Naendelea kupata ushauri wenu.
Nimepitia uzi wako nimeona ushauri mwingi sana ni vizuri.
Nami naandika hapa hapa ili kama nione mawazo ya wana jamvi,kuna mradi kama utaweza tuungane kuufanya maana nipo natafuta hela ila sijapata za kuufanyia,kuna kampuni moja sitaitaja na mkoa iliyopo nimeunganishwa nayo kuwapa huduma wafanya kazi wake walioko saiti,idadi yao kwa kuanzia hawapungui50, na malipo yatafanyika kwa mwezi,binafsi nimejaribu njia za kupata fedha sijapata ili niifanye hiyo kazi na ninauzoefu wa kuosha kuifanya(sijaitaja),kuna watu ambao nilitegemea wao waungane nami katika kazi hii maana waho wana nguvu za kiuchimi na ni waajiliwa wa serikali na mimi natamani hiyo kazi ili niendeshe maisha yangu,so naona kama hawajali japo wanapenda kuwa na kitega uchumi cha ziada kuwaingizia kipato,pia nilifungua nao kampuni ya kufanya huduma kama izo na kuna baadhi ya tenda nazisubilia lakini wao wanataka matokeo ya papo kwa papo,hawana subila.
Kama utaona vyema tutafutane tuone tunaifanyaje hii kazi na nakuhakikishia tutafanikiwa na wala utaweka fedha hiyo yote,.
Jambo la mwisho usiache kazi,kama utakuwa tayali kujua ni kazi gani na tutafanyeje na tukafanikiwa kufanya basi baada ya kuona matokeo ndani yamiezi miwili au mitatu unaweza sasa kuacha kazi maana utakuwa ushapata uzoefu ata baadae kila mtu kuwa na uwezo wa kufanya mwenyewe.
PIA MDA SIYO MREFU WANA JAMVI NITAKUJA KWENU KUOMBA MSAADA NA NITAKUJA NA MCHANGANUO KAMA NITAKUWA NIMEKWAMA NAOMBA MSIACHE KUNISAPOTI AU KUSHILIKIANA NAMI MAANA KAZI NANAZO ILA Mtaji imekuwa shughuli,
Ahsante [emoji122]