Huyo ni yesu kaja Kwa njia hioDaah ndugu yako baada ya kwenda nae taratibu unamsema kisa dawa ya meno aisee....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni yesu kaja Kwa njia hioDaah ndugu yako baada ya kwenda nae taratibu unamsema kisa dawa ya meno aisee....
Nikija songea usianze manyanyaso Kama hayaDawa mnunulie yake,
Hafu mendine muelekeze atarekebika.
...Mwenye Matatizo Nini Wewe ! Jambo linakusumbua Lakini Kulikemea Huwezi, Inakuja Kulia Lia JF ! Acha Unafiki. Kama hupendi Wageni Kwako, SEMA TU, Sio utafute Visababu sababu !! [emoji57][emoji57]1. Uchafu anaweka popote, anaweza kula embe kisha maganada akaacha hapo chini ndani yani akawa yuko comfortable kabisa.
2. Dawa ya meno anaminya popote tu.
3. Jagi la maji anakunywa kwa kushika lote na mmekaa wengi mnakula na grass zipo.
4. Inshort things are mess
Kesho wageni kuotka nanjilinj hatuji tena kwako[emoji23][emoji23] kabla afukuzwe ni muhimu kunyooshwa, ajue alipozingua
Mmasai nini?😀😀nilikaaga ghetto Moja na mmasai WA monduli jamaa miyeyusho ni WA kiume ila sio mstaarabu ukimwelekeza kitu anamind,kwanza alikuwa na perfume zimeandikwa women Kwa ufupi anatumia perfume za kike,hataki kupika Wala kuosha vyombo,Kuna makabila yenye mfumo dume aswa sio wakukaa nao ghetto Moja kwenye kujitafuta,wanawezana wao wenyewe1. Uchafu anaweka popote, anaweza kula embe kisha maganada akaacha hapo chini ndani yani akawa yuko comfortable kabisa.
2. Dawa ya meno anaminya popote tu.
3. Jagi la maji anakunywa kwa kushika lote na mmekaa wengi mnakula na grass zipo.
4. Inshort things are mess
NomaaaaaaNadhani wewe ndio umeamua kukaza fuvu mkuu. Kwa issue ya ustaarabu na adabu, kama ungekuwa unazungumzia kuwafundisha watoto au watu ambayo ni sehemu ya maisha Yako hapo nyumbani, Wala nisingepingana na wewe.
Ninachozungumzia Mimi, huyo ni mgeni. Pengine huo ustaarabu ulionao wewe, yeye hana. Ni mtu wa kupita tu hapo kwako, kuna ugumu Gani kumvumilia kwa jambo dogo kama ilo? Maana Iko wazi huwezi kumwambia.
Tabia zote hapo kwa mgeni wako ni malezi aliyoyapata toka akiwa mdogo sio rahisi kubadilika hasa hasa kama ni mtu mzima tayari (miaka 18+) ila kama huwa unapokea wageni mara kwa mara upande wa dawa ya meno uwe unanunua kama hii hapa chini.2. Dawa ya meno anaminya popote tu.
Mkuu kwani dawa ya meno ukiminya popote kuna shida gani?1. Uchafu anaweka popote, anaweza kula embe kisha maganada akaacha hapo chini ndani yani akawa yuko comfortable kabisa.
2. Dawa ya meno anaminya popote tu.
3. Jagi la maji anakunywa kwa kushika lote na mmekaa wengi mnakula na grass zipo.
4. Inshort things are mess
Mimi kuna jamaa tuliishi chumba kimoja, nilimshangaa ana tumia kikombe tunacho nywea chai kunawia uso na kupigia maswaki.Wakati mwingine tukubali tu
Kuna watu wamekulia mazingira ambayo hakuna utaratibu wa kurudisha kitu chochote ulichotumia mahali pake.
Yaani maisha yao hayana mpangilio.
Usimlaumu, we akienda kinyume na utaratibu wako wewe rekebisha.
Malezi hayo
Mpe msaada elimu ya usafi utajua umemsaidia na umeisaidia jamii1. Uchafu anaweka popote, anaweza kula embe kisha maganada akaacha hapo chini ndani yani akawa yuko comfortable kabisa.
2. Dawa ya meno anaminya popote tu.
3. Jagi la maji anakunywa kwa kushika lote na mmekaa wengi mnakula na grass zipo.
4. Inshort things are mess
Sasa ukimsema huku unadhani utakuwa umemsaidia?,Mwambie hayo mapungufu yake ili abadilike.1. Uchafu anaweka popote, anaweza kula embe kisha maganada akaacha hapo chini ndani yani akawa yuko comfortable kabisa.
2. Dawa ya meno anaminya popote tu.
3. Jagi la maji anakunywa kwa kushika lote na mmekaa wengi mnakula na grass zipo.
4. Inshort things are mess
Dawa inaminywa popote pale. Kuweka masharti ya pakuminya dawa ni ukichaa.Dawa hata unapoanza mara ya 1 unatakiwa uanze kuminya chini. Haiminywi kuanzia juu. Kama ulikua hujui chukua hiyo usije kutoa boko ugenini.
Exactly..halaf anapenda kulalamikia pembeni kitu ambacho inakua kama unafiki. Be straight..mpe utu ukwel. Hapo si kwako. Mtu aishi kwa taratibu zako unazotaka..atazijuaje?? Mpe maelezo.
Baba mwenye nyumba unakua kama kijino pembe kulalamika lalamikia pemben kama sio mwanaume kamili bwama??!!
Wacha hiyo mambo Wakili wa shetaniDawa inaminywa popote pale. Kuweka masharti ya pakuminya dawa ni ukichaa.
Maisha ni mafupi sana kuanza kuhangaika na pakuminya dawa ya meno.Wacha hiyo mambo Wakili wa shetani
Ukiishi chumba kimoja na jamii ya kifugaji ni sawa unaishi na Mbuzi au Bata ndani, wao hawajui kama chumba au Nyumba inafanyiwa usafi au chuka na vyombo vinaoshwa.Mmasai nini?[emoji3][emoji3]nilikaaga ghetto Moja na mmasai WA monduli jamaa miyeyusho ni WA kiume ila sio mstaarabu ukimwelekeza kitu anamind,kwanza alikuwa na perfume zimeandikwa women Kwa ufupi anatumia perfume za kike,hataki kupika Wala kuosha vyombo,Kuna makabila yenye mfumo dume aswa sio wakukaa nao ghetto Moja kwenye kujitafuta,wanawezana wao wenyewe
Kuna msemo wahenga hutumia "Asiyefunzwa na mmaye hufunzwa na ulimwengu". Kama unammudu mchane tu mapemabusibaki na vitu moyoni1. Uchafu anaweka popote, anaweza kula embe kisha maganada akaacha hapo chini ndani yani akawa yuko comfortable kabisa.
2. Dawa ya meno anaminya popote tu.
3. Jagi la maji anakunywa kwa kushika lote na mmekaa wengi mnakula na glass zipo.
4. Inshort things are mess