Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,033
- 10,622
Mil 30 uache kazi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungesema kuwa wewe ulipanga ufanyie nini ili tukushauri vizuriNina asset mbalimbali, nimeuza mojawapo ambayo sikuona faida yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aje awekeze umpe mambo ya [emoji173]Nipe namba YAKO uwekeze kwangu nakuahidi huto jutia[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Kifo cha pesa kimepatikana🤣🤣🤣Nipe namba YAKO uwekeze kwangu nakuahidi huto jutia[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hakika hatojutia kuwekeza kwangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aje awekeze umpe mambo ya [emoji173]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]USISEME hivyoKifo cha pesa kimepatikana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Baby nina uzoefu mbaya na viumbe kama ninyi.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]USISEME hivyo
Ulitaka awe na milioni 200 ndio aanze biashara!!???Usiache kazi kwa pesa hiyo. 30M ni pesa ndogo sana kuitegemea kwa biashara halafu huna kazi
Ukisimama mwenye Kuna issue ya uzoefu,ukiachia mtu nao vicheche,Kila siku utakuwa unashuhudia cheche,Kuna habari ya vibali,Kodi nk.Ulitaka awe na milioni 200 ndio aanze biashara!!???
Nunua tour coaster kwa 20 milion tu, unamvua mtu. kisha nistue nikusimamie pesa inarudi bila presha ndani ya miezi 18 tu.Wakuu habari.
Nimepata milioni 30, mnanishauri nifanye biashara gani, nimechoka kufanya kazi, nataka kujiajiri
Nawasilisha
Sijasema asianze biashara. Nimesema asiache kazi kwa kutegemea 30M na hajui hata biashara gani afanye.Ulitaka awe na milioni 200 ndio aanze biashara!!???
Wewe endelea na kazi maana hiyo ndo dhamana yako kama biashara fanyaWakuu habari.
Nimepata milioni 30, mnanishauri nifanye biashara gani, nimechoka kufanya kazi, nataka kujiajiri
Nawasilisha
Hiyo ni ndogo hata kama mimi sina kama hiyo nasisitiza ni ndogoHiv kweli M30? Ni pesa ndogo kama watunavyosema?
Watu mna dharau sanaaaa
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Kwa sababu hujawahi kuipata unaweza kuiona ni nyingi sana. Subiri uipate ndipo utatuelewa tuna maana gani.Hiv kweli M30? Ni pesa ndogo kama watunavyosema?
Watu mna dharau sanaaaa
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Mbona unaniharibia sasa [emoji849][emoji849]hupendi huyo mwekezaji awekeze kwangu???Baby nina uzoefu mbaya na viumbe kama ninyi.
Pesa ikiingiamo haitoki.
Badala yake unaweza kuishia kupewa bidhaa isiyo ya kibiashara[emoji23][emoji23]
Weka wazi basi uwekezaji na wengine tuwekeze?😁😁Mbona unaniharibia sasa [emoji849][emoji849]hupendi huyo mwekezaji awekeze kwangu???
Me namtaka huyo mwekezaji wa 30millions nyie wengine tafutani kwingineWeka wazi basi uwekezaji na wengine tuwekeze?[emoji16][emoji16]