We kuwa mzururaji tu humu utakutana navyo hivi vitu π π π anzia kwenye ule uzi wenuUmejifunzia wap rafiki ? Uzi upiπ
Duu ajali kazini ndani ya siku tatu utakuwa sawa lete mrejesho hapa, halafu huwezi kuikomesha hiyo wala huwezi kubaki nayo yanatakiwa matumizi ya kiasiHabar wakuu, hii sio masihara jana usku katika harakati ya kudumisha ndoa nilipata mshtuko wa uume nikahisi umevunjika, hadi saiz unauma na siwez ku Erect vzuri ukasimama wima, ila unanyanyuka kidogo na kurud chini, naombeni msaada wa haraka wakuu, Je ni kwel naweza kuwa nimevunjika uume au ni hali ya kawaida utarud kuwa sawa?
Kama yupo aliewahi kukutwa na hali kama hii anisaidie ni namna gani nifanye au kama kuna tiba ya haraka naombeni msaada, Hapa nimeukanda na maji ya moto tu ila bado sioni ahueni.
Nipo siriaz sitanii nahitaji msaada wa haraka.
ππππ mahaba sio fujo mkuu , mtoa mada itakua anataka pesa yake irudi ndio maana kavunjikaπWe kuwa mzururaji tu humu utakutana navyo hivi vitu π π π anzia kwenye ule uzi wenu
Hata hivyo sidhani kama alotumia fujo ni jamaa nadhani ni huyo aliyekuwa juuππππ mahaba sio fujo mkuu , mtoa mada itakua anataka pesa yake irudi ndio maana kavunjikaπ
Kwa hiyo unataka kusema alikua anazagamuliwa na mdadaπHata hivyo sidhani kama alotumia fujo ni jamaa nadhani ni huyo aliyekuwa juu
Kwa hiyo unataka kusema alikua anazagamuliwa na mdadaπ
Ila kuvunjika? duu, maana hata kuungua na moto huwa inavumilia sanaN mshtuko wa kawaida uume pia unaweza vunjika na matibabu yake yapo wahi hospital
Hapana ni ktk kunogesha zoezi tu...ajali kaziniLI KKwa hiyo unataka kusema alikua anazagamuliwa na mdadaπ
Itabidi uwaombe marafiki wawe wanakisaidia kumkaza Mkeo maana ndiyo bye byeHabar wakuu, hii sio masihara jana usku katika harakati ya kudumisha ndoa nilipata mshtuko wa uume nikahisi umevunjika, hadi saiz unauma na siwez ku Erect vzuri ukasimama wima, ila unanyanyuka kidogo na kurud chini, naombeni msaada wa haraka wakuu, Je ni kwel naweza kuwa nimevunjika uume au ni hali ya kawaida utarud kuwa sawa?
Kama yupo aliewahi kukutwa na hali kama hii anisaidie ni namna gani nifanye au kama kuna tiba ya haraka naombeni msaada, Hapa nimeukanda na maji ya moto tu ila bado sioni ahueni.
Nipo siriaz sitanii nahitaji msaada wa haraka.
Usifanye masihara na hicho kiungo nenda hospital haraka sana.Habar wakuu, hii sio masihara jana usku katika harakati ya kudumisha ndoa nilipata mshtuko wa uume nikahisi umevunjika, hadi saiz unauma na siwez ku Erect vzuri ukasimama wima, ila unanyanyuka kidogo na kurud chini, naombeni msaada wa haraka wakuu, Je ni kwel naweza kuwa nimevunjika uume au ni hali ya kawaida utarud kuwa sawa?
Kama yupo aliewahi kukutwa na hali kama hii anisaidie ni namna gani nifanye au kama kuna tiba ya haraka naombeni msaada, Hapa nimeukanda na maji ya moto tu ila bado sioni ahueni.
Nipo siriaz sitanii nahitaji msaada wa haraka.
Duuh mwamba umenichekesha kiasi ila kama ulikuwepo vileItakuwa wife alikuwa juu anachezea de liboloz [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ahsante mkuu comment yako imenipa hope. Ikivunjika haiwez kabisa hata kuleta dalili za kusimama?? Maana mimi hapa dalili za kusimama zipo ila ndo haikazi ikanyooka kabisa ile dede.N mshtuko wa kawaida uume pia unaweza vunjika na matibabu yake yapo wahi hospital
PichaUtakuwa ulikuwa unatumia Ile style ya reverse cowgirl.....poleee
Sio utani inatokeaga hiyo katika huuo mkao so mwanamke inabidi awe makiniDuuh mwamba umenichekesha kiasi ila kama ulikuwepo vile
Palepale stim ilikata mzee... had mda huu nimelalaMkuu mimi ilishawahi nitokea hii...
Nilichofanyiwa aisee mpaka kukaa sawa hayo maumivu yake utokuja sahau