Ibra tiger
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 294
- 707
Duu pole ase.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuona huo mbabuko mkuuUngepitwa na mengi kama
Khaaah, we sio mtu mzuri weyee parachut hili hili ajipake mwenyewe tenamafuta ya NAZI. yanaitwa PARACHUT NUNUA yale. jikaushe vizuri baada ya kuoga paka asubuhi na jioni siku tatu nyingi
Unaweza kupaka spirit kwa siku kama 4 asubuhi na jioni itakwisha,ila jitahidi kubadili Boxer kila unapo oga...Gafla najikagua Jana najikuta kama kiupelele hivi kanauma kushuka zaid pembeni kama kunamstari nimechanika kama kidonda wakuu nauliza hii nikitu gani
usilete masihara na utoto kwenye mambo ya kweli. kwani hawezi kujipaka mwenyewe? amekuambia hana mtu wa kumpaka? watu wanaongea na ku share mambo serious wewe unaleta utoto wako hapa? mwambie basi cha kufanya ili aponeKhaaah, we sio mtu mzuri weyee parachut hili hili ajipake mwenyewe tena
Stress zako peleka huko huko kwa mumeo sio hapa unaleta userious kwenye kila kitu ungekua serious hivyo kwenye maisha yako ungekua unashindana na kina Bakhera huko kumbafusilete masihara na utoto kwenye mambo ya kweli. kwani hawezi kujipaka mwenyewe? amekuambia hana mtu wa kumpaka? watu wanaongea na ku share mambo serious wewe unaleta utoto wako hapa? mwambie basi cha kufanya ili apone
Wakuu nimepona imepona yenyewe bila dawa nlikua nkioga najikausha vizurUnaweza kupaka spirit kwa siku kama 4 asubuhi na jioni itakwisha,ila jitahidi kubadili Boxer kila unapo oga...
Picha mkuuWakuu nimepona imepona yenyewe bila dawa nlikua nkioga najikausha vizur
Pole...Wakuu nimepona imepona yenyewe bila dawa nlikua nkioga najikausha vizur