Nimepata mshtuko wa uume, nahisi umevunjika au umeteguka

Palepale stim ilikata mzee... had mda huu nimelala
Mkuu nenda agha kan kuna proceess unafanyiwa inaitwa fresh lymphatic drainage massage...

Wanakuingiza kitu kama spock ya baskeli ila ni ya shaba alafu wana kupaka mafuta flani hivi ya bardiiii

Baada ya hapo wanaanza kukufanyia massage ambayo kama una haja kubwa lazima ikutoke...

Baada ya hapo unakaa na hiko kichuma siku tatu kisha watakitoa....

Mkuu ni hatarrrr mi nilipelekwa na mama angu mdogo...
 
Utakuwa ulikuwa unatumia Ile style ya reverse cowgirl.....poleee
Duh....
😁😁😁😁 mahaba sio fujo mkuu , mtoa mada itakua anataka pesa yake irudi ndio maana kavunjika

 
Ooh wamekuroga wewe sasa............hawajaomba hata jina lako na la mama ila washakufanya bendera nusu mlingoti
 
Wanaingiza wapi mkuu? Na mama yako mdogo alivyokupeleka ulimwambia nini kimekusibu na vip kuna maumivu ??
 
Uvivu umekuponza [emoji2957]
Ndio mkome kuwaambia matukunyema yaendeshe fwarasi
 
Oooh, nikajua hio shaba wanaingiza huko kwa kukojolea, na nilianza kufurahia hio habari ya masaji hadi nilipofika kwenye kutoa haja kubwa nikapotezea hio masaji kumbe unafukuliwa na shaba,,,,,,,kwahio jamaa anatoka kwenye kuingiza hadi kuingizwa shaba,,,,,hizi masaji hadi unatoa haja kubwa zitupitie mbali,,...sema amen
 
tujitahidi sana kabla ya kuvuta bangi tuwe tunauliza zimetokea nchi gani kwani siyo kila bangi ya nchi fulani inafaa kutumika
 
Mkuu acha tuu kile kidude ni chembamba mda wanaingiza wala hakina shida ila mda wa kufanya massage ndo sho inaanzia hapo maana kinakuwa kina unguza
 
hauko serious,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…