Dah....simpo Sana...mwambie akupe bajeti yake ya mahitaji ya nyumbani ya siku....Kisha ya wiki...akiweza hata ya mwezi.....Kama upo Dar..Sunday ingia naye Manzese maduka ya jumla piga shopping Kisha uende Mabibo piga shopping ya wiki nzima....hakikisha umenunua kila kitu....Kisha mpe Kama laki hivi mwambie AIWEKE....utakuja nishukuru 🤣🤣🤣🤭Habarini wapendwa, nimeona watu kadhaa wamekuwa waki share kadhia anuai katika jamvi hili na ushauri mzuri umekuwa ukitolewa ambao nadhani umekuwa msaada kwao.
“Aquila non capit muscas”
Na maji Tena Sasa wanakuwekea na MAJI YA LUKU.hala ndume nzima inalalamika matumiziMpaka umeme umepanda!!!
Nimecheka kwa nguvu kama mazuri, yaani unataka kutuaminisha walio oa hawasemi mshahara kamili kwa wake zao?ivi umeoa....?
ushauri kuntu, no goals no need to save money...hahahahhahahSijajua unapoushi wewe lakini kama ni familia changa ya watu wawili mfano Morogoro : Mchicha fungu la haja Mia tano fungu mbili buku. Nyama nusu kilo 3500, vitunguu fungu la maana Mia tano, nyanya mia tano, mafuta lita elfu 4 lakini hununui kila siku, mchele kilo elfu moja Mia mbili mpaka Mia nne. Kiukweli elfu 10 ilitakiwa iwe inatosha kabisa. Ushauri wangu ni huu ukipata salary nunua vitu vya jumla vifuatavyo: mchele nenda mashine za kukoboa nunua 50kgs, unga nunua kufuko cha 25kgs, mafuta ya kupika lita tano, ngano ya Azam 5kgs, sukari, chumvi, nazi za pakiti, vitunguu, maharage, dagaa etc... Baada ya hapo mpe pesa kwa matumizi yake binafsi kulingana na kipato chako, na pia pesa ya matumizi madogo ya ndani kama nyama, nyanya etc... Mwisho kaa naye mkubaliane nini malengo yenu kwa huo mwaka na miaka mitano ijayo? Mfano kuanzia Mwaka huu tuanze kufanya serving kwa ajili ya kununua gari au kiwanja au kupata mtoto ili aone umuhimu wa serving na kubana matumizi. Asante.
heee unataka akuambie na bei aliyonunulilia nyanya? mkuu kwa namna hii hutoboi kabsa..,,,nani anapenda hela za kutoa mrejesho kila siku? bora yangu mie ninazo za kwanguNdugu yangu nimeshajaribu mwarobaini huu, alinipigia hesabu ya mwezi wa kwanza laki 3 na kidogo hivi miezi iliyofuata kiasi hicho hakitoboi na mbaya zaidi tofauti na mwanzoni hataki hata nijue pesa imeotaje mabawa!!!
mh...umenitafsiri vibaya....lakini hata nisipo kwambia haiondoi kuwa majukumu ya kulea familia bado yatabaki kwangu..kwahiyo nikwambie mshahala nisikwambie...bado nitakae husika kule familia ni mimi babanimecheka kwa nguvu kama mazuri, yaani unataka kutuaminisha walio oa hawasemi mshahara kamili kwa wake zao?
mbavu zangu mie loooh
ASANTEEEEmh...umenitafsiri vibaya....lakini hata nisipo kwambia haiondoi kuwa majukumu ya kulea familia bado yatabaki kwangu..kwahiyo nikwambie mshahala nisikwambie...bado nitakae husika kule familia ni mimi baba
Hauko pekee yako kwa haya yanayokutokea. Nimekuwa consulted na wana ndoa wengi kwa kesi kama hii. Na hapa ndiyo matatizo ndani ya familia yanapoanzia. Matumizi ya pesa bila mpango, na bila kujali future kisa baba ameajiriwa na ana mshahara ambao kwa kweli si haba.Habarini wapendwa, nimeona watu kadhaa wamekuwa waki share kadhia anuai katika jamvi hili na ushauri mzuri umekuwa ukitolewa ambao nadhani umekuwa msaada kwao.
Moja kwa moja kwenye point. Mimi na wife tunaishi kwenye ndoa, namshukuru Mungu so far tunaishi vizuri sana. Leo nimeona nishare hili na watu wenye experience wanisaidie kwa ushauri na hekima zao.
