mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Halafu hii business haina ushindani kabisa hapa bongo ila sijajua ni kwa nini matajiri wakubwa kama wakina Mo,Manji,Rostam wanaikwepa hii lazima kuna shida mahali kwenye masharti na vigezo ya serikali.Hizo pesa unaanzisha kiwanda cha madawa bila shida yeyote
Au kiwanda cha vifaa tiba kama vile gloves, syringes, cannula
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Hizi pesa ni grants au ni kitu gani?Nilimpa project tatu zenye hela inayoishia billioni 5 boss.
Ahsante sana kwa kunifumbua akili. Ni ya ukweli boss.Hapa mwambie muwekeze kwenye viwanda vya kusindika nyama na kuuza nje.jengeni kiwanda Cha kuchinja mifugo na kuuza ulaya.
1- Jenga chuo kikuu chenye hadhi sawa na Oxford,havard, Cambridge.
2-fungueni kiwanda Cha kutengeneza vyombo vya ndani.
3-kiwanda Cha sementi.
4-kiwanda Cha ku assemble magari ya kampuni kadhaa zinazopendwa hapa Tanzania.
5-wekeza kwenye apartments/real estate ambazo mtaziunganisha na mtandao wa Anb
6-usafirishaji wa mizigo so hapa utahitaji semi Mia kidogo ama ya abiria mlete mabasi ya kisasa yenye choo humo humo na chakula kinakuwemo hakuna haja ya watu kushuka madereva wawili wanapeana shift.
7-kata kibali muanze uchimbaji wa madini Mana mtaweza kua afford quality equipments.
8-education, energy, housing, healthy, communication,food (agriculture)industry like kuipa ubora nafaka zetu for exports.
9-muombe franchise na kiwanda like Cha simu zinazopendwa hapa nchini.
10- kiwanda Cha Bajaj na bodaboda Mana Kuna demand kubwa kwa developing and poor countries.
11- kiwanda Cha mavazi sema hapa inabidi ucheki availability of raw resources.
Ngoja niishie hapa Mana kichwa hakipendi Mambo muhimu sema kwenye Mambo ya kimbususu kina too much active adi unajishangaa kinavyochakata data na kutoa information.
Kila la heri Kama hili suala Ni la ukweli
Hapo namba 1 & 5 hazijawahi kumfelisha mtu.Hapa unachemsha kidogo;
Moja ungespecify sector na area of concentration au experience...
1. Inawezakuwa real estate development project... housing, hotels n.k
2. Manufacturing plant project
3. Transportation.... inaweza kuwa usafiri wa anga, maji n.k
4. Inaweza kuwa distribution and logistics fleet
5. Setting a specialized medical facility
N.k
Ni grant bossHizi pesa ni grants au ni kitu gani?
Wa kwenye email ambao wanakwambia wamekwapua mabilioni ya pesa kwenye kampuni yao halafu hawana pa kuzipeleka[emoji38]Sio wale Wafadhili wa kwenye email ..soon kuna mtu ana pigwa na kitu kizito
Ahsante sana boss kwa ushauriFanya Project Ya Ujenzi Jenga Mji Wa Makazi ya Kisasa Like Fumba Town Zanzibar, Au Mji Wa kistarehe tuu. Info Zaid PM Iko Wazi
Sio rafiki, hayo mawazo yaondoeni marafiki. Tuwaze kikubwa sasa. Kesho utakua kiongozi hilo litakua ni moja ya jukumu lako.Wa kwenye email ambao wanakwambia wamekwapua mabilioni ya pesa kwenye kampuni yao halafu hawana pa kuzipeleka[emoji38]
Kama ni grants njoo pm nitakupa material.Ni grant boss
Ahsante sana bossChochote / Wazo ulilonalo (umelifanyia due diligence) unaweza ukarudi kwenye vitabu na kwenye mahesabu ukaanza kutafuta better requirements kwahio vitabu vika-balance....
