Nimepata mshtuko wa uume, nahisi umevunjika au umeteguka

Duu ajali kazini ndani ya siku tatu utakuwa sawa lete mrejesho hapa, halafu huwezi kuikomesha hiyo wala huwezi kubaki nayo yanatakiwa matumizi ya kiasi
 
Itabidi uwaombe marafiki wawe wanakisaidia kumkaza Mkeo maana ndiyo bye bye
 
Usifanye masihara na hicho kiungo nenda hospital haraka sana.
 
Mkuu kwa maelezo tu japo wengi wamekufuru ila nimepata hope kuwa pengine haijavunjika labda imeshtuka tu, maana hata saiz haiumi kiivo ila kusimama ndio naona kama haisimami kwa afya ile ya kunyooka inanyanyuka nyanyuka kwa vipindi na kuanguka mthili ya ndama aliezaliwa akijaribu kujikakamua kunyanyuka ngoja niroad kwanza nione kufikia kesho itakuwaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…