Ni miaka miwili sasa tangu nimeoana na mke wangu na wakati tunaoana sikuwa na kazi japo nilikuwa na kibiashara kidogo. Kwa karibu mwaka mmoja wife alikuwa na nidhamu sana ya matumizi ya pesa, yaani elfu tano ilikuwa inatosha kabisa matumizi ya ndani kwa siku.
Cha ajabu baada ya kuwa nimepata ajira na thanks be to God mshahara wangu ni mtamu, wife amezidisha matumizi sana. Yaani tofauti na mwanzoni, kwa sasa elfu kumi haitoboi kwa siku.
Imefika wakati laki moja week haiishi, mwanzoni nilimshauri akakubaliana vema, lakini cha ajabu mabadiliko yalikuwa kidogo sana na niliporudia tena kumwambia kuhusu kupunguza matumizi ili tubane matumizi kwa ajili ya future yetu anakuwa mkali na anaona namunyanyasa baada ya kuwa nimepata ajira.
Naomba kwa haya machache, wenye ushauri na uzoefu wa ndoa munisaidie namna ya kufanya.
Asanteni sana
“Aquila non capit muscas”
Mpe talaka.Habarini wapendwa, nimeona watu kadhaa wamekuwa waki share kadhia anuai katika jamvi hili na ushauri mzuri umekuwa ukitolewa ambao nadhani umekuwa msaada kwao.
Moja kwa moja kwenye point. Mimi na wife tunaishi kwenye ndoa, namshukuru Mungu so far tunaishi vizuri sana. Leo nimeona nishare hili na watu wenye experience wanisaidie kwa ushauri na hekima zao.
Ni miaka miwili sasa tangu nimeoana na mke wangu na wakati tunaoana sikuwa na kazi japo nilikuwa na kibiashara kidogo. Kwa karibu mwaka mmoja wife alikuwa na nidhamu sana ya matumizi ya pesa, yaani elfu tano ilikuwa inatosha kabisa matumizi ya ndani kwa siku.
Cha ajabu baada ya kuwa nimepata ajira na thanks be to God mshahara wangu ni mtamu, wife amezidisha matumizi sana. Yaani tofauti na mwanzoni, kwa sasa elfu kumi haitoboi kwa siku.
Imefika wakati laki moja week haiishi, mwanzoni nilimshauri akakubaliana vema, lakini cha ajabu mabadiliko yalikuwa kidogo sana na niliporudia tena kumwambia kuhusu kupunguza matumizi ili tubane matumizi kwa ajili ya future yetu anakuwa mkali na anaona namunyanyasa baada ya kuwa nimepata ajira.
Naomba kwa haya machache, wenye ushauri na uzoefu wa ndoa munisaidie namna ya kufanya.
Asanteni sana
“Aquila non capit muscas”
Vimepanda baada ya yeye kupata Kazi?Mkuu gharama za maisha zimepanda.
1. Mchicha ulikuwa fungu 1 TSH Mia 2 sasahivi Ni buku
2. Mafuta ya kula Lita ilikuwa Elfu 3 sasahivi Lita Tshs elfu 5
Bado Nyanya ,vitunguu na viungo vingine mkuu Hana matumizi mabaya Bali gharama za maisha zimepanda sana
Vimepanda baada ya Mike kupata Kazi?Miaka2 sio sasa. Umeskia bei ya mafuta ña vyakula ilivyopanda?
Halafu wewe unaweza kuwa mwanaume bahili hadi kwa mkeo kweli!?
Bila kupepesa MachoSio kweli mchele, unga maaharage hajapanda kihivyo nikupe mfano mimi huwa naagiza mchele kutoka kilombero kilo ni gunia la kilo 100 ni 75,000tsh gharama ya kusafirisha mpaka tazara ni 26,000, Mahindi gunia 25,000 usafiri toka kibaigwa 16,000, huo mchele nitakula zaidi miezi 7 na mahindi ni mwaka mzima na napata na makande hapo
Pole sana Mkuu hapo nyumbani kwenu mnaishi watu wangapi jumla?
Mfano mdogo kwangu ni familia ya watu 4.
Budget ya chakula kwa mwezi ni 300,000
Umeme 30,000
Kifurushi azam 28,000
Maji 15,000
Mshahara wa mfanyakazi 50,000
Jumla 423,000
Kaa nae chini mpige mahesabu ya vitu vyote muhimu kwa mwezi mzima. Mimi hua nanunua kila kitu kinakua ndani, kuanzia mchele,mafuta,dagaa,maharagwe chumvi,sukari,nyama,samaki,viungo vyote ndani. Na hua vinapitiliza mwezi nimetenga na ratiba kabisaa.