Nimepata madonda usawa wa uvungu kuelekea njia ya haja kubwa

Nimepata madonda usawa wa uvungu kuelekea njia ya haja kubwa

malembeka18

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2018
Posts
3,266
Reaction score
3,698
Gafla najikagua Jana najikuta kama kiupelele hivi kanauma kushuka zaid pembeni kama kunamstari nimechanika kama kidonda wakuu nauliza hii nikitu gani
 

Attachments

  • SAVE_20241103_231821.jpg
    SAVE_20241103_231821.jpg
    797 KB · Views: 12
Gafla najikagua Jana najikuta kama kiupelele hivi kanauma kushuka zaid pembeni kama kunamstari nimechanika kama kidonda wakuu nauliza hii nikitu gani
Pole mkuu, punguza kuvaa nguo nyingi kwa wakati mmoja hasa kipindi hiki cha joto. Pia kama siyo fungus inaweza ikawa imetokea kama ni mtu wa mazoezi ya viungo au running!
 
Nje ya mada kidg asee wanaume tuna ngozi ngumu saana na ya kutisha angalia ngozi ya mwamba hapo juu kwanza vinyweleo utadhani sokwe au imekakamaa hatari na wanaume wte wana vinyweleo kweny makalio hadi sio poa sasa swali linakuja wale wafiraji wanaowafira wanaume wanavutiwa na nini? Dah
 
Ukiweza kesho nenda hospitali private utapata dawa
 
Requires medical diagnosis..
Inaweza kuwa HSV...

Kama kuna mdada mnafanya rimming au ngono za kumwagiana maji most probably...

Ila nenda hospital uwaoneshe upate matibabu...
 
Requires medical diagnosis..
Inaweza kuwa HSV...

Kama kuna mdada mnafanya rimming au ngono za kumwagiana maji most probably...

Ila nenda hospital uwaoneshe upate matibabu...
Hsv ndo kitu gani
 
Back
Top Bottom