Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Blaza ulivyotoka hapo ulikua bado kundiniš®Mkuu acha tuu kile kidude ni chembamba mda wanaingiza wala hakina shida ila mda wa kufanya massage ndo sho inaanzia hapo maana kinakuwa kina unguza
Kuna dawa unameza inarangi ya kijivu yaani kidonge kidogo ila kinavunjwa mara 4 alafu ndo unameza na vingine hiko kidonge kidogo uwezi dindisha wanasema mpaka mafuta yakauke ..Blaza ulivyotoka hapo ulikua bado kundiniš®
Baada ya week hv show inakua fuleshi mkuuBlaza ulivyotoka hapo ulikua bado kundiniš®
Haya mkuuBaada ya week hv show inakua fuleshi mkuu
Kwann siko sriaz sasahauko serious,
AweziJiandae kuwa gasho
hiyo kitu ndio imebeba uzima wa ndoa yako trust me endelea kukaa na mboo yako isiyosimama vizur wakutombee mkeo nje naon hutujuiKwann siko sriaz sasa
@Moderator ...mbn unatumia kauli nzito hivohiyo kitu ndio imebeba uzima wa ndoa yako trust me endelea kukaa na mboo yako isiyosimama vizur wakutombee mkeo nje naon hutujui
Hapo ndio inaaga mazima.Mkuu kwa maelezo tu japo wengi wamekufuru ila nimepata hope kuwa pengine haijavunjika labda imeshtuka tu, maana hata saiz haiumi kiivo ila kusimama ndio naona kama haisimami kwa afya ile ya kunyooka inanyanyuka nyanyuka kwa vipindi na kuanguka mthili ya ndama aliezaliwa akijaribu kujikakamua kunyanyuka ngoja niroad kwanza nione kufikia kesho itakuwaje
Duuh mkuu mbn unaroho mbaya hiviiI
Hapo ndio inaaga mazima.
Bado sijaenda hosptalYani mpk sasa unasubiria ushauri au umeshafika osipitali?