Sababu binafsi nadhani ujanja ni kufanya kitu at the lowest price possible wakati mwingine lazima anunue vitu fulani fulani wewe unaweza ukavipata bure au kulipwa kabisa (someones wastes is another one's resource) Hence bora mtu aseme isizidi kiasi fulani na sio ifikie kiasi fulani
Sawa boss ahsante sana, nakujaKama ni grants njoo pm nitakupa material.
Hapana boss, wala usijali hayo.Wazo la mtu linaenda kufaifisha mtu burebure hapa
Ramadhani Madabida baada ya kukosana na wana Ccm wenzake aliambiwa anatengeneza ARV fake kwenye kiwanda chake na akafikishwa mahakamani.Halafu hii business haina ushindani kabisa hapa bongo ila sijajua ni kwa nini matajiri wakubwa kama wakina Mo,Manji,Rostam wanaikwepa hii lazima kuna shida mahali kwenye masharti na vigezo ya serikali.
Ideas zote ziko hapa.Hapa mwambie muwekeze kwenye viwanda vya kusindika nyama na kuuza nje.jengeni kiwanda Cha kuchinja mifugo na kuuza ulaya.
1- Jenga chuo kikuu chenye hadhi sawa na Oxford,havard, Cambridge.
2-fungueni kiwanda Cha kutengeneza vyombo vya ndani.
3-kiwanda Cha sementi.
4-kiwanda Cha ku assemble magari ya kampuni kadhaa zinazopendwa hapa Tanzania.
5-wekeza kwenye apartments/real estate ambazo mtaziunganisha na mtandao wa Anb
6-usafirishaji wa mizigo so hapa utahitaji semi Mia kidogo ama ya abiria mlete mabasi ya kisasa yenye choo humo humo na chakula kinakuwemo hakuna haja ya watu kushuka madereva wawili wanapeana shift.
7-kata kibali muanze uchimbaji wa madini Mana mtaweza kua afford quality equipments.
8-education, energy, housing, healthy, communication,food (agriculture)industry like kuipa ubora nafaka zetu for exports.
9-muombe franchise na kiwanda like Cha simu zinazopendwa hapa nchini.
10- kiwanda Cha Bajaj na bodaboda Mana Kuna demand kubwa kwa developing and poor countries.
11- kiwanda Cha mavazi sema hapa inabidi ucheki availability of raw resources.
Ngoja niishie hapa Mana kichwa hakipendi Mambo muhimu sema kwenye Mambo ya kimbususu kina too much active adi unajishangaa kinavyochakata data na kutoa information.
Kila la heri Kama hili suala Ni la ukweli
Mleta mada anataka mumpe mawazo(ideas) ambayo katika hali ya kawaida hamuwezi kuyatoa.Habarini wakuu,
Nina swali zito naombeni majibu yake.
Nimepata mfadhili mmoja katika tafuta zangu. Ameniambia nitafute mradi mmoja wa kuwekeza unaoweza kugharimu billioni 116.
Je, ni mradi gani mmoja mkubwa ambao unaweza kugharimu Tsh. billioni 116.
Niliandika miradi yangu mitatu. Miwili ya mafuta na gesi. Na mmoja wa mambo ya elimu. Ila imeonekana ni midogo. Imeonekana haifiki hata Tsh billioni 10. Hivyo nimepewa nafasi ya kutafuta mradi mwingine.
Najua hapa kuna wakubwa wenye uwezo wa kuwaza kuliko Mimi.
Nipo hapa kupata mawazo yenu
Ahsanteni sana
Hivi mnafanyaje kupata mi nina project lakink sijui naanzia wapi kupata grantsNi grant boss
Mana haya magari solo litakuwa East Central mpaka west and north AfricaIdeas zote ziko hapa.
Kwa mfano kwenye kiwanda cha kuassemble magari hizo B zitaisha tu zitake zisitake.
Boss ni bidii tu ya utafutaji.Hivi mnafanyaje kupata mi nina project lakink sijui naanzia wapi kupata grants