Nimepata mfadhili wa mradi mmoja mkubwa unaoweza kugharimu Tsh billioni 116. Ni mradi gani unaweza kugharimu hizo pesa?

Nimepata mfadhili wa mradi mmoja mkubwa unaoweza kugharimu Tsh billioni 116. Ni mradi gani unaweza kugharimu hizo pesa?

Hizo pesa unaanzisha kiwanda cha madawa bila shida yeyote
Au kiwanda cha vifaa tiba kama vile gloves, syringes, cannula

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Halafu hii business haina ushindani kabisa hapa bongo ila sijajua ni kwa nini matajiri wakubwa kama wakina Mo,Manji,Rostam wanaikwepa hii lazima kuna shida mahali kwenye masharti na vigezo ya serikali.
 
Hapa mwambie muwekeze kwenye viwanda vya kusindika nyama na kuuza nje.jengeni kiwanda Cha kuchinja mifugo na kuuza ulaya.
1- Jenga chuo kikuu chenye hadhi sawa na Oxford,havard, Cambridge.
2-fungueni kiwanda Cha kutengeneza vyombo vya ndani.
3-kiwanda Cha sementi.
4-kiwanda Cha ku assemble magari ya kampuni kadhaa zinazopendwa hapa Tanzania.
5-wekeza kwenye apartments/real estate ambazo mtaziunganisha na mtandao wa Anb
6-usafirishaji wa mizigo so hapa utahitaji semi Mia kidogo ama ya abiria mlete mabasi ya kisasa yenye choo humo humo na chakula kinakuwemo hakuna haja ya watu kushuka madereva wawili wanapeana shift.
7-kata kibali muanze uchimbaji wa madini Mana mtaweza kua afford quality equipments.
8-education, energy, housing, healthy, communication,food (agriculture)industry like kuipa ubora nafaka zetu for exports.
9-muombe franchise na kiwanda like Cha simu zinazopendwa hapa nchini.
10- kiwanda Cha Bajaj na bodaboda Mana Kuna demand kubwa kwa developing and poor countries.
11- kiwanda Cha mavazi sema hapa inabidi ucheki availability of raw resources.
Ngoja niishie hapa Mana kichwa hakipendi Mambo muhimu sema kwenye Mambo ya kimbususu kina too much active adi unajishangaa kinavyochakata data na kutoa information.


Kila la heri Kama hili suala Ni la ukweli
Ahsante sana kwa kunifumbua akili. Ni ya ukweli boss.
 
Hapa unachemsha kidogo;

Moja ungespecify sector na area of concentration au experience...

1. Inawezakuwa real estate development project... housing, hotels n.k


2. Manufacturing plant project

3. Transportation.... inaweza kuwa usafiri wa anga, maji n.k

4. Inaweza kuwa distribution and logistics fleet

5. Setting a specialized medical facility

N.k
Hapo namba 1 & 5 hazijawahi kumfelisha mtu.
Namba 2 pia ni nzuri ila returns yake inachukua muda mrefu kwenye marketing ya products hadi ikubalike na wateja.
 
Chochote / Wazo ulilonalo (umelifanyia due diligence) unaweza ukarudi kwenye vitabu na kwenye mahesabu ukaanza kutafuta better requirements kwahio vitabu vika-balance....

Sababu binafsi nadhani ujanja ni kufanya kitu at the lowest price possible wakati mwingine lazima anunue vitu fulani fulani wewe unaweza ukavipata bure au kulipwa kabisa (someones wastes is another one's resource) Hence bora mtu aseme isizidi kiasi fulani na sio ifikie kiasi fulani
Ahsante sana boss
 
Halafu hii business haina ushindani kabisa hapa bongo ila sijajua ni kwa nini matajiri wakubwa kama wakina Mo,Manji,Rostam wanaikwepa hii lazima kuna shida mahali kwenye masharti na vigezo ya serikali.
Ramadhani Madabida baada ya kukosana na wana Ccm wenzake aliambiwa anatengeneza ARV fake kwenye kiwanda chake na akafikishwa mahakamani.

Huko Msd kwenyewe tu ni hekaheka tupu.
 
Hapa mwambie muwekeze kwenye viwanda vya kusindika nyama na kuuza nje.jengeni kiwanda Cha kuchinja mifugo na kuuza ulaya.
1- Jenga chuo kikuu chenye hadhi sawa na Oxford,havard, Cambridge.
2-fungueni kiwanda Cha kutengeneza vyombo vya ndani.
3-kiwanda Cha sementi.
4-kiwanda Cha ku assemble magari ya kampuni kadhaa zinazopendwa hapa Tanzania.
5-wekeza kwenye apartments/real estate ambazo mtaziunganisha na mtandao wa Anb
6-usafirishaji wa mizigo so hapa utahitaji semi Mia kidogo ama ya abiria mlete mabasi ya kisasa yenye choo humo humo na chakula kinakuwemo hakuna haja ya watu kushuka madereva wawili wanapeana shift.
7-kata kibali muanze uchimbaji wa madini Mana mtaweza kua afford quality equipments.
8-education, energy, housing, healthy, communication,food (agriculture)industry like kuipa ubora nafaka zetu for exports.
9-muombe franchise na kiwanda like Cha simu zinazopendwa hapa nchini.
10- kiwanda Cha Bajaj na bodaboda Mana Kuna demand kubwa kwa developing and poor countries.
11- kiwanda Cha mavazi sema hapa inabidi ucheki availability of raw resources.
Ngoja niishie hapa Mana kichwa hakipendi Mambo muhimu sema kwenye Mambo ya kimbususu kina too much active adi unajishangaa kinavyochakata data na kutoa information.


Kila la heri Kama hili suala Ni la ukweli
Ideas zote ziko hapa.
Kwa mfano kwenye kiwanda cha kuassemble magari hizo B zitaisha tu zitake zisitake.
 
Mkuu Meneja Wa Makampuni

Nina project zinamaliza hizo hela na bado zikadai

issue tunawezaje kublend tukafanya pamoja??

ninajua hizo project zinataka nini siwezi kabidhi blueprint kwa mwingine then akaenda kuliangusha wazo langu itaniuma zaidi
 
Habarini wakuu,

Nina swali zito naombeni majibu yake.

Nimepata mfadhili mmoja katika tafuta zangu. Ameniambia nitafute mradi mmoja wa kuwekeza unaoweza kugharimu billioni 116.

Je, ni mradi gani mmoja mkubwa ambao unaweza kugharimu Tsh. billioni 116.

Niliandika miradi yangu mitatu. Miwili ya mafuta na gesi. Na mmoja wa mambo ya elimu. Ila imeonekana ni midogo. Imeonekana haifiki hata Tsh billioni 10. Hivyo nimepewa nafasi ya kutafuta mradi mwingine.

Najua hapa kuna wakubwa wenye uwezo wa kuwaza kuliko Mimi.

Nipo hapa kupata mawazo yenu

Ahsanteni sana
Mleta mada anataka mumpe mawazo(ideas) ambayo katika hali ya kawaida hamuwezi kuyatoa.

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom