Kama bado unapenda kusifiwa na unaogopa kusemwa vibaya basi una safari ndefu ya kufikia kwenye amani ya moyo wako.Ukimwambia anaenda kijijini kukutangaza kwa ubaya.
Umasikini ni laana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama bado unapenda kusifiwa na unaogopa kusemwa vibaya basi una safari ndefu ya kufikia kwenye amani ya moyo wako.Ukimwambia anaenda kijijini kukutangaza kwa ubaya.
Umasikini ni laana!
Bora tunaoishi hivi, tunajiepusha na mengi sana.Mimi dizain ni wale ikitokea bahati mbaya (nasema bahati mbaya maana siyo rahisi unikute nimekuwa mgeni wa mtu nyumbani kwake) huwa naaga nikianza kuona mazingira yoyote ya kuambiwa “karibu tule”,hata vinywaji huwa sipendi kwanini niwe mgeni kisha nimtie mtu hasara?
Sisi binadamu tuna madhaifu yetu wengine hawajayazoea ukiweza jitenge nao tu.
Fukuza faster!!1. Uchafu anaweka popote, anaweza kula embe kisha maganada akaacha hapo chini ndani yani akawa yuko comfortable kabisa.
2. Dawa ya meno anaminya popote tu.
3. Jagi la maji anakunywa kwa kushika lote na mmekaa wengi mnakula na glass zipo.
4. Inshort things are mess
ivi hamna dawa ya memo nzuri zaidi ya colgate?Tabia zote hapo kwa mgeni wako ni malezi aliyoyapata toka akiwa mdogo sio rahisi kubadilika hasa hasa kama ni mtu mzima tayari (miaka 18+) ila kama huwa unapokea wageni mara kwa mara upande wa dawa ya meno uwe unanunua kama hii hapa chini.
View attachment 2853598
Hadi dawa ya mswaki Ina masharti ya kuminya?😀😀si inaminywa popote ilimradi inawezekana kuitoa/ kuimaliza yote,masharti Hadi kwenye vitu vidogo vidogo ni ukichaa na umaskiniWageni wengine miyeyusho sana. Ila hapo kwenye kuminya dawa. Watu wengi wanaosisitiza kuminya dawa ya meno kuanzia chini huwa ni wagonjwa wa akili. Wengi hawafahamu hili, unaweza kudhani ni wastaarabu kumbe ni wagonjwa wa akili.
Mfundishe usiogope au muelekeze….1. Uchafu anaweka popote, anaweza kula embe kisha maganada akaacha hapo chini ndani yani akawa yuko comfortable kabisa.
2. Dawa ya meno anaminya popote tu.
3. Jagi la maji anakunywa kwa kushika lote na mmekaa wengi mnakula na glass zipo.
4. Inshort things are mess
Na kwenye kula hakikisha unatafuta taratibu ili kutofautisha mtu anayekula na anayefua…..Table manner nyingine ni pamoja na kijiko unapokoroga chai yako kisitoe mlio kwa kubamiza kuta za kikombe. Koroga kwa ku balance pale kati.
Chukueni hiyo.
Ni kutoka kanda ya ziwa? Vumilia tu mkuu.1. Uchafu anaweka popote, anaweza kula embe kisha maganada akaacha hapo chini ndani yani akawa yuko comfortable kabisa.
2. Dawa ya meno anaminya popote tu.
3. Jagi la maji anakunywa kwa kushika lote na mmekaa wengi mnakula na glass zipo.
4. Inshort things are mess
Dah qqmk [emoji16][emoji16][emoji16] Haya maisha aya. Mwamba X kaja Dar kutembea tu.
Kweli mkuu ukizingatia n mgeni hana muda atarejea alikotokaWakati mwingine tukubali tu
Kuna watu wamekulia mazingira ambayo hakuna utaratibu wa kurudisha kitu chochote ulichotumia mahali pake.
Yaani maisha yao hayana mpangilio.
Usimlaumu, we akienda kinyume na utaratibu wako wewe rekebisha.
Malezi hayo
Hapo ataenda kusema unaringaBaadhi ya watz ni watu wa ajabu. Jamaa alinipigia simu anakuja kwenye interview ya kazi nikasema fresh njoo tu nakupokea hakuna shida. Eeehh naenda stendi kumpokea huyu rafiki yangu "Y" naona yuko na mtu mwingine "x" anatufata nyuma nyuma tunaingia kwenye gari naona "x" anaingia nauliza nani huyu ndo jamaa "Y" anasema huyu ni rafiki yangu. Namuuliza je na yeye "X" kaja kwenye interview? Jamaa anasema hapana yeye kaja kutembea tu.
Kufika home yule mwamba X aliyekuja kutembea kumbe anavuta sigara kama kichaaa. Mimi na moshi wa sigara hatupatani hata kidogo mwamba akiingia ndani nyumba nzima moshi unanuka.
Nikamuambia yule mwamba X mimi na sigara hatupatani naomba usivute sigara nyumbani kwangu mwamba akanielewa. Baada ya kufanya interview yule rafiki yangu Y akasema hawezi kuondoka hadi majibu yatoke nikasema fresh. Baada ya majibu kutoka akawa amekosa nafasi nikajua sasa anasepa heee naona siku na kwanza, ya pili, ya tatu wapo tu.
Nikaona yule mwamba Y mvuta fegi ameanza kufukuzia mwanamke nyumba ya jirani ambao tunaheshimiana sana nikaona wema utaniponza. Mimi nika deal na rafiki yangu tu. Nikamwambia sasa mimi nasafiri rafiki yangu akasema we nenda utatukuta tu mkuu ukirudi. Nikamwambia hapana kubaki mimi nasafiri kesho kutwa nyinyi mnaondoka kesho asubuhi mapema. Ndio ulikua mwisho wa mawasiliano.
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Makubwa ungewaacha ungekuta wapo wanne wameshaoa kabisaBaadhi ya watz ni watu wa ajabu. Jamaa alinipigia simu anakuja kwenye interview ya kazi nikasema fresh njoo tu nakupokea hakuna shida. Eeehh naenda stendi kumpokea huyu rafiki yangu "Y" naona yuko na mtu mwingine "x" anatufata nyuma nyuma tunaingia kwenye gari naona "x" anaingia nauliza nani huyu ndo jamaa "Y" anasema huyu ni rafiki yangu. Namuuliza je na yeye "X" kaja kwenye interview? Jamaa anasema hapana yeye kaja kutembea tu.
Kufika home yule mwamba X aliyekuja kutembea kumbe anavuta sigara kama kichaaa. Mimi na moshi wa sigara hatupatani hata kidogo mwamba akiingia ndani nyumba nzima moshi unanuka.
Nikamuambia yule mwamba X mimi na sigara hatupatani naomba usivute sigara nyumbani kwangu mwamba akanielewa. Baada ya kufanya interview yule rafiki yangu Y akasema hawezi kuondoka hadi majibu yatoke nikasema fresh. Baada ya majibu kutoka akawa amekosa nafasi nikajua sasa anasepa heee naona siku na kwanza, ya pili, ya tatu wapo tu.
Nikaona yule mwamba Y mvuta fegi ameanza kufukuzia mwanamke nyumba ya jirani ambao tunaheshimiana sana nikaona wema utaniponza. Mimi nika deal na rafiki yangu tu. Nikamwambia sasa mimi nasafiri rafiki yangu akasema we nenda utatukuta tu mkuu ukirudi. Nikamwambia hapana kubaki mimi nasafiri kesho kutwa nyinyi mnaondoka kesho asubuhi mapema. Ndio ulikua mwisho wa mawasiliano.
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app