House of Commons
JF-Expert Member
- Oct 1, 2013
- 2,179
- 2,177
Naamini huna hiyo hela, kama unayo basi huna akiliWakuu habari.
Nimepata milioni 30, mnanishauri nifanye biashara gani, nimechoka kufanya kazi, nataka kujiajiri
Nawasilisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naamini huna hiyo hela, kama unayo basi huna akiliWakuu habari.
Nimepata milioni 30, mnanishauri nifanye biashara gani, nimechoka kufanya kazi, nataka kujiajiri
Nawasilisha
We jamaa una matatizo. Kuwa na hiyo hela na kutokuwa na akili vinahusiana vpNaamini huna hiyo hela, kama unayo basi huna akili
Mkuu endelea na kazi tu huku iyo million 30 unafanya uwejezaji. Jaribu kuchuku hata million 15 weka bonus account NMBWakuu habari.
Nimepata milioni 30, mnanishauri nifanye biashara gani, nimechoka kufanya kazi, nataka kujiajiri
Nawasilisha
Naendelea kupata ushauri wenu.Mkuu endelea na kazi tu huku iyo million 30 unafanya uwejezaji. Jaribu kuchuku hata million 15 weka bonus account NMB
How? Ndiyo tunaomba utushirikishe na sisi.Mi hiyo nikiipata natoboa mapema sana
Watu mna utani sana aiseeeh, yani 30M unaiona ndogo kwenye biashara, tena ikiwa compared na ajira??Usiache kazi kwa pesa hiyo. 30M ni pesa ndogo sana kuitegemea kwa biashara halafu huna kazi
Unapoanza kutenganisha Fedha na Dhambi, ndio kwanzo wa kufeli, unless deal iwe illegal.Hii hapana, najaza dhambi
Coaster ya mil 20 itapatikana wap?[emoji848]Nunua tour coaster kwa 20 milion tu, unamvua mtu. kisha nistue nikusimamie pesa inarudi bila presha ndani ya miezi 18 tu.
Zipo nyingi tu mkuu,Coaster ya mil 20 itapatikana wap?[emoji848]
Biashara ninayomiliki mfaji wake ni 1/3 ya hiyo 30M and yet kwa mwezi nakunja zaidi ya 2M, nikiona mtu anaibeza 30M kwenye biashara moja kwa moja ni wale wazee wa biashara za kwenye makaratasi (sio wafanya biashara kwenye field).Kwa sababu hujawahi kuipata unaweza kuiona ni nyingi sana. Subiri uipate ndipo utatuelewa tuna maana gani.
Hizo ndio zile kila service kwa Fundi au sio?,Zipo nyingi tu mkuu,
Hizo mguu brake mguu fundi zinauzwa 10M to 15MHizo ndio zile kila service kwa Fundi au sio?,
ukipata wazo lolote anza na m5 tu nyingine ziache bank kwanza.Wakuu habari.
Nimepata milioni 30, mnanishauri nifanye biashara gani, nimechoka kufanya kazi, nataka kujiajiri
Nawasilisha
Nimepitia uzi wako nimeona ushauri mwingi sana ni vizuri.Naendelea kupata ushauri wenu.