua mtu kisa kulinda gari isiharibike
Wewe umeweza kununua gari, unakuja kutuuliza gharama za hivyo vitu vidogo namna hiyo na ni mtu wa mipango mingi! Duh!Premier ni kifupi cha premium!!![emoji23][emoji23]