Nimepata mfadhili wa mradi mmoja mkubwa unaoweza kugharimu Tsh billioni 116. Ni mradi gani unaweza kugharimu hizo pesa?

Nimepata mfadhili wa mradi mmoja mkubwa unaoweza kugharimu Tsh billioni 116. Ni mradi gani unaweza kugharimu hizo pesa?

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Habarini wakuu,

Nina swali zito naombeni majibu yake.

Nimepata mfadhili mmoja katika tafuta zangu. Ameniambia nitafute mradi mmoja wa kuwekeza unaoweza kugharimu billioni 116.

Je, ni mradi gani mmoja mkubwa ambao unaweza kugharimu Tsh. billioni 116.

Niliandika miradi yangu mitatu. Miwili ya mafuta na gesi. Na mmoja wa mambo ya elimu. Ila imeonekana ni midogo. Imeonekana haifiki hata Tsh billioni 10. Hivyo nimepewa nafasi ya kutafuta mradi mwingine.

Najua hapa kuna wakubwa wenye uwezo wa kuwaza kuliko Mimi.

Nipo hapa kupata mawazo yenu

Ahsanteni sana
 
Huwezi kupata mfadhili bila writeup ya mradi.

Kama ni kweli unamaanisha njoo pm nikupe nondo za investment uchaguwe.

In shot kuna mining sector, kuna real estate, kuna hospitality, kuna tourism na michongo kibao.

Kama upo serious njoo.
 
Hapa unachemsha kidogo;

Moja ungespecify sector na area of concentration au experience.

1. Inawezakuwa real estate development project, housing, hotels n.k

2. Manufacturing plant project

3. Transportation - inaweza kuwa usafiri wa anga, maji n.k

4. Inaweza kuwa distribution and logistics fleet

5. Setting a specialized medical facility

N.k
 
Back
Top Bottom